Swissport co ltd imejaa vihiyo watupu

Wanandugu habari zilizotufikia hivi punde baada ya kuonyesha makeke yake katika kuondoa uchafu na uozo wa b.o.t
kashfa nyingine imeikumba kampuni ya mizigo ya swisssport co ltd
vyanzo vya habari cvinaeleza hivi punde kuna baadhi ya watu walidiriki kwenda kwa meneja utawala kuongelea hali halisi ya mishahara yao na katika kujibishana na kuelekezana akapatikaana
mh mmoja akilalamika mbona watu wanalipwa pesa nyingi na uku
wamepata div 0 huku wengine tukiumia
katika maalamiko hayo meneja huyo alidiriki kumhakikishia kama ataweza kumtaja basi ataanzia kwa huyo muhusika
vyanzo vyetu vinasema mh huyo alipotajwa alipelekewa barua ya kuomba kujieleza elimu yake hapo ndipo shuguli ilipoanza
habari zaidi zinasema mh ilibidi amfwate meneja na kumweleza ukweli alidiriki kufoji kutafuta maisha na ndipo alipoakikishiwa hata saini tena mkataba akimaliza
katika mahojiano ya hivi karibuni baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakipelekewa barua za kujieleza kuhusu elimu zao na kufikiwa wengine kuacha bila hata kuaga

kwa maoni yetu hii kampuni imekuwa ikiajiri kila mwezi na kulipa mishahara midogo tungeomba serikali waifwatilie na kuiangali ili watu waweze kulipwa inavyotakiwa wakiachana na mtindo wa meneja mkuu kuamini ana uwezo wa kuajiri saa yote hivyo kujaza mafisadi na vihyo mbofumbofu

pili imefika wakati wa kuangalia vyeti vya wahusika na wote wakipatikana washugulikiwe ipasavyo na si kuahidiwa kutosaini tena mkataba


wenu
mwanampotevu
Unewataja majina kuliko kuanzisha speculation
 
Ndio maana kwenye maelezo yangu hapo juu nimeanza kwa kuwatahadharisha wale mnaopenda kurukia vitu hovyo hovyo bila kuvijua!
Na wewe mushi ni mmoja wao,bila kutafakari umeingia kichwa kichwa kwa kuwa tu wachaga wametajwa!!!
We unaelewa kuwa wachaga ni mojawapo ya makabila machache sana hapa bongo yanayoendekeza ubaguzi,kupeana ajira,nafasi za masomo na upendeleo wa kila namna,hii ilishajadiliwa hapa kwa kirefu sana na wale ambao kwa namna moja ama nyingine mnafaidika na ubaguzi huo mmekuwa mkiwatetea sana hao wachaga wabaguzi.
suala la kutandikwa bakora hapa halipo,kama ulitaka marehemu chacha wangwe apigwe risasi na akauawa kweli ukafurahia.kwa taarifa yako hapa huwezi kufanya lolote.
sasa unaposema mtanikataa, nyie akina nani?na wenzako msiotaka wachaga waguswe?hata kama wanayotenda ni maudhi kwa wengine na ni kinyume na taratibu na sheria?au ni wewe peke yako?hivi ukinikataa itakuwaje?nitapungukiwa nini?yaani sikuelewi kabisa wala hunipi homa kabisa kajaribu kwingine mushi.

Kumekucha safi sana mkuu kwa mwambia ukweli huyo CHEUPE MEKU cc Ritz THE BIG SHOW Nicholas
 
Last edited by a moderator:
kampuni hii huwa naona kama ya ki ndugu ndugu tu sijui!

Upo sawa kabisa mkuu,me nishawai ku apply kazi pale na cheti cha form four hawakuniita,nika appy na cheti cha form six vilevile hawakuniita na mwishowe nikaweka mpaka cha chuo nacho hola.Nakumbuka kuna mzee mmoja aliwahi kunambia kama sina mtu anaenifahamu nisihangaike kutuma maombi.Leo nayaamini kabisa maneno yake.Swissport wahuni sana kwenye ajira zao
 
