AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 952
Ndugu Swat, jaribu kucheck na wizara mbili tatu utafurahi
Sijaelewa hii mkuu
Ndugu Swat, jaribu kucheck na wizara mbili tatu utafurahi
Sijaelewa hii mkuu
Huo ukabila wa swissport hauniumizi kama wa mawizara yetu na taasisi nyingine za serikali mkuu, ni aibu huko, ukimaliza la swiss jaribu kucheki na wizara mbili tatu "utafurahi"
Si masema Kenya ndio tuna ukabila. Sikujua hata Tz upo
Unenayo ni kweli tupu. Anaebisha ubaguzi wa wachaga ima atakuwa ni mchaga(hivyo anataka kupotezea) au hajafanya kazi nao. Binafsi nilikuwa ktk shirika ambalo mkurugenzi akuwa mchaga, aisey nilihama kazi. Tulikuwa senior offices kadhaa ambao ndani ya walikuwapo wachaga pia. Upendeleo wa wazi pamoja na baadhi yao kuwa na elimu ya kuungaunga. Kila decision iliyofanyika wao walikuwa wakiijua kabla ya kikao na walikuwa wakijifanya as if ni watabiri. Nilipoona hali inazidi nilimfuata mkurugenzi na kumpa live kwamba afanyavyo sio ethics za mgt.akanijibu "sikuajiriwa pale kwenda kutengua injili ila kuitukuza injili". Nikamjibu nimekuelewa mkurugenzi. Baada ya mwezi akashangaa barua ya kuhama shirika akaniita yy na kufanya mahojiano. Nikamjibu naenda kuitukuza injili kwingine. Kwa kifupi hawa ndugu naweza sema ndio pekee waliobaki ambao upendeleo wa kikabila umebaki damuni mwao. Wale rafiki zangu wa mbeya wamebadilika na wa kule nshomile pia wanabadilika kdgo japo si sana. Naamini hata mabadiliko yaliopo uchagani ni matokeo ta kubebana huku ambako kwa muda mrefu hakukuwa na uwazi wa kuexpose uozo kama hivi hali iliyowafanya wajazane kwenye mashirika kwa upendeleo na kupata mishahara minono ya kusomesha watoto wao kwenye shule nzuri na kujenga magofu matupu kule uchagani. God iz great kila mmoja sasa anaelewa kwamba hawa jamaa kwao utanzania ni sifa ya pili baada ya uchaga.plz wachaga badilikeni Tanzania ya leo imebadilija sana vinginevyo mtaanza kuiona nchi ngumu kwenu.
Hahahah nimefanya kazi swissport nikiwa field kwa miezi kama sita hivi vyooote visemavyo hapo juu ni kweli kabsaaaaa,nadhani wanahitaji mabadiliko na uongozi bora
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Acheni ujinga..vilaza ni nyie hata kuburgain mshahara hamjui ktk soko huria....kwani ahta mtu wa darasa la nne akiweza waaambia wliopo ktk jopo kuwa bila hela fulani hafanyi kazi, na akawashawishi kuwa anaweza piga mzigo haswa , wakati nyie ndio wale mpo tayari kufanya kazi under pressure, sijui mnajua business skills wakat hamtaraji kufanya kazi zaidi ya kubebe mzigo....nani mjinga. Nimefanya kzi na wajinga wengi tuu,wengi walikuwa akinichukia ktk kazi kwa vile nachukua msahahara mkubwa kuliko wao ,wakati niliwakuta,na kazi zangu npiga muda mfupi sana ,huku nikiwa nimefanya zaidi ya majukumu yangu,muda uliobaki napiga issue zangu. Kuja chunguza majinga yote yalikuwa yakifanya makosa ,na kujilainisha kwa waajiri wao kiasi cha kumfanya mwajiri akose cha kufanya zaidi ya kumweka ktk daraja la mwisho au kumtoa kazini. WEHU NYIE MTAKUWA WTAUMWA HADI MWISHO..KM NDIO NYIE MNAOKWENDA KWA BOSS MUONGEZEWE MISHAHARA HALAFU AKIWAULIZA MUONGEZEWE HADI WAPI MNAANZA WEWE ANAGLIA TUU, HUKU MKITAJA MATATIZO LULUKI..SIJUI NINA WATOTO 7,MAMA MZEE, BABA ALIYESTAAFU NA KUMALIZA MAFAO, SIJUI NANI NA NANI ANANITEGEMEA, HAPO HAPO UNAKIMBILIA ADVANCE..SASA NANI ABEBE SHIDA ZAKO...KWANZA SHIDA ZAKO ZINAONYESHA ULIVYO DESPERATE ..NA HUNA PA KWENDA KWANINI AKUONGEZE MSHAHARA..KWANZA NYIE NDIO MNAENDEKEZA POLITICS ZA MAKAZINI..HAKUNA MWAJIRI MWENYE URAFIKI NA POLITICS ZA KAZI.Ukianza kujadili ubaguzi na ubinafsi unaofanywa na wachaga hapa tanzania,inaniwia vigumu sana kuunga mkono cdm.Watu hawa wanasifiwa kwa maendeleo na ujenzi wa makazi huko kwao lakin yanayofanyika nyuma yake yanatisha! wananunua nafasi za kazi,wananunua vyeti na kueneza ukabila kwa kuficha majina ya koo zao (kwa mnao fanyakazi,tafiti wale wenye jina la kwanza na la pili ya kizungu wanatoka kabila gani?).Natoa mifano halisi: itaendelea********
kwani CDM ndio wanahusika kufukuza vilaza kazini,au kuongeza superiority ya wachaga..?kwani CDM ndio wanaonunua ardhi zenu na kuwapa wachaga,kwani CDM ndio wanaowadanganya muwauzie wachaga mazao kwa beis chee, kwnai CDM ndio wanawatongoza mkope kwa mangi hadi muweke rehani wake,zenu,mama zenu ,dada zenu na familia kwa ujumla..? Mtapotea sana siku zote....kwa ujinga huu sijui km mtakaa muweze diagnose shida mlizo nazo.....i..d...i....o....t...s.Halafu kwa maneno haya unategemea Chadema wapewe nchi?
Sawa mkuu nashukuru kwa kutunikwa hicho cheo cha kuwa i.d.i.o.t sababu sio mchaga. Ni kweli mimi ni kyasaka. Lakini kwa mtaji huo utwa-cost Chademakwani CDM ndio wanahusika kufukuza vilaza kazini,au kuongeza superiority ya wachaga..?kwani CDM ndio wanaonunua ardhi zenu na kuwapa wachaga,kwani CDM ndio wanaowadanganya muwauzie wachaga mazao kwa beis chee, kwnai CDM ndio wanawatongoza mkope kwa mangi hadi muweke rehani wake,zenu,mama zenu ,dada zenu na familia kwa ujumla..? Mtapotea sana siku zote....kwa ujinga huu sijui km mtakaa muweze diagnose shida mlizo nazo.....i..d...i....o....t...s.
Nyie ni vinyamburi tuu..kila kitu kinaonyesha hakuna makosa... Mpuuzi wewe sasa una blackmail CDM kwa lipi.......CDM inahusika vipi na kulaaniwa kwenu..wavivu na wajinga wakuu?km vitu vidogo vinawauza kirahisi hivyo in a long run CDM wawasaidie nini? Wehu nyie tembei na walio na macho ili muone njia,kutwa mnatukuza kutembea na vipofu mkidhani mnawkaomoa wenye macho.Lini kipofu akamwuongoza kipofu? Acheni ubwege..unamtisha nani kuwa nikikupa ukweli ,kmn nionavyo binafsi basi adhabu abebe CDM? Vinyamburi bwana..hata kulala na mkeo utasusia kuikomoa CDM.Sawa mkuu nashukuru kwa kutunikwa hicho cheo cha kuwa i.d.i.o.t sababu sio mchaga. Ni kweli mimi ni kyasaka. Lakini kwa mtaji huo utwa-cost Chadema
Nilishaonywa kuwa CHADEMA ni chama cha wachaga nikakataa may be I was in denial...........sasa nimeamini ni kweliNyie ni vinyamburi tuu..kila kitu kinaonyesha hakuna makosa... Mpuuzi wewe sasa una blackmail CDM kwa lipi.......CDM inahusika vipi na kulaaniwa kwenu..wavivu na wajinga wakuu?km vitu vidogo vinawauza kirahisi hivyo in a long run CDM wawasaidie nini? Wehu nyie tembei na walio na macho ili muone njia,kutwa mnatukuza kutembea na vipofu mkidhani mnawkaomoa wenye macho.Lini kipofu akamwuongoza kipofu? Acheni ubwege..unamtisha nani kuwa nikikupa ukweli ,kmn nionavyo binafsi basi adhabu abebe CDM? Vinyamburi bwana..hata kulala na mkeo utasusia kuikomoa CDM.
mbona kwa serikali hii ukiwa musilam na vyeti vya yudom au pale moro kwenye transormer au ukiwa mwanafunzi wa bashiru..? wapuuzi wengi hawasemi hilo....hata wanywa bia tuu hupeana dili wao kwa wao wakimpiga chini mnywa soda hata km ni close nao.