Symbion Power acquires DOWANS Power plant

mitambo wataiacha hapahapa ili iendelee kuvuna kodi zetu!
mmiliki wa hiyo mitambo ni nani au ndiyo wamebadilisha jina lakini utasikia RA ndiyo msimamizi wa mitambo hiyo!.
 
Kitendo cha hawa wamarekani kununua mitambo iliyojaa kashfa chungu nzima na pia kukataa
kutaja kiasi walichonunulia kinatia shaka kama hawa wamarekani wamenunua kweli mitambo hii au wanatumiwa hawa. symbion power holdings bila shaka ina share holders wake hivi ni kweli shareholders ambao ni wananchi wa kawaida wasingependa kujua kiasi cha fedha kilichotumika wao wakiwa kama owners?? kama ilivyokuwa richmond, kuna utata kati symbion power holdings ya USA na hii symbion power africa. hapa kuna kitu?? wachunguzi wa mambo tuanze kazi nimekwenda kwenye mafaili ya joseph wilson yanatia shaka alishawahi kutoa ushahidi kuhusu nuclear huko Niger lakini ikagundulika ni tapeli na muongo mkubwa alikwenda huko niger kulala na wanawake na kutoa rushwa kwa bahadhi ya wanasiasa ili kujipatia mshiko.
 
Huu mkenge mpya,bado tuna kesi na mitambo hyo na yawezekana tukashinda tukataifisha hyo mitambo,sasa leo iweje ivushwe kwa wengne?je kama tunaweza kushinda kesi tutaweza kuitaifisha kweli na wakati huo tayari ni mali ya kampuni nyingine,wanasheria,hapa pakoje?
 
Kiini macho hicho mkuu.
Mambo yangekuwa yako wazi basi BRELA, Tz embassy kule DC, TANESCO na waziri wa Nishati wangekuwa open kuanika kila kitu lakini ndio hilo changa la macho jingine. Kuna kitu kinafichwa tena
 
@Politiki.
Tupo kazini kaka soon tutamwaga data za awa jamaa kaa mkao wa kula, awa jamaa akuna kitu mkuu kunakamchezo kamechezwa apo soon utajua tunatafuta uwakika wa Data tulizo nazo.
 
Kampuni ya symbioni power imenunua mitambo ya dowans. Wana mpango wa kuingia mkataba na Tanesco ibaki nchini. Wanadai wamefanya uchunguzi wa kutosha na kuona mitambo inatunzwa vizuri. Wamepitia pia mchakato wa namna mitambo ilivyo ingizwa na hawahusiki na historia ya nyuma ya mitambo hiyo. Nahisi wataendelea kunukia kidowans dowaans. Habari cten
Zengwe jingine hilo lina............ ha ha ha haaaaaaaaaaa, WE ARE STILL WATCHFULL mazeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
 


US buyer ready to switch on Dowans

WASHINGTON-based electric company Symbion Power has confirmed conclusion deal to acquire a 120MW power plant owned by Dowans in Tanzania. The founder and Chief Executive Officer (CEO) of the company, Mr Paul Hinks said in Dar es Salaam on Friday that his company had only bought the plant, clearing speculations over the purchase.

"We are not responsible for the liabilities of the Dowans Company which used to own the plant. Our company has tested the plant by using independent engineers and has confirmed it to be in excellent order and able to produce power at short notice," he said.

Symbion has joined forces with ProEnergy Services, also a US- based multinational integrated service provider to the energy sector, which operates and maintains power plants on a global basis. ProEnergy Services has extensive aero-derivative gas turbine operation and maintenance experience and will act as Symbion's technical service partner.

According to CEO, Symbion Power has extensive electrification contracts funded by the US government through the Millennium Challenge Corporation (MCC), the Tanzania Rural Electrification Agency and Tanesco. Symbion's work encompasses the construction of 3000km of overhead power lines and 26 substations across eight regions in Tanzania and Zanzibar, he said.

On the negative publicity that the Dowans carried, Mr Hinks said: "Negotiations with the former owner have been challenging and as a consequence of past reports, we have undertaken extensive due diligence." When asked to comment on tariffs and value of the equipment, the CEO said it was still too early to disclose that, but assured Tanzanians that his company would sell electricity to TANESCO at a very competitive price.

He added that the 120MW expected to be delivered would have a significant impact on the power situation in Tanzania. He said that his company wanted to keep the plant in Tanzania but if Tanesco does not wish to utilize their services, they will have other opportunities for its overseas use since it was a mobile plant. The chairman of Symbion Power Africa, Ambassador (rtd) Joseph Wilson said; "The Symbion Ubungo power plant has been sitting idle for almost three years while Tanzania continues to face extraordinary challenges as a result of a shortage of reliable power generation capacity."

In his message, read by the Economic and Commercial Officer, Ms Emily Shaffer, the ambassador said the move has come at the right time since the power crisis experienced in the country continues to cripple the economy. He praised the role of Private-Public Partnership (PPP) in the development of the country, citing the development as a major breakthrough.

Early this week the government backed negotiations between two energy firms for the purchase of the Dowans power plant and plan to switch it on, as a major contribution to relieving the country's power crisis. The Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals , Mr David Jairo told the media that the government will definitely support the initiative.

He said that the government was aware of the ongoing negotiations between US based energy firm, Symbion Power and Dowans Company on the purchase of the power plant, which has been lying idle at the Tanzania Electric Supply Company limited Ubungo compound. The PS was quoted saying that the conclusion of the negotiations would boost government efforts to help Tanzanians resolve the prolonged power crisis.

Daily News
 
Last edited by a moderator:
Ambassador Joseh Wison - siyo ambaye wakati wa Iraq war ilipoanza aliandika ripoti iliyoumbua serikali ya George W Bush kuhusu madai yao ya uranium in Niger? Baadae serikali ya Dubya ilijibu mapigo kwa kufichua kuwa mke wake Wilson ni CIA agent. Kumradhi kama nimekosea ...
 
Nadhani tunamwongelea same Joe (Joseph C.) Wilson? SOMA HAPO CHINI:

In the summer of 2003, former ambassador Joseph Wilson wrote an opinion piece in the New York Times that accused the Bush Administration of deliberately misleading the public about the possibility of Iraq having sought nuclear weapons material from Niger. Shortly thereafter, conservative columnist Robert Novak published a column noting that Wilson's wife, Valerie Plame, worked for the CIA. The CIA cried foul -- insisting that a covert agent had been unmasked.

Karl Rove and Lewis (Scooter) Libby were questioned extensively regarding the unveiling of Valerie Plame as an undercover CIA operative. As the original grand jury wound down in 2005, speculation inside the beltway widely linked both Rove and Libby with an organized attempt to undermine Joseph Wilson's story about Iraq, Niger and uranium. At the time, lawyers suggested that the crimes of obstruction of justice and perjury (felony) were probable.
 
Kuna article kwenye ipp media inasema DOWANS inataka kuuzwa kwa kampuni nyingine ya marekani SYMBION.

Jamani tunachezeshwa mchezo huohuo kila siku mpaka lini.

Nimejaribu kufuatilia website ya hii SYMBION, pale chini imeandikwa "© 2011 Symbion Power LLC":

Kufuatilia domain yao ya symbion-power.com, naona umekuwa regisrered 2005 na inaexpire november mwaka huu 2011.

Halafu serikali inasema kuwa hii ndio kampuni itakayosaidia Tanzania kutoka kwenye tatizo la umeme?.....kweli jamani? experience ya hiyo kampuni iko wapi?

-----
Permanent Secretary in the Ministry of Energy and Minerals, David Jairo anasema kuwa discussions zimefikia final stage “Discussions have reached the final stage, and we expect to unveil more details on the acquisition of the Dowans plant today,”

Wakati kwenye hiyo website ya SYMBION inasema kazi ilianza August mwaka jana "True partnership drives everything we do. The result has been successful transmission line, substation, and training projects in the challenging construction environments of Iraq and Afghanistan and new work in Tanzania that began in August 2010."

Akija January wakowapi? mbona hatukuisikia hii SYMBION miezi ile tulipokuwa tunalia na kuilipa DOWANS?

Halafu ukiangalia profile za owners Symbion Power, wamekaa ki CIA CIA tu....kuna kuzalisha umeme kweli hapo?

- Chairman wa hiyo SYMBION power holdings ana distinguished military career as an Officer in the Scotts Guards and for the British Special Air Services (SAS).

-CEO wa kampuni yupo hivi Since 2003 Paul has been at the forefront of US wartime contracting efforts.

- Chairman wa african branch/tanzania nae He also served as Special Assistant to President Clinton in charge of African Affairs at the national Security Council.

Kwa hiyo na umeme tunaupataje tenaa?

Mke wa chairman wa African branch Bw. Wilson alikuwa afisa wa CIA, hadi alipoumbuliwa na utawala wa Bush.
 
Inaonekana sekta ya kuzalisha umeme Tanzania inapendwa na makampuni yanayoongozwa na waliopitia ktk masuala ya ulinzi na usalama. Dowans Ali Hadaiwi alikuwa brigedia wa jeshi la Omani akishikilia masuala ya ulinzi wa Sultani wa Omani.

Hawa Symbion Power viongozi wake wa juu mmoja ana nishani ya kutukuka kwa ujasiri wake wa kutumikia vikosi maalumu vya Uingereza na mwingine alikuwa mshauri wa masuala ya usalama ktk baraza la ulinzi huko USA.

Overview

Progress through partnership.

Symbion Power was built on a foundation of partnership and cooperation. Even our name – a derivative of the word Symbiosis – reflects the cooperative relationship we maintain with key suppliers, local partners and subcontractors.
Balancing Progress and Security.

With considerable experience working in the dangerous environments of Iraq and Afghanistan, Symbion brings a unique methodology to every project. Our experienced security teams and our engineers work hand-in-hand with our clients to make careful judgments that facilitate both progress and safety.
We draw extensively on the experience of our partner Hart Security Limited.
Nothing is more important than the health, welfare, and safety of our staff, our partners, our subcontractors, and the people that make our work possible.
Always Ready to Adapt.

At Symbion, we understand that circumstances on the ground can change quickly. That’s why we’ve built a dynamic organization that is always ready to adapt.
In the United States, Europe the Middle East, Africa and Asia we’ve built lasting relationships. We’ve partnered with manufacturers for equipment-specific training through Symbion Power Centers, our own training schools, in northern Iraq and Kabul, Afghanistan. A training school will be established in Tanzania in 2011. We understand that our success and our progress are inextricably linked, and we take great pride in our work.
A U.S. Company with a World of Experience.

The Symbion management team has extensive experience in the design, engineering and the procurement and construction of complex international electricity projects. Their combined experience covers work in the United States, Africa, the Middle East, Europe and Asia and Australia.
Symbion has partnering agreements with major manufacturing and contracting companies, including one of the world’s leading equipment suppliers, Alstom Grid, for substation, power, transmission and distribution projects. In Tanzania Symbion is partnered with leading US transmission and distribution contractor Pike Electric Inc.
Symbion is a U.S. company with offices and subsidiaries in Washington, D.C.; Delaware, USA; Limassol, Cyprus; Cape Town, South Africa; Dubai, U.A.E.; Baghdad, Iraq; Erbil, Kurdistan; Port-au-Prince, Haiti; Dar es Salaam and Morogoro, Tanzania.

Leadership:

Chairman Symbion Power Holdings

richard-westbury.jpg

Lord Richard Westbury MBE
Lord Westbury had a distinguished military career as an Officer in the Scotts Guards and for the British Special Air Services (SAS). A pioneer of the security industry, Lord Westbury was formerly the Deputy Chief Executive of The Leadership Trust and the Chief Executive Officer of Defense Systems Limited (DSL), one of the earliest and most successful international security companies headquartered in London. He is the founder and chairman of Hart Security.

Chairman, Symbion Power Africa

joseph-wilson.jpg

Ambassador (ret.) Joseph Wilson
Ambassador (ret.) Joseph Wilson serves as the Chairman of Symbion Power, Africa. Ambassador Wilson has extensive experience in Africa, the Middle East, and Europe. As an American diplomat, he served as Ambassador to Gabon and Sao Tome and Principe in the administrations of Presidents George H.W. Bush and Bill Clinton. He also served as Special Assistant to President Clinton in charge of African Affairs at the national Security Council. In addition to Gabon and Sao Tome and Principe, Ambassador Wilson also served in Niger, Togo, South Africa, Burundi, and Congo (Brazzaville).

Source: Symbion Power


Hivi na huyo Balozi wa US hapa nchini, Alfonso Lennart hayumo miongoni mwa wanahisa wa hiyo kampuni?
 
