Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?
Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?
Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!