Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ilikuwa ni mida ya Jioni nikiwa home,simu yangu ikiwa kwenye charge ikawa inaita na kwa kuwa bibie alikuwa karibu akaamua kuifuata akaichukua ili aniletee lol
Kucheck jina la anayepiga ni SweetLady akabadilika ghafla kumbe nina Sweetie mwingine..nimejieleza ila ngumu kumeza!
Baada ya hapo nikaamua kubadili majina ya wana JF nilionao kama ifuatavyo:
.. sweetlady -Fundi Cherehani ingawa sishonagi sijui ntakamatwa tena lol
.. Amyner -Bado natafakari nitamsave vipi nikipata jina ntawaambia
.. beibe nasty -Shem Mapepe
.. charminglady - Boss wangu,
.. FirstLady1 - Private Number
.. Cantalisia - Afande Canta,
.. Kipipi - Battery Low,
.. BADILI TABIA -Sijabadili Jina lake coz si mbaya sana
.. Kongosho -Muuza Bucha,
.. Preta - Promota,
.. cacico -Mzee Cacico,
.. YNNAH -Bibi Afya,
. Remmy -Prof UDSM
Kwa wanaume sijabadili coz hawana madhara sana
Wenye majina hayo naomba mnisamehe ni katika kulinda ndoa yangu siunajua
Kucheck jina la anayepiga ni SweetLady akabadilika ghafla kumbe nina Sweetie mwingine..nimejieleza ila ngumu kumeza!
Baada ya hapo nikaamua kubadili majina ya wana JF nilionao kama ifuatavyo:
.. sweetlady -Fundi Cherehani ingawa sishonagi sijui ntakamatwa tena lol
.. Amyner -Bado natafakari nitamsave vipi nikipata jina ntawaambia
.. beibe nasty -Shem Mapepe
.. charminglady - Boss wangu,
.. FirstLady1 - Private Number
.. Cantalisia - Afande Canta,
.. Kipipi - Battery Low,
.. BADILI TABIA -Sijabadili Jina lake coz si mbaya sana
.. Kongosho -Muuza Bucha,
.. Preta - Promota,
.. cacico -Mzee Cacico,
.. YNNAH -Bibi Afya,
. Remmy -Prof UDSM
Kwa wanaume sijabadili coz hawana madhara sana
Wenye majina hayo naomba mnisamehe ni katika kulinda ndoa yangu siunajua
Last edited by a moderator: