Ushindwe.Mbona usijitafutie jiko lako mwenyewe...haya maswali ya kitoto ya taa iwashwe ama izimwe hayatajalisha sana! Imagine mmeshaanza then, mnakurupushana mkazime taa...!!Stori gani hizi..
ACHA UASHERATI..TAFUTA JIKO LAKO MWENYEWE!!!!!
Bado upo huko tu? wenzako tumeshakuacha!!Mbona usijitafutie jiko lako mwenyewe...haya maswali ya kitoto ya taa iwashwe ama izimwe hayatajalisha sana! Imagine mmeshaanza then, mnakurupushana mkazime taa...!!Stori gani hizi..
ACHA UASHERATI..TAFUTA JIKO LAKO MWENYEWE!!!!!
Naona anachokoza nyuki,mmmmmh mbio anazo?Bado upo huko tu? wenzako tumeshakuacha!!
Duhhh!! jiko? ngoja wakuibukie wakina FL1 and Co
Bado upo huko tu? wenzako tumeshakuacha!!
Duhhh!! jiko? ngoja wakuibukie wakina FL1 and Co
Mbona mnanishtua...inamaanish u guys r out to legalise uasherati..ama sijawaelewa vixuri!??Ushindwe.
Naona anachokoza nyuki,mmmmmh mbio anazo?
Ukifika wakati wa chakula cha usiku, wapo baadhi ya watu lazima taa izimwe,je ni aibu? au kuogopa kupigwa chabo? amini usiamini wapo wapenzi( si wanandoa)
ambao hadi leo hawajuani mwenzie yupo vipi. japo kila siku wanavunja amri ya saba.Tena sio kuzima taa tu ila pamoja na kuzima taa bado mnajifunika shuka gubigubi, mwe? wewe mwana JF unasemaje taa izimwe? isizimwe?
mmh ... wee bi harusi taratibu! ... kitchen party tayari?? umeyajuaje haya??
Ukifika wakati wa chakula cha usiku, wapo baadhi ya watu lazima taa izimwe,je ni aibu? au kuogopa kupigwa chabo? amini usiamini wapo wapenzi( si wanandoa)
ambao hadi leo hawajuani mwenzie yupo vipi. japo kila siku wanavunja amri ya saba. Tena sio kuzima taa tu ila pamoja na kuzima taa bado mnajifunika shuka gubigubi, mwe? wewe mwana JF unasemaje taa izimwe? isizimwe?
Aliyeandika ni msabato. Wakatoliki inadaiwa na wasabato kuwa kuna amri moja wameitoaI hope ni amri ya sita! Maana wakivunja amri ya saba kila siku..
Sijawahi kuona kibatari maalum mama!!jamani mbona kuna taa maalum kwa ajili ya chumba cha chakula ?
Gizani mmh hapana