Symbion Power acquires DOWANS Power plant

What are you trying to say bro? Wewe ni mnajimu a la Sheikh Y. Hussein hadi utabiri hili dili ya Symbion Power ni utapeli? Unataka kusema hakuna umeme utakaozalishwa na Symbion Power?

@ OneManArmyMan, I am not talking about unajimu ndugu na wala siamini kwenye unajimu. Ninachongelea hapa is something more serious na sii hii science ya ujima. In all probability Symbion watazalisha hizo megawatt 120 ila kumbuka ukifungua dirisha huwa unapata upepo lakini na nzi, mbu nao wanakuwa wageni wako!. Na ndio maana huwa tunaweka net kwenye madirisha. Symbion Power wataliza umeme and a lot more! Kwa taarifa yako HART group ambao ni shareholders wakubwa wa hawa Symbion wako Afghanistan, Baghdad wakitoa ulinzi huko (security).
 
@ OneManArmyMan, I am not talking about unajimu ndugu na wala siamini kwenye unajimu. Ninachongelea hapa is something more serious na sii hii science ya ujima. In all probability Symbion watazalisha hizo megawatt 120 ila kumbuka ukifungua dirisha huwa unapata upepo lakini na nzi, mbu nao wanakuwa wageni wako!. Na ndio maana huwa tunaweka net kwenye madirisha. Symbion Power wataliza umeme and a lot more! Kwa taarifa yako HART group ambao ni shareholders wakubwa wa hawa Symbion wako Afghanistan, Baghdad wakitoa ulinzi huko (security).
But still, what exactly is your point, bro? Lets say, okay, Symbion Power watazalisha hizo 120MW (and ultimately up to 130MW as per PP agreement with Tanesco.) And then what happens next? Please be more specific as to elaborate the kind of post-scenario(s) you're trying to allude to in your post.
 
But still, what exactly is your point, bro? Lets say, okay, Symbion Power watazalisha hizo 120MW (and ultimately up to 130MW as per PP agreement with Tanesco.) And then what happens next? Please be more specific as to elaborate the kind of post-scenario(s) you're trying to allude to in your post.

Enjoy the power!
 
rich monduli--->do once----> symbiotic bacteria----> ?????

sirikali ya kikkwere=taa-na-usiku = tanesco=shamba la BIBI
 
I hope hii deal ya Symbion itakuwa na na less scandal na hawatatuuzia 'giza' kama wengine walipita.
Angalizo, Huyu Joseph Wilson ndio amekuwa Balozi kwa baadhi ya nchi za Africa lakini pia ni yeye na mke wake ni 'majasusi' wa high calibre' na kama mtakumbuka kuna kipindi mzozo ulitokea huko USA baada ya ofisi ya makamu wa raisi -wakati huo Dick Cheney kutuhumiwa kuwa wali-blow cover ya mke wa Joe Wilson. It was a big news. Sasa, sijui huku Tz atakuwa anahusika na kuzalisha umeme tu au atakuwa anachunguza Uranium. Nasema Uranium maana nchi alizofanyia kazi nyingi zina madini!!!!

Ni kweli kabisa hapa kuna kivuli fulani kama makala ya gazeti la Raiamwema lilivyochambua changamoto za Milenia:
Na Padri Privatus Karugendo
Gazeti la Raiamwema
MIRADI ya Changamoto za Milenia, kwa walio wengi, na hasa mijini (wasomi na waelewa) inajulikana kama "Miradi ya Bush" au "Fedha za Wamarekani". Miradi hii ni ya barabara, maji, afya, elimu, umeme nk. Kiasi kikubwa miradi hii iko katika hatua za utekelezwaji. Vijijini miradi hii inajulikana kama "Miradi ya Mheshimiwa Jakaya Kikwete"; maana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 aliahidi vitu vingi ambavyo alijua kwa uhakika vitatekelezwa na mfuko wa miradi ya Changamoto za Milenia. Mashabiki wa CCM wanaamini miradi hii ni utekelezaji wa sera nzuri za chama chao.

Tatizo letu kubwa hapa Tanzania na nchi nyingi za dunia ya tatu (AFRIKA) ni kufumbwa macho na upole wa njiwa. Anayeleta msaada ana lengo lake; hivyo ni muhimu anayepokea msaada awe na matumaini na malengo ya muda mrefu pia! Bila kuumizana, anayetoa na anayepokea wanufaike sawa au kwa kupishana kidogo.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza. Na sasa hivi ninapoandika makala hii mradi huu umefikia hatua ya kuandaa fidia kwa mali za wananchi zitakazoathiriwa na mradihuu wa kukarabati na uwekaji wa miundombinu mipya ya kusafirisha umeme. Wananchi ambao mazao yao yataguswa na njia ya umeme watalipwa fidia na wale ambao nyumba zao zitabomolewa watalipwa fidia au watajengewa nyumba nyingine.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza.
Nimezungukia mikoa yote sita na kupitia karibia vijiji vyote vitakavyonufaika na mradi huu. Swali langu kubwa kama mchambuzi wa masuala ya kijamii ni: Ni vigezo gani vilitumika kuichagua mikoa hii sita kunufaika na mradi huu? Je ni serikali ya Tanzania iliichagua mikoa hii (kwa vigezo gani?) au Wamarekani wenyewe waliichagua mikoa hii?

Baada ya kuzunguka katika mikoa yote sita, jibu nililolipata si la ni nani alichagua mikoa, wilaya na vijiji kwa vigezo gani; bali kwa mtizamo binafsi. Ni kwamba vijiji vyote vitakavyonufaika na mpango huu wa kusogeza huduma ya umeme vimesheheni madini na raslimali nyingi. Ardhi ya vijiji hivi ina rutuba na nzuri kwa uwekezaji wa kilimo, uwindaji, utalii na viwanda.

Mfano, wilaya ya Morogoro vijijini, Kata ya Matombo itanufaika na huduma hii ya umeme. Kata ya Matombo inajulikana kwa uzalishaji wa matunda na mazao mengine mengi. Inaaminika kwamba msitu wa asili ya Kimboza umesheheni madini ya kila aina. Njia ya kwenda Matombo ni njia ya utalii na kuna uwezekano wa kuipanua njia hii kwa siku za usoni.

Je, inawezekana Mfuko wa Changamoto za Milenia unatumika kutengeneza miundombinu ya wawekezaji kutoka Marekani? Wakija kuwekezawakute umeme? Kwao iwe ni rahisi kuvuta na kuutumia jinsi watakavyo? Ni msaada au ni upole wa njiwa na ujanja wa nyoka?

Dodoma, itanufaika na mradi huu! Sote tunajua kwamba mkoa huu umesheheni madini muhimu sana. Wilaya ya Mpwapwa tayari ina machimbo yanayoendelea. Inawezekana zoezi zima la kusogeza umeme vijijini ni kuandaa miundombinu ya wawekezaji? Katika vijiji vya Tubugwe na Hogoro, wilaya ya Kongwa, asilimia tisini (90) ya wanavijiji walisema hawana uwezo wa kuuvuta umeme kuingiza kwenye nyumba zao. Mradi wa kuziboresha nyumba zao ungekuwa muhimu zaidi ya umeme. Na wale waliosema wanaweza kuuvuta, hawakuwa na uhakika wa kulipa bili kila mwezi.

Wilaya ya Geita nako vijiji vingi vyenye machimbo ya dhahabu vitanufaika na mradi huu. Nyumba nyingi za wananchi hazina ubora wa kuunganisha umeme. Ni wazi huduma hii imewalenga wawekezaji zaidi ya wananchi.

Haiwezekani Wamarekani wakatusaidia sisi bila wao kuwa na malengo yao; ni wapole kama njiwa, lakini wajanja kama nyoka. Wito wangu ni kwamba na sisi tusipokee msaada bila kuwa na malengo yetu. Wao wanasogeza umeme kwenye maeneo yenye madini na yenye uwezekano wa kuwekeza kwenye mambo mbalimbali, na hawana mpango wa kuanzisha vyanzo vipya vya kuzalisha umeme; basi, sisi tuanze mkakati wa kusambaza umeme vijijini na kutoa elimu juu ya matumizi ya umeme sambamba na kuanzisha vyanzo vipya ya kuzalisha umeme. Kwa njia hii Wamarekani watanufaikana sisi tutavuna vya kutosha!

Soma makala nzima ktk link hapa chini:
Source: Raiamwema Toleo namba 175 tarehe 2, Machi 2011 Utata wa miradi ya umeme ya Changamoto za Milenia
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ni kweli kabisa hapa kuna kivuli fulani kama makala ya gazeti la Raiamwema lilivyochambua changamoto za Milenia:
Na Padri Privatus Karugendo
Gazeti la Raiamwema
MIRADI ya Changamoto za Milenia, kwa walio wengi, na hasa mijini (wasomi na waelewa) inajulikana kama "Miradi ya Bush" au "Fedha za Wamarekani". Miradi hii ni ya barabara, maji, afya, elimu, umeme nk. Kiasi kikubwa miradi hii iko katika hatua za utekelezwaji. Vijijini miradi hii inajulikana kama "Miradi ya Mheshimiwa Jakaya Kikwete"; maana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 aliahidi vitu vingi ambavyo alijua kwa uhakika vitatekelezwa na mfuko wa miradi ya Changamoto za Milenia. Mashabiki wa CCM wanaamini miradi hii ni utekelezaji wa sera nzuri za chama chao.

Tatizo letu kubwa hapa Tanzania na nchi nyingi za dunia ya tatu (AFRIKA) ni kufumbwa macho na upole wa njiwa. Anayeleta msaada ana lengo lake; hivyo ni muhimu anayepokea msaada awe na matumaini na malengo ya muda mrefu pia! Bila kuumizana, anayetoa na anayepokea wanufaike sawa au kwa kupishana kidogo.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza. Na sasa hivi ninapoandika makala hii mradi huu umefikia hatua ya kuandaa fidia kwa mali za wananchi zitakazoathiriwa na mradihuu wa kukarabati na uwekaji wa miundombinu mipya ya kusafirisha umeme. Wananchi ambao mazao yao yataguswa na njia ya umeme watalipwa fidia na wale ambao nyumba zao zitabomolewa watalipwa fidia au watajengewa nyumba nyingine.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza.
Nimezungukia mikoa yote sita na kupitia karibia vijiji vyote vitakavyonufaika na mradi huu. Swali langu kubwa kama mchambuzi wa masuala ya kijamii ni: Ni vigezo gani vilitumika kuichagua mikoa hii sita kunufaika na mradi huu? Je ni serikali ya Tanzania iliichagua mikoa hii (kwa vigezo gani?) au Wamarekani wenyewe waliichagua mikoa hii?

Baada ya kuzunguka katika mikoa yote sita, jibu nililolipata si la ni nani alichagua mikoa, wilaya na vijiji kwa vigezo gani; bali kwa mtizamo binafsi. Ni kwamba vijiji vyote vitakavyonufaika na mpango huu wa kusogeza huduma ya umeme vimesheheni madini na raslimali nyingi. Ardhi ya vijiji hivi ina rutuba na nzuri kwa uwekezaji wa kilimo, uwindaji, utalii na viwanda.

Mfano, wilaya ya Morogoro vijijini, Kata ya Matombo itanufaika na huduma hii ya umeme. Kata ya Matombo inajulikana kwa uzalishaji wa matunda na mazao mengine mengi. Inaaminika kwamba msitu wa asili ya Kimboza umesheheni madini ya kila aina. Njia ya kwenda Matombo ni njia ya utalii na kuna uwezekano wa kuipanua njia hii kwa siku za usoni.

Je, inawezekana Mfuko wa Changamoto za Milenia unatumika kutengeneza miundombinu ya wawekezaji kutoka Marekani? Wakija kuwekezawakute umeme? Kwao iwe ni rahisi kuvuta na kuutumia jinsi watakavyo? Ni msaada au ni upole wa njiwa na ujanja wa nyoka?

Dodoma, itanufaika na mradi huu! Sote tunajua kwamba mkoa huu umesheheni madini muhimu sana. Wilaya ya Mpwapwa tayari ina machimbo yanayoendelea. Inawezekana zoezi zima la kusogeza umeme vijijini ni kuandaa miundombinu ya wawekezaji? Katika vijiji vya Tubugwe na Hogoro, wilaya ya Kongwa, asilimia tisini (90) ya wanavijiji walisema hawana uwezo wa kuuvuta umeme kuingiza kwenye nyumba zao. Mradi wa kuziboresha nyumba zao ungekuwa muhimu zaidi ya umeme. Na wale waliosema wanaweza kuuvuta, hawakuwa na uhakika wa kulipa bili kila mwezi.

Wilaya ya Geita nako vijiji vingi vyenye machimbo ya dhahabu vitanufaika na mradi huu. Nyumba nyingi za wananchi hazina ubora wa kuunganisha umeme. Ni wazi huduma hii imewalenga wawekezaji zaidi ya wananchi.

Haiwezekani Wamarekani wakatusaidia sisi bila wao kuwa na malengo yao; ni wapole kama njiwa, lakini wajanja kama nyoka. Wito wangu ni kwamba na sisi tusipokee msaada bila kuwa na malengo yetu. Wao wanasogeza umeme kwenye maeneo yenye madini na yenye uwezekano wa kuwekeza kwenye mambo mbalimbali, na hawana mpango wa kuanzisha vyanzo vipya vya kuzalisha umeme; basi, sisi tuanze mkakati wa kusambaza umeme vijijini na kutoa elimu juu ya matumizi ya umeme sambamba na kuanzisha vyanzo vipya ya kuzalisha umeme. Kwa njia hii Wamarekani watanufaikana sisi tutavuna vya kutosha!

Soma makala nzima ktk link hapa chini:
Source: Raiamwema Toleo namba 175 tarehe 2, Machi 2011 Utata wa miradi ya umeme ya Changamoto za Milenia

You could in the least taken the trouble to summarize whatever specific points or arguments you think are relevant to the discussion at hand, halafu unge-argue convincingly and detailed in support of your contentions thereon (while at the same time remembering to include whatever evidence you may have to back up your arguments.) Siyo unajaribu kujificha kwenye maoni ya mtu mwingine (i.e., taking a free ride on other folk's intellectual effort) kwenye verbose and opinionated article kama hiyo.
 
Hakuna kuingia nao mkataba, waibebe tu wapeleke wanapojua wenyewe. Kinachotakiwa ni serikali kupitia TANESCO kununua mitanbo kama hiyo, uwezo inao. Haina haja kabisa kujiingiza kwenye mikataba zaidi, hao ni walewale tu, kilichofanyika ni kubadili jina tu kama muven pick inavyobadili kila baada ya miaka mitano ili tax holiday iendelee. Tanesco kanunueni mitambo yenu, mikataba hii imewamaliza kabisa, haifai.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtambo ni wa Dowans mnataka kujua anayelipwa kwani ni wenu! ambalo linawahusu watanzania ni bei ya umeme iwapo tanesco watakuwa na mkataba wa kuuziana umeme. Mbona kila kitu ni matusi tu. Chadema si mngeununu mkawasha bilicanas

ni muendelezo wa magamba huuuuuuuuuu
 
1.Mahakama kuu iliikataza TANESCO kuingia mkataba mwingine na Dowans kutokana na kuwepo kesi mahakamani kuhusiana na malipo ya $94 million, kulikoni tena hawa Symbion wanataka kuingia mkataba mpya na TANESCO wakati kesi hiyo bado iko mahakamani? Je, Serikali itazishinikiza Board of Directors & TANESCO's management waifute kesi hiyo kule mahakama kuu!?

