Wana JF,
nimekua najiuliza mambo meeeengi sana moja wapo ni Mh Membe anatokea Lindi/Mtwara maana jimbo lake
linapkana na mikoa yote miwili Lindi na Mtwara.
Ndugu huyu amekua anajipitisha kwa wanachama wa chama chake ili wamchague kuwa mgombea kiti cha urais
uchaguzi ujao (mimi sina shida na hilo).
lakini pia ni mbuge mmojwapo mwenye influence kuubwa sana kwenye kanda ya kusini kama mmbunge na waziri pia.
sio hapo tu Mh. membe ni mjumbe wa Kamati kuu ya CCM
.
Kwa maana nyingine anauwezo wa kupata taarifa sahihi, kushawishi wadau husika (serikali na wananchi) na kuhakikisha suala la Gasi linakwisha bila umwagaji wa damu tulioanza kuushudia.
SWALI KWA MEMBE: Ni kwa nini unahisi unaweza kuwa Rais wa nchi hii kushughulikia mambo makubwa ya kitaifa na kimataifa kama umeshindwa suala la MTWARA?
Ni kitu gani kina kupa kigugumizi ama kinakufanya usiwe msuluhishi mkuu wa mgogoro huo?
UKISHINDWA KUJIBU MASWALI HAYA, NAAMINI HUFAI KUGOMBEA KITI CHA URAIS maana kama hili dogo huwezi
hayo makubwa hutaweza.
nimekua najiuliza mambo meeeengi sana moja wapo ni Mh Membe anatokea Lindi/Mtwara maana jimbo lake
linapkana na mikoa yote miwili Lindi na Mtwara.
Ndugu huyu amekua anajipitisha kwa wanachama wa chama chake ili wamchague kuwa mgombea kiti cha urais
uchaguzi ujao (mimi sina shida na hilo).
lakini pia ni mbuge mmojwapo mwenye influence kuubwa sana kwenye kanda ya kusini kama mmbunge na waziri pia.
sio hapo tu Mh. membe ni mjumbe wa Kamati kuu ya CCM
.
Kwa maana nyingine anauwezo wa kupata taarifa sahihi, kushawishi wadau husika (serikali na wananchi) na kuhakikisha suala la Gasi linakwisha bila umwagaji wa damu tulioanza kuushudia.
SWALI KWA MEMBE: Ni kwa nini unahisi unaweza kuwa Rais wa nchi hii kushughulikia mambo makubwa ya kitaifa na kimataifa kama umeshindwa suala la MTWARA?
Ni kitu gani kina kupa kigugumizi ama kinakufanya usiwe msuluhishi mkuu wa mgogoro huo?
UKISHINDWA KUJIBU MASWALI HAYA, NAAMINI HUFAI KUGOMBEA KITI CHA URAIS maana kama hili dogo huwezi
hayo makubwa hutaweza.