cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
nashukuru kwa kunielewesha erickb52, sasa babu ni nani?, DC peke yake?? DC ye halei wajukuu??
nashukuru kwa kunielewesha erickb52, sasa babu ni nani?, DC peke yake?? DC ye halei wajukuu??
hahhaha mke mwenza umeua bendi hasa hapo ktk hili jina la judgementme yan huwa cpat shida, huwa kwny majina ya kiume naongeza 'a' au 'ana' mf. Erickb52 - Ericka
Judgement - Judgementiana
TANMO - TANMOANA
Saint Ivuga - Saintana
Hahahahaaaaa charminglady imebidi nicheke maana naona style yako ni mpya sana Duh
Hahahahaaaaa charminglady imebidi nicheke maana naona style yako ni mpya sana Duh
nakwambia MUNGU akiamua kukueleleza mtu unaumbuka vibaya sana! uncle wangu alipata accident pale mbuyuni kunduchi akiwa na hawara yake, eti ametokea workshop bahari beach. watu walivyokuja kuwasaidia, ye anasisitiza tu wapelekwe hospitali tofauti, watu wakawapeleka hospitali moja. kesho yake sasa mkewe kaamkia hospital, anaambiwa na doctor, yule baba kidogo ana afadhali, ila mkewe kwa kweli hali c nzuri! mke wake alitaka na kumsusa kabisa! yaani huu uongo huu, haya mambo yapo!
Sasa siulinambia unanibadili kitengo?
Nataka kile cha kumuhidumia Bosi wangu nje ya ofisi
hahhaha mke mwenza umeua bendi hasa hapo ktk hili jina la judgement
Teh umeona alivyolipatiana
Sasa CUTE ni cutiana Lol
Hahahahaaaaa CUTE umeua lolnakwambia MUNGU akiamua kukueleleza mtu unaumbuka vibaya sana! uncle wangu alipata accident pale mbuyuni kunduchi akiwa na hawara yake, eti ametokea workshop bahari beach. watu walivyokuja kuwasaidia, ye anasisitiza tu wapelekwe hospitali tofauti, watu wakawapeleka hospitali moja. kesho yake sasa mkewe kaamkia hospital, anaambiwa na doctor, yule baba kidogo ana afadhali, ila mkewe kwa kweli hali c nzuri! mke wake alitaka na kumsusa kabisa! yaani huu uongo huu, haya mambo yapo!
how jamani
Hahahaaa na hili libaridi ntakomaje aisee
Nionee huruma basi..Akigoma nakuja huko lol