2. Kuna mauzo kweli yaliyofanyika au Dowans wanataka kuingia mkataba mpya na TANESCO kupitia mgongo wa Symbion?
3. Malipo hayo kwa mtambo huo yalifanywa kwa kutumia njia ipi ya malipo? (cheque, Bank draft etc)
4. Je, malipo hayo yalifanywa kwa Al adawi, Rostam au Dowans?
5. Kuna uthibitisho wowote toka Symbion na Dowans kwamba malipo hayo kweli yalifanyika au ni kiini macho tu katika kuendeleza ufisadi wa Al adawi na Rostam


soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/114612-mahakama-yazuia-mkataba-wa-tanesco-dowans.html


http://www.mwanahalisi.co.tz/serikali_inaihujumu_tanesco_kwa_ajili_ya_dowans

Lakini, wakati kamati ikitoa mapendekezo hayo, jana Jaji Emilian Mushi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam anayesikiliza maombi ya usajili wa tuzo ya Kampuni ya Dowans iliyoshinda iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Kibiashara(ICC), dhidi ya Tanesco alitoa agizo kuwa lisifanyike jambo lolote kuhusu Dowans nje ya mahakama.

“Naagiza jambo lolote lisifanyike nje ya mahakama wakati ikiendelea na shauri hili. Kama kutahitajika kuwa na majadiliano yoyote basi pande husika zilete maombi mahakamani ili iweze kusimamisha kwanza mchakato huu kusubiri majadiliano hayo."

Jaji Mushi alisema: "Haitakuwa vyema mahakama kuendelea na mchakato wakati na huko nje majadiliano yakiendelea. Kama pande hizo zikiafikiana, basi zinaweza kuja ‘ku-withdraw’ (kuondoa shauri) na kama zitashindwana basi ndipo tutakapoendelea na mchakato.”
 
jamani mimi hapa nimekuwa confused kabisaa! Na tayari mimi na ninafkiri na watz wenzangu pia tumechoswa na hizi sarakasi kutoka kwa makampuni ya kuzalisha umeme i.e. Songas, iptl etal. Mimi sina shida na hao symboian or whatever historical background au ni kina na wametoka wapi.

Wasiwasi wangu ni je? Kama wamatake over dowans lile tozo la ICC nalo wamelichukua? Au liko kwa dowans isije ikawa lilikuwa included ktk selling price afu wao waje kulipwa na tanesco! Hebu hapo mnaofahamu nielewesheni maana nazidi kuchanganyikiwa, kingine je wako capable kutakeover ni walewale tu kwa majina tofauti! Je wanaaminika? Na lingine kwa upande wa dowans lile tozo ni vipi au wamelipotezea? Maana cjackia hata kesi mahakamani inaendeleaje na kama kipo si riba inaongezeka au? Tusije kuja daiwa deni ambalo kulilipa ni kasheshe.

Kwa kweli mgao unaboa na kuporomosha uchumi wa nchi hili tatizo viongozi wa serikali na Tanesco msilifanye deal jamani ni bora mjitenge na issue zinazokanganya ktk hili usanii usiwepo kuwa na transparency plz plz kusiwe na room for errors otherwise i wish them all the best.

Khaa tumechoshwa na sarakasi za umeme ka kidonda ndugu hebu for once and all tatueni hii mambo
 
Hizi siasa za Dowans na Tanesco, mke wa fulani ni jasusi blah blah blah kwa kweli ziishe sasa. What has happened has happened, and you can't undo things. Watu wapende wasipende; hilo Power-Plant lipo hapo Ubungo to stay. Kinachotakiwa ni hawa Symbion Power wazalishe umeme wa kuaminika na kwa bei poa. End of the story.

Nadhani ukiambiwa umeuzwa ili mradi unapatiwa chakula na matumizi utakubali na kuweka ful stop pasipo hata kuuliza kwa nini umeuzwa! So sad!! Yet mnajidai mna inteligensia!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hivi hakuna watu wa kuilipua ile mitambo ili yaishe? Watanzania tumekuwa na maneno mengi vitendo sifuri. Njia kuu za uchumi zinamilikiwa na Mafisadi tutafika kweli? Hata nchi zilizoendelea njia kuu za uchumi kamwe hazimilikiwi na watu au makampuni binafsi.
 
