Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.
mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo
1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.
Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.
UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo
1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.
Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.
UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!