Masaki - una furaha na kazi unayoifanya au unaifanya hili upate kipato tu?
kwani unafanya kazi gani mkuu?......Naifurahia na kuipenda kazi yangu...Inaniwezesha kumudu gharama za maisha na pia kupita baa kunywa moja moto moja baridi pale ninapojisikia kufanya hivyo!
Asante Mkuu kwa jibu safi na nono. Je jamii imefaidikaje na kazi yako? Na ni mitaa gani unapitia kupata hiyo moja japo tukutane kupooza koo?Naifurahia na kuipenda kazi yangu...Inaniwezesha kumudu gharama za maisha na pia kupita baa kunywa moja moto moja baridi pale ninapojisikia kufanya hivyo!
Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri ingawa nashukuru kuwa umekiri ukigeu geu kwenye baadhi ya maamuzi yako. Sasa sitaki kufikiria kama ungekuwa Mkulu wan chi halafu ukageuka nyuma, je si ungegeuka jiwe la chumvi?
Kujibu swali lako nimeamua kuuliza maswali haya kutokana na kutaka kuthibitisha je ni kweli haya waumini wa JF wanayoyaandika hapa yanatoka ndani ya mioyo yao kweli au ni kwa sababu tu De Novo hamjui Sipo basi anaweza kujibu kwa jazba au anweza kupuuzia swali kwa kuwa labda amelielewa jinsi isivyo.
Lakini niseme kuwa wewe ni mwanharakati mzuri na umejibu swali lako kihuhanarakati kweli pasipo kumumunya au kutafuna chembe ya maneno
Naifurahia na kuipenda kazi yangu...Inaniwezesha kumudu gharama za maisha na pia kupita baa kunywa moja moto moja baridi pale ninapojisikia kufanya hivyo!
Kyachakiche - una sababu za msingi kwanini ulipotea JF?
Janjaweed - Mwanao analifahamu jina hili unalotumia hapa?
Masakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mwanangu hasa au wa kufikia?
Asante Mkuu kwa jibu safi na nono. Je jamii imefaidikaje na kazi yako? Na ni mitaa gani unapitia kupata hiyo moja japo tukutane kupooza koo?
Preta nina mikakati ya kuja kutembelea vituo vya watoto yatima vilivyoko Arusha. Je utaniunga mkono mate wangu?