Kuhusu CEO wao nae ana 'background in Africa':

COMMISSION ON WARTIME CONTRACTING
TESTIMONY OF PAUL HINKS, CEO, SYMBION POWER LLC
JULY 26, 2010
My name is Paul Hinks. I am the Chief Executive Officer of Symbion Power LLC, a U.S.
power engineering and construction firm that was formed in 2005 specifically to
undertake electrical reconstruction work in Iraq and Afghanistan. I am grateful for your
invitation to appear before this distinguished Commission, and to assist you and your
staff with its important work on Wartime Contracting issues. Your hearing today on the
subject of Subcontractors is aptly titled, "Subcontracting: Who's Minding the Store?" I
am here to share with you my experience and views as both a Prime Contractor and as
a Subcontractor, having managed two different companies in Iraq and Afghanistan since
2003. Because of this, I am presenting this testimony in the first person. Before giving
you my views, I will provide you with a brief background of my experience.
I have spent my entire working life as a contractor. Initially I studied and trained in the
United Kingdom for a state power company. In the early eighties I lived and worked in
Africa where I was responsible for the construction of a large array of projects that
included power plants, transmission and distribution lines and substations.
For the past
29 years I have carried out work in developing countries, some of which have been
conflict zones, although many are now stable and secure. These include Zimbabwe,
Mozambique, Angola and Uganda. There was a time 20 years or so ago when building
a project in Mozambique was akin to working in Iraq in the period after 2003. I was in
Uganda during the civil conflict there, hiding under a bed as gun battles raged outside
the house. I lived in East Africa for 10 years, during which I traveled to work in other
African countries in the region. In those days the African National Congress (ANC) of
South Africa built and maintained large camps in Tanzania and Zambia for thousands of
their exiled supporters. I installed power systems to one of those camps.
Today the
ANC is the government of South Africa.
In 2003 I went to work in Iraq for the world's largest transmission line company, KEC
International. I worked there full time for almost one year. During that time I was
responsible for the construction of five major 400kV and 132kV transmission line
projects. In all cases we were a Subcontractor to some of the major U.S. Prime
Contractors. In almost all cases we did everything, from the design and engineering to
procurement and installation. We were turnkey Subcontractors with very minimal
management and oversight by the Prime Contractors.
 
Hawa ni matapeli wezi,si amini kampuni ya kimarekani ambayo kwao Baraza la Senate limeweka miiko ya aina fulani fulani kwenye makampuni yao inapothibitika kampuni zao zimejiingiza kwenye rushwa
Kila mtu anajua wamerakani wakiingia kwenye nchi huwa ni wavuruga amani,wameshajua tuna uranium nyingi,platinum,cobalt,lazima wachochee hasira ili wananchi tuichukie serikali yetu vurugu ziingie ili wavune madini yetu
Wamepata wapi ujasiri wa kununua mtambo ambao kesi yake iko mahakamani au anafikiri watanzania sisi ni wajinga hatutawaauliza kwa sababu wanatoka taifa lenye nguvu,wezi wala rushwa ni hao hao hatutajali,kwamba ni taifa hawana rekodi nzuri wamerekani duniani pote kazi yao ni kuvuruga nchi tuu,ni jukumu letu watanzania kuanza kutafuta ukweli na usafi na uadilifu wa hiyo kampuni
Kwa nini mchakato wa kuzungumzia na kufikia muafaka umefanywa siri,ina maana sasa hiyo Kampuni inajifanya ina uhalali wa kuwa juu ya wananchi wa watanzania haya ni matusi makubwa
Nashangaa eti balozi wa marekani amewasifu hiyo kampuni ,huu si ni mchoro wa kisiasa hawa wana mambo mawili kusaidia utawala wa Jakaya kikwete ili waweke kituo chao cha kijeshi,wachimbe uranium,na madini mengine lakini mwisho wa siku watatuacha tukichinjana kama walivyoifa Congo na Angola,hawafaai hawa wamerekani kazi yao ni kudhoofisha nchi kwa kuingiza chuki kwa wananchi ili muchinjane wenyewe kwa wenyewe ,tusipokuwa maacho utajiri wetu wa hizi mali asili utatuacha tukiwa kituo cha wakubwa kumwaga upupu wao,warusi,wachina,waingereza,wacanada,na wamerekani,usisahau wahindi na hata wabrazil,tukinyamaza katika hili,basi mujue wameshatumaliza ,lazima tuwakomalie kama wamenunua huo mtambo wapeleke kwao marekani
 
