Wakati huo hawa viongozi waliopo sasa watakuwa wamesha kufa siku nyingi na watakuwa wamesahaulika. Hapo tunaongelea miaka 50 au 100 mbeleHivi siku upinzani hasa chadema wakishika madaraka ya kuliongoza hili taifa,nyie mmejiandaa kwenda kuficha wapi hizo nyuso zenu?
Hivi siku upinzani hasa chadema wakishika madaraka ya kuliongoza hili taifa,nyie mmejiandaa kwenda kuficha wapi hizo nyuso zenu?
Hivi wewe unajua maana ya upinzani? Tatizo lenu nyie CDM mnafikiri Moshi ndio Tanzania. Wewe subiri mpaka 2013 uone wabunge wangapi wa CDM watakuwepo wamebaki bungeni.pole,na wakat 2015 upinzan unachukua nchi!
Hivi na wewe ni GT!!!!?? Ndio maana Tz inatakiwa kuongozwa na Dr wa ukweli ili kutibu maradhi ya namna hii!!Wakati huo hawa viongozi waliopo sasa watakuwa wamesha kufa siku nyingi na watakuwa wamesahaulika. Hapo tunaongelea miaka 50 au 100 mbele
Si nyuso tu,na mali za ufisadi?Ndio maana wanang'ang'ania kutawala.Hivi siku upinzani hasa chadema wakishika madaraka ya kuliongoza hili taifa,nyie mmejiandaa kwenda kuficha wapi hizo nyuso zenu?
Dr njaa mwenyewe anasubiri kwenda India, sasa hiyo 2015 atafika kweli? Na hela zote mbowe amelewea sijui hizo gharama zitalipwa na naniHivi na wewe ni GT!!!!?? Ndio maana Tz inatakiwa kuongozwa na Dr wa ukweli ili kutibu maradhi ya namna hii!!
kaka mbona unajichanganya?kama matamanio yote yangekuwa farasi wengi wangepanda
Naye mmeisha m-mwakyembe nini!!?? Back 2 topic, mafisadi wajiandae kurejesha kilicho chetu! Alama za nyakati muhimu!!Dr njaa mwenyewe anasubiri kwenda India, sasa hiyo 2015 atafika kweli? Na hela zote mbowe amelewea sijui hizo gharama zitalipwa na nani
Fisadi mdogo kama wewe lazima tukufukue kwenye mashimo kama Gadafikama MATAMANIO YOTE YANGEKUWA FARASI WENGI WANGEPANDA
kama MATAMANIO YOTE YANGEKUWA FARASI WENGI WANGEPANDA
Hakuna chama pinzani chenye uwezo wa kuongoza kwa sasa, labda baada ya miaka 50 ijayo.
Wakati huo hawa viongozi waliopo sasa watakuwa wamesha kufa siku nyingi na watakuwa wamesahaulika. Hapo tunaongelea miaka 50 au 100 mbele
kipo chama
kama MATAMANIO YOTE YANGEKUWA FARASI WENGI WANGEPANDA
bado hakijazaliwa. Vilivyopo sasa vyote ni vya msimu.
kumbe ameshatekwa kiulaini hvohabari ya matembezi huko Marekani? Mtego ulowekewa huko uliko na mafisadi kwa hakika utakumaliza, wamekukodia hotel ya kifahari, wamekutafutia vimwana ili ungonoke navyo wapate kuku record ili waufunge huo mdomo wako, gari unayotumia huko unajua ni ya nani? Kijana umeumia.