Toka gazeti la Mwananchi:

Hata hivyo, habari zaidi kuhusu mauzo hayo hazikutolewa kwa kuwa Dowans imepewa nguvu ya sheria (nani katoa nguvu hii ya sheria!?) ya kuzuia mtu kupewa siri za ndani za mipango hiyo bila idhini yake.

"Makubaliano yetu yamebanwa na vipengele vinavyozuia kuelezwa ovyo hadharani bila ruhusa ya muuzaji," alisema Mtendaji Mkuu wa Symbion Power, Paul Hinks. (Mhhhh! Wanaficha nini!?)
 
cdm kwenye hii dili mtapata ngapi kama kifutia jasho kwa kazi nzuri mliyofanya ya kutetea rachel
 
Kwa nini wasinunue na kupakia kwenye kontena na kuelekea kwao kama wanaitaka mitambo? Tanzania tulishaikataa mitambo iyo na nakuhakikishia hata ikinunuliwa na 'MALAIKA' hatutaikubali. Tz tukikamata silaha kwa jambazo huwa tunaiteketeza wala si kwenda kuitumia central haijalishi ni AK 47 au gobore.

Mitambo ya jambazi sasa inanunuliwaje na hawa watu alaf wanagang'ania kutupa umeme? Yapata mwezi ivi,mgao wa umeme wa kisiasa uliisha wenyewe bila ya dowans,ilikuwaje na nani aliamua bado ni fumbo la amani. Taifa kama halina Rais,tuambiwe wananchi twaweza kuamua wenyewe bila mwakilishi/rais. Jamani upuuzi huu umekuwa kama njozi.

Ikumbukwe kuwa mmliki hewa wa dowans,al alda'iwi hatujamlipa alaf anampa mwenzie symbion kuwa 'nawe kajaribu deal' utakula bingo watz wamelala,jaman jaman! Najua wabunge wetu watasimama na mashetani hawa watashindwa!
 
Ni kweli kabisa hapa kuna kivuli fulani kama makala ya gazeti la Raiamwema lilivyochambua changamoto za Milenia:
Na Padri Privatus Karugendo
Gazeti la Raiamwema
MIRADI ya Changamoto za Milenia, kwa walio wengi, na hasa mijini (wasomi na waelewa) inajulikana kama “Miradi ya Bush” au “Fedha za Wamarekani”. Miradi hii ni ya barabara, maji, afya, elimu, umeme nk. Kiasi kikubwa miradi hii iko katika hatua za utekelezwaji. Vijijini miradi hii inajulikana kama “Miradi ya Mheshimiwa Jakaya Kikwete”; maana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 aliahidi vitu vingi ambavyo alijua kwa uhakika vitatekelezwa na mfuko wa miradi ya Changamoto za Milenia. Mashabiki wa CCM wanaamini miradi hii ni utekelezaji wa sera nzuri za chama chao.

Tatizo letu kubwa hapa Tanzania na nchi nyingi za dunia ya tatu (AFRIKA) ni kufumbwa macho na upole wa njiwa. Anayeleta msaada ana lengo lake; hivyo ni muhimu anayepokea msaada awe na matumaini na malengo ya muda mrefu pia! Bila kuumizana, anayetoa na anayepokea wanufaike sawa au kwa kupishana kidogo.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza. Na sasa hivi ninapoandika makala hii mradi huu umefikia hatua ya kuandaa fidia kwa mali za wananchi zitakazoathiriwa na mradihuu wa kukarabati na uwekaji wa miundombinu mipya ya kusafirisha umeme. Wananchi ambao mazao yao yataguswa na njia ya umeme watalipwa fidia na wale ambao nyumba zao zitabomolewa watalipwa fidia au watajengewa nyumba nyingine.