Ambassador Joseh Wison - siyo ambaye wakati wa Iraq war ilipoanza aliandika ripoti iliyoumbua serikali ya George W Bush kuhusu madai yao ya uranium in Niger? Baadae serikali ya Dubya ilijibu mapigo kwa kufichua kuwa mke wake Wilson ni CIA agent. Kumradhi kama nimekosea ...
Ndio yeye hujakosea
 
Hoja ya msingi. Kwa nini mitambo hii baada ya kunuliliwa isifungwe nchi nyingine? Kwanini Tanzania?
 
Hoja ya msingi. Kwa nini mitambo hii baada ya kunuliliwa isifungwe nchi nyingine? Kwanini Tanzania?

Cdm mtapewa ngapi baada ya haya mauzo naamini kabisa ndoa mliofunga na rachel ili muwatete lazima kuna mshiko wa nguvu kutoka rachel aibu kubwa cdm acheni unafiki
 
"Mitambo hii imefanyiwa majaribio hivi karibuni na wataalamu wa kimataifa na imethibitika kuwa iko katika hali nzuri sana na inaweza kuanza kutumika ndani ya muda mfupi na kwa matarajio ya kiwango cha juu," alisema Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion Power, Paul Hinks.
Akielezea namna walivyofikia hatua ya kununua mitambo hiyo, Hinks alisema walifuatilia kwa kina habari zilizokuwa zikiripotiwa katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu mitambo hiyo na kisha wakafanya uchunguzi wao wa kina kupata undani wa jenereta hizo.
"Tulipitia habari zote kuhusu Dowans na tukafanya uchunguzi wetu wa kina kabla ya kukubali kuinunua mitambo hiyo ambayo tumethibitisha ubora wake," aliongeza kueleza Mwenyekiti wa Symbion Power wa Kanda ya Afrika, balozi mstaafu Joseph Wilson.
Akifafanua, mwenyekiti huyo ambaye amepata kuwa mwanadiplomasia akiiwakilisha Marekani katika mataifa mbalimbali ya Afrika, Ulaya na Mashariki ya Kati kwenye serikali za marais George W. Bush na kabla ya hapo kwa Bill Clinton alionyesha kushangazwa na kitendo cha mitambo hiyo kukaa katika kipindi cha miaka mitatu wakati nchi ikikabiliwa na tatizo kubwa la nishati ya umeme.
"Mitambo tuliyoinunua iliyoko Ubungo imekaa pasipo kufanya kazi yoyote kwa muda wa miaka mitatu wakati nchi ikikabiliwa na matatizo yasiyo ya kawaida ya ukosefu wa nishati ya umeme…Ninayo furaha kutamka kwamba sasa mitambo hiyo inaweza kuanza upya kuzalisha umeme na nina imani kwamba serikali ya Tanzania itaonyesha utayari kwa kutumia huduma zetu," alisema balozi Wilson.


Source: Tanzania Daima


Wataalamu wetu wa Tanesco walitoa mapendekezo kama haya wakati wanashauri kununuliwa kwa mitambo hii, tusingeingiza siasa leo hii tungekuwa wamiliki wa mitambo hii. Waswahili wanasema BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA. Namkumbuka Dr Idriss Rashid na Zito Kabwe.
 
Kweli Nchi hii sasa imekuwa Kama shamba la bibi,tunaoumia ni wananchi wa hali ya chini(masikini) ni nani atatutetea?Kwa nini hivi?Viongozi wa Serikali ya Jk ndio wapo mstari wa mbele kutekeleza mabaya(Dowans lazima walipwe-Mwanasheria Mkuu/Waziri wa nishati na madini)Na kwa nini mchakato wa kuuziana hiyo mitambo iwe ni siri?Inamaana mgogoro kati ya Dowans na Serikali umeisha?Na Kama hao SYMBION POWER wameinunua hiyo mitambo kwa nini wanalazimisha ifungwe hapa Tanzania?kwani hakuna nchi nyingine zenye shida ya umeme?MPAKA TANZANIA IFIKE PALE WATANZANIA WENGI MASIKINI WANATARAJIA ITAKUWA NI KAZI KUBWA,labda miaka 1,000 ijayo
 
Back
Top Bottom