Ukianza kujadili ubaguzi na ubinafsi unaofanywa na wachaga hapa tanzania,inaniwia vigumu sana kuunga mkono cdm.Watu hawa wanasifiwa kwa maendeleo na ujenzi wa makazi huko kwao lakin yanayofanyika nyuma yake yanatisha! wananunua nafasi za kazi,wananunua vyeti na kueneza ukabila kwa kuficha majina ya koo zao (kwa mnao fanyakazi,tafiti wale wenye jina la kwanza na la pili ya kizungu wanatoka kabila gani?).Natoa mifano halisi:
itaendelea********
 
mama subi una akili nyingi na ubarikiwe...!mi nasema naunga mkono wazo lako

mkuu umempongeza mama lakn uko aitasaidia hata kidogo ni mmoja wanaomia na ndugu kufanya kazi swissport mbaya amecoma pesa anayopata aibu!!!
Kwa nini nasema hv
1,,kumfwata waziri ni kupoteza muda huyo mama anajua watu wangapi wamepeleka barua kulalamikia haya kwa wazir

hata alipoingia nikiwa engn shell amekula suti yake nilibahatika kumwambia utumwa huu wa mkataba mwez 1 ama 3 ushenzi na kwa nini awaruhusu kampuni nyingne akacema atafwatilia huyu n mwakyembe kama anasoma atakumbuka pemben ya engn mbezi beach kulikuwa na sehemu ya kula baga akumbuke ana mda gan yuko uwazir

2!!!bodi ya swiss iko jina akitaka kitu temu akuna choko atakaeongea naapa kwa jina la jf
bodi nzima kaiweka mfukoni usitarajie kipya na mama subi anajua hilo

aje aseme magari ya mnada yako wapi ya swissport yote kapeleka moshi hotelin kwake ambapo jk akienda uko analala kujiachia

3!!huyu bwana ni mchangiaji mkubwa wa ccm wakati wa kampen na moja ya sabbu za kuibana serikali wakiwa wengi atashndwa kupata fedha kusaidia shda ndogondog

altnt

nenda google andka ceo wa swissport uswiss pata cont tuma haya na kama umja payslip ya wafanyakaz 5 wa swiss mtumie akuangalizie ni sawa na hela ana yocema uswis

kuna marehemu wanalipwa swissport bodi wanajua mama subi anajua mwaka wa tatu nani kafukuzwa kaulizwa pesa iko wap


kukufahamisha mama subi pesa wanayolipwa hao vijana swissport ceo anapeleka imelipwa 3times uamini fwatilia uwazi na ukwel

kwa nini wao walipane mamilion wanaongza hela wapewe uchwara


2...

2,,
 
4!!
Majuzi kulikuwa na mkutano wa boci wao wa kazi wakatoa matatizo yao
1 mkataba
2 mshahara ingawa m naita posho labda waajiriwe

3 vitendea kazi adimu
majuzi kuna kijana kafumuliwa pumbu zote na machne bada ya wiki kwenda wakakuta madamu yamejaa wakamfanyia operation ya kwanza majuzi ya pili hana mkataba wj kumlinda akiumia kazni analipwa sh ngapi cjui kama ana watoto maskn kama bado loh

majibu kutoka kwa mama boc
vifaa vinakuja soon
mkataba mnapga kelele wakati wengi wenu wezi mnaiba kwenye ndg

wakanyanyuka watatu na kumwambia mamama kwa mshahara huu tutaiba mpaka mtakaporidhka kurekebsha mishahara ya watu maboc wengne shahdi loaders wote wakapga kelele za shangwe unahci mama subi hii ni sawa???

Boc unajibiwa tutaiba mpaka mwisho na atuach kundi la wafanyakazi wanashanglia kelele na boci kimya uhci kuna matatiz

tatizo mama subi ni hay
haya ukipeleka bodi nayo ni mchezo wa abunuasi kesho ntaweka contact za uswiss mtume uko dir
 