Tanzania Bara mradi huu utatekelezwa katika mikoa sita ya Tanga, Morogoro, Mbeya,Iringa, Dodoma na Mwanza.
Nimezungukia mikoa yote sita na kupitia karibia vijiji vyote vitakavyonufaika na mradi huu. Swali langu kubwa kama mchambuzi wa masuala ya kijamii ni: Ni vigezo gani vilitumika kuichagua mikoa hii sita kunufaika na mradi huu? Je ni serikali ya Tanzania iliichagua mikoa hii (kwa vigezo gani?) au Wamarekani wenyewe waliichagua mikoa hii?

Baada ya kuzunguka katika mikoa yote sita, jibu nililolipata si la ni nani alichagua mikoa, wilaya na vijiji kwa vigezo gani; bali kwa mtizamo binafsi. Ni kwamba vijiji vyote vitakavyonufaika na mpango huu wa kusogeza huduma ya umeme vimesheheni madini na raslimali nyingi. Ardhi ya vijiji hivi ina rutuba na nzuri kwa uwekezaji wa kilimo, uwindaji, utalii na viwanda.

Mfano, wilaya ya Morogoro vijijini, Kata ya Matombo itanufaika na huduma hii ya umeme. Kata ya Matombo inajulikana kwa uzalishaji wa matunda na mazao mengine mengi. Inaaminika kwamba msitu wa asili ya Kimboza umesheheni madini ya kila aina. Njia ya kwenda Matombo ni njia ya utalii na kuna uwezekano wa kuipanua njia hii kwa siku za usoni.

Je, inawezekana Mfuko wa Changamoto za Milenia unatumika kutengeneza miundombinu ya wawekezaji kutoka Marekani? Wakija kuwekezawakute umeme? Kwao iwe ni rahisi kuvuta na kuutumia jinsi watakavyo? Ni msaada au ni upole wa njiwa na ujanja wa nyoka?

Dodoma, itanufaika na mradi huu! Sote tunajua kwamba mkoa huu umesheheni madini muhimu sana. Wilaya ya Mpwapwa tayari ina machimbo yanayoendelea. Inawezekana zoezi zima la kusogeza umeme vijijini ni kuandaa miundombinu ya wawekezaji? Katika vijiji vya Tubugwe na Hogoro, wilaya ya Kongwa, asilimia tisini (90) ya wanavijiji walisema hawana uwezo wa kuuvuta umeme kuingiza kwenye nyumba zao. Mradi wa kuziboresha nyumba zao ungekuwa muhimu zaidi ya umeme. Na wale waliosema wanaweza kuuvuta, hawakuwa na uhakika wa kulipa bili kila mwezi.

Wilaya ya Geita nako vijiji vingi vyenye machimbo ya dhahabu vitanufaika na mradi huu. Nyumba nyingi za wananchi hazina ubora wa kuunganisha umeme. Ni wazi huduma hii imewalenga wawekezaji zaidi ya wananchi.

Haiwezekani Wamarekani wakatusaidia sisi bila wao kuwa na malengo yao; ni wapole kama njiwa, lakini wajanja kama nyoka. Wito wangu ni kwamba na sisi tusipokee msaada bila kuwa na malengo yetu. Wao wanasogeza umeme kwenye maeneo yenye madini na yenye uwezekano wa kuwekeza kwenye mambo mbalimbali, na hawana mpango wa kuanzisha vyanzo vipya vya kuzalisha umeme; basi, sisi tuanze mkakati wa kusambaza umeme vijijini na kutoa elimu juu ya matumizi ya umeme sambamba na kuanzisha vyanzo vipya ya kuzalisha umeme. Kwa njia hii Wamarekani watanufaikana sisi tutavuna vya kutosha!

