Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Watu 13 walifika kwenye guest house yenye vyumba 12 tu na kila mmoja alitaka chumba chake peke yake.Mhudumu alimpatia kila mmoja chumba.Alimchukua mtu wa 1 na wa 2 akawaweka chumba # 1.mtu wa 3 chumba #2,mtu wa 4 chumba #3,mtu wa 5 chumba # 4,mtu wa 6 chumba # 5,mtu wa 7 chumba # 6,mtu wa 8 chumba # 7,mtu wa 9 chumba #8,mtu wa 10 chumba # 9,mtu wa 11 chumba #10 na mtu wa 12 chumba # 11.Baada ya hapo alirudi chumba # 1 aliko waacha mtu wa 1 na wa 2,akamchukua mmoja akampeleka chumba #12.Elezea,mhudumu aliwezaje kumpa kila mmoja chumba chake peke yake?