Symbion Power acquires DOWANS Power plant

Unapouziwa umeme na muwekezaji lazima atakuuzia ile bei anataka yeye(maslahi yake kwanza).Serikali kupitia Tanesco watakaponunua umeme toka kwa Muwekezaji(SYMBION POWER)lazima na yenyewe itake faida.Mtumiaji wa umeme huo ni Mtanzania hivyo moja kwa moja lazima Mtanzania huyu ataunizwa na gharama zitakazotozwa(ambazo zilipitia ngazi mbili tofauti mpaka kumfikia).Nnaomba kuiuliza maswali Serikali ya Jakaya Kikwete :
•Hivi ni kweli Serikali ya Jakaya Kikwete iliyopo madarakani kupitia ccm ILISHINDWA KUINUNUA MITAMBO HIYO YA-Dowans
•Inaweza vp kupitisha bajeti ya mabilioni ya shilingi kwa ajili ya vitafunwa bungeni/maofisini(ambayo sio ya lazima)halafu Serikali hiyo hiyo ishindwe kununua mitambo ya Dowans?(ingekuza ukuaji wa pato la taifa kwa kuwa na umeme wa uhakika na wa bei nafuu)
•Tume iliyoundwa na Serikali kuchunguza sakata la kampuni tata ya Dowans ambayo ilipelekea aliekuwa waziri mkuu Edwad Lowasa kujiuzulu,iltoa majibu kuwa Dowans ilikuwa ni kampuni ya KITAPELI(kampuni hewa)Je ni hatua gani nyie Kama Serikali mlivhukua?
Maswali yapo mengi niwaachie na wenzangu wachangie,ILA KWA KUSEMA UKWELI SERIKALI YA CCM HAMKUTAKIWA KUFIKA HUKU MLIPOFIKA KUHUSU SAKATA LA DOWANSI,MAAMUZI MNAYOYAFANYA YANATUATHIRI WANANCHI NA VIZAZI VYETU VIJAVYO mnaniuzi mbaya!!!!
 
Symbion power wakinunua mitambo ya DOWANS hakuna ubaya wowote kama DOWANS wameshamalizana na serikali bila kulipwa madai yao ya kitapeli.
TANESCO wanaweza kununua umeme kwa bei nayoweza kuwapa faida toka kwa Symbion na siyo kukodisha mitambo hiyo kama ilivyokuwa kwa Richmond/Dowans.
Tatizo litajitokeza iwapo Dowans wamelipwa kimya kimya na mkataba mwingine wa aina ile ile ya kifisadi inaandaliwa.
Tahadhari ichukuliwe kuangalia uwezekano wa mafisadi wale wale kuzungunguka na kurudi wakiwa wamejipaka rangi na kubadilisha mavazi!
 
mitambo ile ile ila mmiliki kabadika,jee watz tutaikubali tena dowans kwa jina jipya symbion power?
 
Symbion power wakinunua mitambo ya DOWANS hakuna ubaya wowote kama DOWANS wameshamalizana na serikali bila kulipwa madai yao ya kitapeli
TANESCO wanaweza kununua umeme kwa bei nayoweza kuwapa faida toka kwa Symbion na siyo kukodisha mitambo hiyo kama ilivyokuwa kwa Richmond/Dowans.
Tatizo litajitokeza iwapo Dowans wamelipwa kimya kimya na mkataba mwingine wa aina ile ile ya kifisadi inaandaliwa.
Tahadhari ichukuliwe kuangalia uwezekano
wa mafisadi wale wale kuzungunguka na kurudi wakiwa wamejipaka rangi na kubadilisha mavazi!

Sidhani Kama Symbon watakubaliiliyoandaliwa
kuiuzia Tanesco umeme bila wao Symbion kupata faida(ongezeko).Hilo ongezeko(faida watakayoipata Symbion watakapoiuzia Tanesco umeme)ndicho kitu ninachoilalamikia Serikali hii(legelege)iliyopo madarakani KUSHINDWA KUINUNUA HII MITAMBO YA DOWANS MOJA KWA MOJA,kuepuka gharama kubwa kwa ununuzi wa umeme!!!Tusirudi nyuma tusonge mbele.
 
Symbion takes over Dowans power plant Purchase deal clinched at USD 120m

By Judica Tarimo

21st May 2011


Dowans(8).jpg

Dowans power plant

US-based energy firm Symbion Power yesterday concluded and signed a deal for full acquisition of the Dowans power plant that has lain idle at Ubungo Tanesco compound for quite some time.

“We are done…from now the plant will be called Symbion power plant and not Dowans,” Chief Executive Officer of Symbion Power, Paul Hinks told a press conference after the official conclusion of prolonged negotiations between the US firm and Dowans company on the purchase deal.

“Both parties have signed an agreement for the acquisition of the 120MW power plant. The property is ours,” said Hinks, alluding to the next stage of activating the plant to help ease the serious power crisis affecting the country.

Official announcement of conclusion of the deal and expected plan to switch on the plant is good news to the nation, which is currently enduring the pinch of extensive load-shedding prompted by the shutdown of Songo Songo gas processing plant for maintenance and drop in the water levels at strategic power stations due to poor rains.

The plant was purchased at the estimated cost of USD 120million, according to Symbion chief executive officer. He did not disclose the actual figure, but noted: “We bought it at a good price…it’s an extremely good deal.”

He explained: “Negotiations with the former owner (Dowans Company) have been challenging and as a consequence of past reports…we have undertaken due diligence. This due diligence also encompassed the thorough examination and testing of the equipment. The results have been positive; the plant has been well maintained.”

Symbion power experts, he said, are currently finalising a proposal on key aspects — a plan to switch on the plant, energy fees structure and other modalities of working with Tanzania Electric Supply Company (Tanesco). (Mhhh! wamenunua mitambo tu na ghafla wanataka kuingia mkataba na TANESCO!!! kwanini wasibebe huo mtambo wakaenda nao kwao!? kwanini wasilete mtambo mpya?)

Hinks said they expect to submit the proposal to Tanesco on Monday.” We will sit down and discuss it together including agreeing on energy fees which Tanesco will have to pay us for the electricity we will be selling to them.”

Declining to disclose actual energy fees proposed by Symbion, Hinks said: “In fact, the fees will be reasonable…almost close to the ones which had been charged by Dowans Company.” (Mhhhh!)
Symbion also plans to embark on massive expansion of the plant, increasing the facility’s installed capacity by ten per cent--from 120 MW to 130 MW.

Symbion Power Chairman-Africa, Ambassador (rtd), Joseph Wilson said independent engineers recently tested the plant and confirmed that it was excellent and capable to produce power at short notice.

Symbion top officials said the firm has joined forces with ProEnergy Services, a US-based multi-national integrated service provider to the energy sector, which operates and maintains power plants on a global basis.

“ProEnergy Services has extensive aero-derivative gas turbine operation and maintenance experience, and will act as Symbion’s technical service partner,” said Wilson.

On Thursday, Permanent Secretary in the Energy and Minerals Ministry, David Jairo said the government would give full support to Symbion plan to switch on the plant, saying the move would bring great relief to the power crisis. (Mhhhh!)

“We want electricity; we want development for our people. We will definitely support the initiative,” said Jairo in an exclusive interview with The Guardian.

In a brief statement, US Ambassador, Alfonso E. Lenhardt said yesterday: "We are pleased with the announcement that Symbion Power has decided to invest in Tanzania by acquiring a 112-megawatt power plant.”

He said energy was essential to support industry, agriculture, the education and health sectors, social services, and reliable water supply, noting that the private sector will have an important role to play in providing long-term energy solutions in Tanzania.”

He said the US government supports the Energy Ministry's efforts to attract investors and facilitate public-private partnerships, noting: “We encourage Tanzania to continue improving conditions for investment. The United States actively promotes investment by American companies in Tanzania."


SOURCE: THE GUARDIAN
 
Symbion takes over Dowans power plant Purchase deal clinched at USD 120m

By Judica Tarimo

21st May 2011


Dowans(8).jpg

Dowans power plant

US-based energy firm Symbion Power yesterday concluded and signed a deal for full acquisition of the Dowans power plant that has lain idle at Ubungo Tanesco compound for quite some time.

"We are done…from now the plant will be called Symbion power plant and not Dowans," Chief Executive Officer of Symbion Power, Paul Hinks told a press conference after the official conclusion of prolonged negotiations between the US firm and Dowans company on the purchase deal.

"Both parties have signed an agreement for the acquisition of the 120MW power plant. The property is ours," said Hinks, alluding to the next stage of activating the plant to help ease the serious power crisis affecting the country.

Official announcement of conclusion of the deal and expected plan to switch on the plant is good news to the nation, which is currently enduring the pinch of extensive load-shedding prompted by the shutdown of Songo Songo gas processing plant for maintenance and drop in the water levels at strategic power stations due to poor rains.

The plant was purchased at the estimated cost of USD 120million, according to Symbion chief executive officer. He did not disclose the actual figure, but noted: "We bought it at a good price…it's an extremely good deal."

He explained: "Negotiations with the former owner (Dowans Company) have been challenging and as a consequence of past reports…we have undertaken due diligence. This due diligence also encompassed the thorough examination and testing of the equipment. The results have been positive; the plant has been well maintained."

Symbion power experts, he said, are currently finalising a proposal on key aspects - a plan to switch on the plant, energy fees structure and other modalities of working with Tanzania Electric Supply Company (Tanesco). (Mhhh! wamenunua mitambo tu na ghafla wanataka kuingia mkataba na TANESCO!!! kwanini wasibebe huo mtambo wakaenda nao kwao!? kwanini wasilete mtambo mpya?)

Hinks said they expect to submit the proposal to Tanesco on Monday." We will sit down and discuss it together including agreeing on energy fees which Tanesco will have to pay us for the electricity we will be selling to them."

Declining to disclose actual energy fees proposed by Symbion, Hinks said: "In fact, the fees will be reasonable…almost close to the ones which had been charged by Dowans Company." (Mhhhh!)
Symbion also plans to embark on massive expansion of the plant, increasing the facility's installed capacity by ten per cent--from 120 MW to 130 MW.

Symbion Power Chairman-Africa, Ambassador (rtd), Joseph Wilson said independent engineers recently tested the plant and confirmed that it was excellent and capable to produce power at short notice.

Symbion top officials said the firm has joined forces with ProEnergy Services, a US-based multi-national integrated service provider to the energy sector, which operates and maintains power plants on a global basis.

"ProEnergy Services has extensive aero-derivative gas turbine operation and maintenance experience, and will act as Symbion's technical service partner," said Wilson.

On Thursday, Permanent Secretary in the Energy and Minerals Ministry, David Jairo said the government would give full support to Symbion plan to switch on the plant, saying the move would bring great relief to the power crisis. (Mhhhh!)

"We want electricity; we want development for our people. We will definitely support the initiative," said Jairo in an exclusive interview with The Guardian.

In a brief statement, US Ambassador, Alfonso E. Lenhardt said yesterday: "We are pleased with the announcement that Symbion Power has decided to invest in Tanzania by acquiring a 112-megawatt power plant."

He said energy was essential to support industry, agriculture, the education and health sectors, social services, and reliable water supply, noting that the private sector will have an important role to play in providing long-term energy solutions in Tanzania."

He said the US government supports the Energy Ministry's efforts to attract investors and facilitate public-private partnerships, noting: "We encourage Tanzania to continue improving conditions for investment. The United States actively promotes investment by American companies in Tanzania."


SOURCE: THE GUARDIAN

Tunafuatilia details za hii sale kiasi gani serikali ya Tanzania imehusika katika haya mauzo na tunafanya uchunguzi nani kweli kamuuliza nani. Kama serikali imehusika kwa namna yeyote ile ni jinsi gani wakati hii mitambo sio ya serikali ya Tanzania na hizi pesa zimekwenda wapi? Details za transactions zinakuja Watanzania hili halijakwisha na mpaka jk aondoke na wizi wake huu.

Kutokana na huu ufisadi Tanzania, hii kampuni ya Symbolic Energy ni moja ya makampuni madogo na yanajitahidi kujiingiza Africa kwenye areas za energy. Its matter of time, tutaona jinsi gani na wanauwezo kiasi gani kujenga au capability yao bila kudanganya. Tukumbuke hizi kampuni zisiwe kama BEA ambazo zinaongozwa na wahuni fulani huko nje nchi. Sio kila kampuni inatoka Marekani inania ya kufanya biashara za kweli. What to look for now ni kwamba serikali ya Tanzania itataka ku-sign mkataba na Symbolic Power bila Wananchi kuchunguza hii kampuni na bila kujua uwezo na hasa details za hii mikataba. Kikwete ndio mipango yake kama alivyo incompetent kwa mambo mengine.

Symbion Power

"Ability to Lead Does Depend on Decisions You Take and Achievements Not Only Words"
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna vitu katika hii nchi, vipo ili visieleweke!
Juzi wakati naangalia ITV, naona wale wazungu na kusikia hiyo habari, nilipatwa na kizunguzungu wala sielewi kitu.​
 
Mtambo ni wa Dowans mnataka kujua anayelipwa kwani ni wenu! ambalo linawahusu watanzania ni bei ya umeme iwapo tanesco watakuwa na mkataba wa kuuziana umeme. Mbona kila kitu ni matusi tu. Chadema si mngeununu mkawasha bilicanas
 
Symbion takes over Dowans power plant Purchase deal clinched at USD 120m

By Judica Tarimo

21st May 2011


Dowans(8).jpg



Symbion Power Chairman-Africa, Ambassador (rtd), Joseph Wilson said independent engineers recently tested the plant and confirmed that it was excellent and capable to produce power at short notice.

SOURCE: THE GUARDIAN


I hope hii deal ya Symbion itakuwa na na less scandal na hawatatuuzia 'giza' kama wengine walipita.
Angalizo, Huyu Joseph Wilson ndio amekuwa Balozi kwa baadhi ya nchi za Africa lakini pia ni yeye na mke wake ni 'majasusi' wa high calibre' na kama mtakumbuka kuna kipindi mzozo ulitokea huko USA baada ya ofisi ya makamu wa raisi -wakati huo Dick Cheney kutuhumiwa kuwa wali-blow cover ya mke wa Joe Wilson. It was a big news. Sasa, sijui huku Tz atakuwa anahusika na kuzalisha umeme tu au atakuwa anachunguza Uranium. Nasema Uranium maana nchi alizofanyia kazi nyingi zina madini!!!!
 
Mtambo ni wa Dowans mnataka kujua anayelipwa kwani ni wenu! ambalo linawahusu watanzania ni bei ya umeme iwapo tanesco watakuwa na mkataba wa kuuziana umeme. Mbona kila kitu ni matusi tu. Chadema si mngeununu mkawasha bilicanas
Hata kama mtambo ni wa Dowans kwa nini hawa wanunuzi wepya hawaubebi na kuupeleka kwao? Mbona wameng'ang'ania kuuwasha Bongo na kuiuzia Tanesco? Sinema bado inaendelea na Watanzania si majuha.
 
Hata kama mtambo ni wa Dowans kwa nini hawa wanunuzi wepya hawaubebi na kuupeleka kwao? Mbona wameng'ang'ania kuuwasha Bongo na kuiuzia Tanesco? Sinema bado inaendelea na Watanzania si majuha.

Jasus naona hii sinema inageuka kuwa something more serious. Symbion Tanzania? Ndani ya hii kampuni kuna watu very 'professionals'. Symbion ina shareholders kama HART Group ya wakina Lord Richard Westbury (Huyu ni Lord kwa kurithi) na alikuwa kwenye Elite Squad ya kijeshi Uingereza. Huyu mkuregenzi mkuu Hicks ni mwingereza yuko ok. lakini niseme Symbion ni mkusanyiko wa majasusi wa uk na usa. yarabi twafa!
 
Symbion takes over Dowans power plant Purchase deal clinched at USD 120m

By Judica Tarimo

Symbion also plans to embark on massive expansion of the plant, increasing the facility's installed capacity by ten per cent--from 120 MW to 130 MW.


In a brief statement, US Ambassador, Alfonso E. Lenhardt said yesterday: "We are pleased with the announcement that Symbion Power has decided to invest in Tanzania by acquiring a 112-megawatt power plant."


SOURCE: THE GUARDIAN

Hapo kwenye BLUE changanya na za kwako!
 
Hizi siasa za Dowans na Tanesco, mke wa fulani ni jasusi blah blah blah kwa kweli ziishe sasa. What has happened has happened, and you can't undo things. Watu wapende wasipende; hilo Power-Plant lipo hapo Ubungo to stay. Kinachotakiwa ni hawa Symbion Power wazalishe umeme wa kuaminika na kwa bei poa. End of the story.
 
Mtambo ni wa Dowans mnataka kujua anayelipwa kwani ni wenu! ambalo linawahusu watanzania ni bei ya umeme iwapo tanesco watakuwa na mkataba wa kuuziana umeme. Mbona kila kitu ni matusi tu. Chadema si mngeununu mkawasha bilicanas

Embu tafakari wewe:-
1. Huu mtambo ni kodi yetu ilinunua
2. Tanesco wanawadai fidia ya kuvunja mkataba
3. TRA wanadai kodi ya kutosha tu,
4. Pia wanbatakiwa wadaiwe hela ya upangaji pale walipo panga,
5.Siku ya siku utasikia wamerithi mkataba wa Dowans kama dowans walivyo rithi Richmond.
 
Hizi siasa za Dowans na Tanesco, mke wa fulani ni jasusi blah blah blah kwa kweli ziishe sasa. What has happened has happened, and you can't undo things. Watu wapende wasipende; hilo Power-Plant lipo hapo Ubungo to stay. Kinachotakiwa ni hawa Symbion Power wazalishe umeme wa kuaminika na kwa bei poa. End of the story.

I wish ningekuwa na moyo kama wako. But the thing is ndugu yangu OneManArmyMan I know what I know, and you know what you. And what I know huwa hawaji hivi hivi. Sitaki kupiga kelele sana but I pray to the almighty god that I am wrong, very wrong on this you want to call blah blah. mmmm.....
 
Embu tafakari wewe:-
1. Huu mtambo ni kodi yetu ilinunua
2. Tanesco wanawadai fidia ya kuvunja mkataba
3. TRA wanadai kodi ya kutosha tu,
4. Pia wanbatakiwa wadaiwe hela ya upangaji pale walipo panga,
5.Siku ya siku utasikia wamerithi mkataba wa Dowans kama dowans walivyo rithi Richmond.

Weka ushahidi wa kila statement uliyotoa hapo juu. Last time I checked, mtambo ni mali ya DOWANS, na Dowans walishinda kesi ICC na ni TANESCO wanaodaiwa mabilioni. Status quo hii haijabadilika hadi leo hii.
 
I wish ningekuwa na moyo kama wako. But the thing is ndugu yangu OneManArmyMan I know what I know, and you know what you. And what I know huwa hawaji hivi hivi. Sitaki kupiga kelele sana but I pray to the almighty god that I am wrong, very wrong on this you want to call blah blah. mmmm.....

What are you trying to say bro? Wewe ni mnajimu a la Sheikh Y. Hussein hadi utabiri hili dili ya Symbion Power ni utapeli? Unataka kusema hakuna umeme utakaozalishwa na Symbion Power?
 
Back
Top Bottom