Wafanyakazi wa swissport kama barme
wanapewa mkataba pesa ndogo zingne utajumlisha akili yak

haya ndio yanaishia huyu kaiba kwenye ndge lakn c kosalake ameshaweka wazi
 
Anaebisha ubaguzi wa wachaga ima atakuwa ni mchaga(hivyo anataka kupotezea) au hajafanya kazi nao. Binafsi nilikuwa ktk shirika ambalo mkurugenzi akuwa mchaga, aisey nilihama kazi. Tulikuwa senior offices kadhaa ambao ndani ya walikuwapo wachaga pia. Upendeleo wa wazi pamoja na baadhi yao kuwa na elimu ya kuungaunga. Kila decision iliyofanyika wao walikuwa wakiijua kabla ya kikao na walikuwa wakijifanya as if ni watabiri. Nilipoona hali inazidi nilimfuata mkurugenzi na kumpa live kwamba afanyavyo sio ethics za mgt.akanijibu "sikuajiriwa pale kwenda kutengua injili ila kuitukuza injili". Nikamjibu nimekuelewa mkurugenzi. Baada ya mwezi akashangaa barua ya kuhama shirika akaniita yy na kufanya mahojiano. Nikamjibu naenda kuitukuza injili kwingine. Kwa kifupi hawa ndugu naweza sema ndio pekee waliobaki ambao upendeleo wa kikabila umebaki damuni mwao. Wale rafiki zangu wa mbeya wamebadilika na wa kule nshomile pia wanabadilika kdgo japo si sana. Naamini hata mabadiliko yaliopo uchagani ni matokeo ta kubebana huku ambako kwa muda mrefu hakukuwa na uwazi wa kuexpose uozo kama hivi hali iliyowafanya wajazane kwenye mashirika kwa upendeleo na kupata mishahara minono ya kusomesha watoto wao kwenye shule nzuri na kujenga magofu matupu kule uchagani. God iz great kila mmoja sasa anaelewa kwamba hawa jamaa kwao utanzania ni sifa ya pili baada ya uchaga.plz wachaga badilikeni Tanzania ya leo imebadilija sana vinginevyo mtaanza kuiona nchi ngumu kwenu.
 
Ndio maana kwenye maelezo yangu hapo juu nimeanza kwa kuwatahadharisha wale mnaopenda kurukia vitu hovyo hovyo bila kuvijua!
Na wewe mushi ni mmoja wao,bila kutafakari umeingia kichwa kichwa kwa kuwa tu wachaga wametajwa!!!
We unaelewa kuwa wachaga ni mojawapo ya makabila machache sana hapa bongo yanayoendekeza ubaguzi,kupeana ajira,nafasi za masomo na upendeleo wa kila namna,hii ilishajadiliwa hapa kwa kirefu sana na wale ambao kwa namna moja ama nyingine mnafaidika na ubaguzi huo mmekuwa mkiwatetea sana hao wachaga wabaguzi.
suala la kutandikwa bakora hapa halipo,kama ulitaka marehemu chacha wangwe apigwe risasi na akauawa kweli ukafurahia.kwa taarifa yako hapa huwezi kufanya lolote.
sasa unaposema mtanikataa, nyie akina nani?na wenzako msiotaka wachaga waguswe?hata kama wanayotenda ni maudhi kwa wengine na ni kinyume na taratibu na sheria?au ni wewe peke yako?hivi ukinikataa itakuwaje?nitapungukiwa nini?yaani sikuelewi kabisa wala hunipi homa kabisa kajaribu kwingine mushi.
Unenayo ni kweli tupu. Anaebisha ubaguzi wa wachaga ima atakuwa ni mchaga(hivyo anataka kupotezea) au hajafanya kazi nao. Binafsi nilikuwa ktk shirika ambalo mkurugenzi akuwa mchaga, aisey nilihama kazi. Tulikuwa senior offices kadhaa ambao ndani ya walikuwapo wachaga pia. Upendeleo wa wazi pamoja na baadhi yao kuwa na elimu ya kuungaunga. Kila decision iliyofanyika wao walikuwa wakiijua kabla ya kikao na walikuwa wakijifanya as if ni watabiri. Nilipoona hali inazidi nilimfuata mkurugenzi na kumpa live kwamba afanyavyo sio ethics za mgt.akanijibu "sikuajiriwa pale kwenda kutengua injili ila kuitukuza injili". Nikamjibu nimekuelewa mkurugenzi. Baada ya mwezi akashangaa barua ya kuhama shirika akaniita yy na kufanya mahojiano. Nikamjibu naenda kuitukuza injili kwingine. Kwa kifupi hawa ndugu naweza sema ndio pekee waliobaki ambao upendeleo wa kikabila umebaki damuni mwao. Wale rafiki zangu wa mbeya wamebadilika na wa kule nshomile pia wanabadilika kdgo japo si sana. Naamini hata mabadiliko yaliopo uchagani ni matokeo ta kubebana huku ambako kwa muda mrefu hakukuwa na uwazi wa kuexpose uozo kama hivi hali iliyowafanya wajazane kwenye mashirika kwa upendeleo na kupata mishahara minono ya kusomesha watoto wao kwenye shule nzuri na kujenga magofu matupu kule uchagani. God iz great kila mmoja sasa anaelewa kwamba hawa jamaa kwao utanzania ni sifa ya pili baada ya uchaga.plz wachaga badilikeni Tanzania ya leo imebadilija sana vinginevyo mtaanza kuiona nchi ngumu kwenu.
 