Soma makala nzima ktk link hapa chini:
Source: Raiamwema Toleo namba 175 tarehe 2, Machi 2011 Utata wa miradi ya umeme ya Changamoto za Milenia[Hao pia ni wezi wamebadirisha umiliki wa kampuni]
 
Tetea hoja zako kwa kauli zinazoeleweka na kwa kutoa ushahidi, siyo unaishia kuzungumza kimafumbo tu bro.
Watu wanajitahidi kuangalia hii issue kwa jicho la tatu,wewe unaleta blah! blah! blah! na ujuaji wa kupanga maneno kama uko kwenye mipasho.
 
kampuni moja inayojulikana kwa jani la symbion ya nchini marekani imenunu
mitambo ya dowans iliyopo ubungo dsm
taarifa zinasema viongozi wa kampuni hiyo wamesema ni kweli wamenunua mitambo hiyo
lakini wamegoma kusema ni tsh ngapi au usd ngapi walizotoa kununua mitambo hiyo
pia wamegoma kusema endapo watakubaliana na tanesco watawauzia kiasi gani

Siri sirini!..umenunua kitu kihalali. Umeambiwa bei umeridhika nayo ukalipa bei uliyotakiwa kuilipa kile kitu sasa ni chako kihalali. Sasa inakuwaje tena ufanye siri pale ambapo Watanzania wanataka kuhakikisha kwamba kweli mauzo yalifanyika na ushahidi wa kutosha kwamba mauzo hayo yalifanyika uko toka kwa mnunuaji na muuzaji? Kuna kitu hapa tena si kidogo.

Rostam kaenda kuchukua Wazungu kwa kudhani kwamba atatuchuuza kwamba mitambo hiyo imeuzwa ili apate mteremko wa kusaini tena mkataba na TANESCO, mkataba ambao Watanzania tumeukataa kwa nguvu zote hasa ukitilia maanani ufisadi mkubwa uliogubikwa na hii kampuni ya Richmond/Dowans tangu mwaka 2006 hadi sasa.
 
1.Mahakama kuu iliikataza TANESCO kuingia mkataba mwingine na Dowans kutokana na kuwepo kesi mahakamani kuhusiana na malipo ya $94 million, kulikoni tena hawa Symbion wanataka kuingia mkataba mpya na TANESCO wakati kesi hiyo bado iko mahakamani? Je, Serikali itazishinikiza Board of Directors & TANESCO's management waifute kesi hiyo kule mahakama kuu!?

2. Kuna mauzo kweli yaliyofanyika au Dowans wanataka kuingia mkataba mpya na TANESCO kupitia mgongo wa Symbion?
3. Malipo hayo kwa mtambo huo yalifanywa kwa kutumia njia ipi ya malipo? (cheque, Bank draft etc)
4. Je, malipo hayo yalifanywa kwa Al adawi, Rostam au Dowans?
5. Kuna uthibitisho wowote toka Symbion na Dowans kwamba malipo hayo kweli yalifanyika au ni kiini macho tu katika kuendeleza ufisadi wa Al adawi na Rostam


soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/114612-mahakama-yazuia-mkataba-wa-tanesco-dowans.html


Serikali inaihujumu TANESCO kwa ajili ya Dowans? | Gazeti la MwanaHalisi

Lakini, wakati kamati ikitoa mapendekezo hayo, jana Jaji Emilian Mushi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam anayesikiliza maombi ya usajili wa tuzo ya Kampuni ya Dowans iliyoshinda iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Kibiashara(ICC), dhidi ya Tanesco alitoa agizo kuwa lisifanyike jambo lolote kuhusu Dowans nje ya mahakama.

"Naagiza jambo lolote lisifanyike nje ya mahakama wakati ikiendelea na shauri hili. Kama kutahitajika kuwa na majadiliano yoyote basi pande husika zilete maombi mahakamani ili iweze kusimamisha kwanza mchakato huu kusubiri majadiliano hayo."

Jaji Mushi alisema: "Haitakuwa vyema mahakama kuendelea na mchakato wakati na huko nje majadiliano yakiendelea. Kama pande hizo zikiafikiana, basi zinaweza kuja ‘ku-withdraw' (kuondoa shauri) na kama zitashindwana basi ndipo tutakapoendelea na mchakato."

Maswali mazuri. La kwanza ni nani mmiliki wa Dowans? Na pili, deni la Dowans limekuwaje?
 
Back
Top Bottom