Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,344
- 1,771
Habari wana jamvi.
Imenimependeza kuabarisha umma wa Watanzania kuwa leo saa tatu usiku (09:00) Kupitia kipindi cha DK45 kinachorushwa na kituo cha television cha ITV, Yule gwiji la sheria nchini Mh. Tundu Lissu atakuwa akitoa elimu juu ya upatikanaji wa wabunge wa bunge la katiba na jinsi gani Raisi atakuwa anateua wabunge wa bunge hilo.
Ni sasa tatu (09:00) kwa saa ya Afrika mashariki
!!!!!!!!!!!!!!!USIKOSE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Imenimependeza kuabarisha umma wa Watanzania kuwa leo saa tatu usiku (09:00) Kupitia kipindi cha DK45 kinachorushwa na kituo cha television cha ITV, Yule gwiji la sheria nchini Mh. Tundu Lissu atakuwa akitoa elimu juu ya upatikanaji wa wabunge wa bunge la katiba na jinsi gani Raisi atakuwa anateua wabunge wa bunge hilo.
Ni sasa tatu (09:00) kwa saa ya Afrika mashariki
!!!!!!!!!!!!!!!USIKOSE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!