Hahahah nimefanya kazi swissport nikiwa field kwa miezi kama sita hivi vyooote visemavyo hapo juu ni kweli kabsaaaaa,nadhani wanahitaji mabadiliko na uongozi bora

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ndugu yangu mwanaizaya, hapo umelenga penyewe!!!!!
najua kuna fulani hapa wana allergy na neno uchaganization a.k.a ukabila.
naomba wale msiopenda kusikia chagaz wakiguswa,muwe wapole kidogo, mfanye utafiti kidogo then mje mlete views zenu.
Swissport kadri ninavyoifahamu ni kampuni ambayo inaajiri kwa upendeleo wa dhahiri.Wapo wenye viwango vya elimu vinavyokubalika lakini wapo watu wengi tu vihiyo lakini kwakuwa ni chagaz wamepata ajira na mishahara mizuri na ndio mameneja wa vitengo mbalimbali.
na hilo suala la watu kupewa barua za kujieleza ni kweli lakini bado kuna wengine wamelindwa.kwa sehemu kubwa swissport imejaa wanandugu na wanaukoo. mfano unakuta kuna mama/baba, mjomba/shangazi,mpwa/binamu,shemeji/wifi na marafiki.
Top management asilimia themanuini ni chagaz.na meneja mkuu wa swissport ndiye kila kitu,ndiye anaamua nani ashikilie madaraka gani kadri anavyotaka yeye.
jambo la mwisho, hivi ni kwa nini serikali imewaachia ukiritimba swissport?mishahara yenyewe ni midogo sana kwa middle and lower cadres, mameneja tu ndio wananeemeka!!
Kwa mfano kenya kuna makampuni matano yanayotoa huduma katika viwanja vya ndege lakini mishahara yao(swissport kenya) ni mizuri mno ukilinganisha na upande wa tanzania. ieleweke kuwa swissport kenya & swissport tanzania zinamilikiwa na mtu mmoja(swissport international).
wakati naungana na mwanaizaya kuitaka serikali na jamii kukemea huu ufisadi wa swissport, ni vizuri serikali ikawaondolea hawa swissport ukiritimba, waruhusiwe washindani ili walau huduma ziboreshwe hata maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.
ni hayo tu kwa sasa naomba kuwasilisha.

sasa ndugu yangu Maranya sioni jipya hapo,hata kama wamejaa wachaga na wasio na elimu na wenye vyeti feki unapoomba serikali kuingilia je wana uwezo huo?inawezekana vipi serikali hii iliyojaa vihiyo kuhangaika na mambo kama hayo?wale wapo pale kujineemesha,na hilo la wachaga liacheni kama lilivyo,je kampuni hii ilipoingia Tanzania si ilikaribishwa na watanzania wote?sasa mliwapaje tena nafasi kabila moja ndio wafaidi?jamani watanzania tatizo lipo kwenye system siyo vitu vidogo kama hivi,tukianza kutafuta vihiyo nani atapona?system ndiyo inaruhusu vihiyo wapete jamani
 
Sikuzaliwa Mmarekani lakini nashukuru Mungu kwa kuzaliwa Mchaga.

God Bless Wachaga.
 
Ndio maana kwenye maelezo yangu hapo juu nimeanza kwa kuwatahadharisha wale mnaopenda kurukia vitu hovyo hovyo bila kuvijua!
Na wewe mushi ni mmoja wao,bila kutafakari umeingia kichwa kichwa kwa kuwa tu wachaga wametajwa!!!
We unaelewa kuwa wachaga ni mojawapo ya makabila machache sana hapa bongo yanayoendekeza ubaguzi,kupeana ajira,nafasi za masomo na upendeleo wa kila namna,hii ilishajadiliwa hapa kwa kirefu sana na wale ambao kwa namna moja ama nyingine mnafaidika na ubaguzi huo mmekuwa mkiwatetea sana hao wachaga wabaguzi.
suala la kutandikwa bakora hapa halipo,kama ulitaka marehemu chacha wangwe apigwe risasi na akauawa kweli ukafurahia.kwa taarifa yako hapa huwezi kufanya lolote.
sasa unaposema mtanikataa, nyie akina nani?na wenzako msiotaka wachaga waguswe?hata kama wanayotenda ni maudhi kwa wengine na ni kinyume na taratibu na sheria?au ni wewe peke yako?hivi ukinikataa itakuwaje?nitapungukiwa nini?yaani sikuelewi kabisa wala hunipi homa kabisa kajaribu kwingine mushi.
Utanilazimisha vipi nikubali ujinga nisioufahamu mkuu?
 
Ndugu yangu mwanaizaya, hapo umelenga penyewe!!!!!
najua kuna fulani hapa wana allergy na neno uchaganization a.k.a ukabila.
naomba wale msiopenda kusikia chagaz wakiguswa,muwe wapole kidogo, mfanye utafiti kidogo then mje mlete views zenu.
Swissport kadri ninavyoifahamu ni kampuni ambayo inaajiri kwa upendeleo wa dhahiri.Wapo wenye viwango vya elimu vinavyokubalika lakini wapo watu wengi tu vihiyo lakini kwakuwa ni chagaz wamepata ajira na mishahara mizuri na ndio mameneja wa vitengo mbalimbali.
na hilo suala la watu kupewa barua za kujieleza ni kweli lakini bado kuna wengine wamelindwa.kwa sehemu kubwa swissport imejaa wanandugu na wanaukoo. mfano unakuta kuna mama/baba, mjomba/shangazi,mpwa/binamu,shemeji/wifi na marafiki.
Top management asilimia themanuini ni chagaz.na meneja mkuu wa swissport ndiye kila kitu,ndiye anaamua nani ashikilie madaraka gani kadri anavyotaka yeye.
jambo la mwisho, hivi ni kwa nini serikali imewaachia ukiritimba swissport?mishahara yenyewe ni midogo sana kwa middle and lower cadres, mameneja tu ndio wananeemeka!!
Kwa mfano kenya kuna makampuni matano yanayotoa huduma katika viwanja vya ndege lakini mishahara yao(swissport kenya) ni mizuri mno ukilinganisha na upande wa tanzania. ieleweke kuwa swissport kenya & swissport tanzania zinamilikiwa na mtu mmoja(swissport international).
wakati naungana na mwanaizaya kuitaka serikali na jamii kukemea huu ufisadi wa swissport, ni vizuri serikali ikawaondolea hawa swissport ukiritimba, waruhusiwe washindani ili walau huduma ziboreshwe hata maslahi ya wafanyakazi yataboreshwa.
ni hayo tu kwa sasa naomba kuwasilisha.
haya bwana neno lako lizae matunda!
 
Upo sawa kabisa mkuu,me nishawai ku apply kazi pale na cheti cha form four hawakuniita,nika appy na cheti cha form six vilevile hawakuniita na mwishowe nikaweka mpaka cha chuo nacho hola.Nakumbuka kuna mzee mmoja aliwahi kunambia kama sina mtu anaenifahamu nisihangaike kutuma maombi.Leo nayaamini kabisa maneno yake.Swissport wahuni sana kwenye ajira zao

Mkuu bongo hii bila kujali nini wala nini kama humjui mtu utapata kazi?!?!! Ukipata unazali. Degree zimezagaa mtaa na zote ukizicheki fresh hazina P.O Box. Tufuge kuku tu naskia wamasema inalipa. Hapa nyumbani usipojiongeza utalalamika tuuu, kama zuzu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom