Swali kwa viongozi wakuu wa CCM

"Wapiga kura ndio waamuzi, tuna uzoefu wa kubadilishana uongozi kwa amani, utulivu na mshikamano wetu. Kinyume na hayo si utamaduni wetu Watanzania". Idumu Siasa ya Vyama Vingi !
 
kama MATAMANIO YOTE YANGEKUWA FARASI WENGI WANGEPANDA


kaka mbona unajichanganya?

mkaka alitaka kuandika MATAK..[ukisema a,e,i..inayofuta ni nini vile?] akimanisha {ILE SEHEMU CHINI YA KIUNO NAOGOPA HATA KUITAJA NISIJE KUPIGWA BAN!!} Kijana ana matusi huyu.. sijui kamezeshwa wepi sumu hii.. Mnajitapa kwamba Jeshi liko nyuma yenu, Usalama wa Taifa, Tume zaidi ya Yote serikai mmeidhibiti.. ni kweli mmevidhibiti.. ila sijui kama Mmemdhibiti na Mwenyezi Mungu.. 2015 sio mbali.. HATAKAMA KATIBA HAITABADILIKA.. ILA CCM 2015..HAITAKUWEPO. Wananchi wameshakinaishwa na Chama hiki kiasi cha kutisha mno. wengi wao wanasema wako tayari kupigia kura hata chama kinachoongozwa na Ngedere kuliko CCM.
 
KWELI PATAKUA HAPATOSHI WENGINE WATAENDA NJE YA NCHI KWA STYLE YA KUSOMA KUMALIZA SOO,WENGINE ITABIDI WAJIPENDEKEZE ILA IN SHORT KAMA VILE SINEMA YA KIVITA :smash::smash:
 
Hakuna chama pinzani chenye uwezo wa kuongoza kwa sasa, labda baada ya miaka 50 ijayo.

Wakati wa kampeini 2010 mlisema kwamba vyama vya upinzani kuongoza labda ni miaka 100 ijayo, leo baada ya mwaka mmoja tu mnasema labda miaka 50 ijayo, Sijui itakapofika 2015 mtasema labda miezi ..... ijayo, endeleeni tu na hizo hesabu zenu.
 
Back
Top Bottom