Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,358
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?

Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!
 
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?

Naona kiongozi jana hukudumisha mila kabisa.
Toka niache kujiexpress nimekuwa nakosa mambo mengi hata wachumba sasa sipati kabisa imekuwa kama gundu bado natafakari mara mbili mbili huu uamuzi wangu wa kustaafu kujiexpress maana mila zinadumishwa kwa taabu sana.
 
tena kama nimeloga vile
nime-obase biggy
tipwa tipwa, huwezi kutofautisha mbele ni wapi na nyuma ni wapi.......
nimekuwa kitufe.....
 
Naona kiongozi jana hukudumisha mila kabisa.
Toka niache kujiexpress nimekuwa nakosa mambo mengi hata wachumba sasa sipati kabisa imekuwa kama gundu bado natafakari mara mbili mbili huu uamuzi wangu wa kustaafu kujiexpress maana mila zinadumishwa kwa taabu sana.
Hehehe! Jasiri haachi asili!
Najuta kwa kutokunywa valuu za kutosha jana. Kichwani hamna kitu kabisa!
 
tena kama nimeloga vile
nime-obase biggy
tipwa tipwa, huwezi kutofautisha mbele ni wapi na nyuma ni wapi.......
nimekuwa kitufe.....
Hehehe!
Ngoja niongee na daktari wangu Charity. Ata do the needful!
 
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?

Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!

so long as siko kwenye list ... no cmnt!
 
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
!

Binamu 2010 niko kikazi zaidi nje ya JF ..kuna project zangu nafanya zinanichukulia muda mwingi labda 2011 kama mungu akijaalia nitaendelea na kasi yangu
thanx Chispin
 
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?

Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!

halafu wewe....ujifunze kwenda vekesheni, kila siku kuishia kwa Eliza....njoo huku nyanda za juu magharibi tukupeleke johanesburg garden
 
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?

Unajua kule mamndenyi tukishapata ngera na nyalo tumezoea kuhisi kuhoji kufoka maisha kufaana.
 
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?
Firstlady1: Mbona kasi yako ya kupost imepungua, Umeshaanza kwenda Kliniki?
Geoff: Siku hizi umekuwa mpole sana, mshiki kakudhibiti?
PakaJimmy: Kwanini hupendi kwenda kanisani mpaka Kwaresma ianze?
Bigirita: Siku hizi umekuwa Premium Member, unamshauri nini Nyivonduma sir?
Fidel80: Tangu ulipoacha kujiexpress, unahisi umemiss kitu gani?
Carmel: Bado uko desperate kutafuta ile kitu au umefanikiwa? Mbona hutuambii?
Kimey: Hivi ukilala bila kupata kileo unahisi utapunguza siku zako za kuishi?
Kaizer: Hivi bila ku do the needful unahisi kiwango cha kupiga organ kitashuka?
Mwanajamiione: Tangu ulivue pendo hujahisi kuwa unahitaji kulipanda tena?
Bht: Yale mazoezi ya kupunguza uzito yamekusaidia chochote?
Nguli: Unahisi bila freestyle muziki wa kizazi kipya bado hautanoga?
Maria Roza: Unajisikiaje unavyowahamishia wapwa kwenye lile jukwaa lako?
Noname: Hivi ukitumia kiswahili unahisi ujumbe wako hautafika unavyotaka?
Akili Kichwani: Pearl mambo tayari au unaogopa wapwa wasikupoke? Mbona jii?
Sipo: Unaonaje ukirudi mjini? Huoni huko uliko umeshafulia?
Edson: Ile namba ya simu kwanini hutaki kumpa Kaizer? Unaogopa nini?
Next Level: Kwanini unachanganya konyagi na club soda?
Preta: Kwanini unaogopa kutembelea sehemu zenye baridi?
Lily Flower: Kwanini umeamua kurudi Vodacom, Tigo imekuchosha?
Nyamayao; Nimekumisi sana, martenity leave inaisha lini?
Jerome: Hiyo avatar yako, hicho kidole kinamaanisha nini?
Masaki: Huoni kuwa sasa unahitaji kumrudia Mola wako? Pombe imekushinda?
Pearl: Hivi ni lazima uende kazini ndio uwe online JF?
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?
Dark City: Umeacha tabia yako ya kupekua simu ya mkeo?
Masanilo: Kwanini ulitoroka kwenye ile Rehab? Huwezi kulala bila kunywa?
Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?

Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!
Hujatuuliza kwa vile huna data zetu.
 
Mzee Mwanakijiji: Utastaafu lini siasa uanze mapenzi rasmi? Siasa haina kustaafu?

Shishi: Umeamua kufunga ndoa baada ya kupata kitambi? Ulitesti kwanza?
Charity: Unaonaje ukiacha kazi unayofanya ukawa daktari wangu?

Wengine: Mnahisi kwanini sijawauliza swali? Msijali: Leo ni Furahi dei, nina hangover!
Tutadiscuss faragha.Niko kwa ajili yako hilo ulijue mapema.
 
Sikupata na hivyo ikawa challenge kwangu kuangalia the other side of life ambayo i think i like it more. so it was a blessing in ...................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom