swali kwa kina kaka wenye wapenzi

Viper

JF-Expert Member
Dec 21, 2007
3,668
1,400
una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
 
Chukua hatua!!hivi wewe una umri gani??hatakwenda nje bado unatongotongo???cha kwanza yeye ana bf wake wewe anakuzuga na hataki umuharibie kwa bf wake kwani anajua utamdu unatambaa hivyo sikweli eti anakupenda tafuta uliyenaye karibu wanasema fimbo yambali....................!!!!!!
 
Chukua hatua!!hivi wewe una umri gani??hatakwenda nje bado unatongotongo???cha kwanza yeye ana bf wake wewe anakuzuga na hataki umuharibie kwa bf wake kwani anajua utamdu unatambaa hivyo sikweli eti anakupenda tafuta uliyenaye karibu wanasema fimbo yambali....................!!!!!!

Tatizo uchumba wa muda mrefu una mashaka hususan mnapopendana bado mko masomoni. Uamuzi wa huyo dada ni sawa tu kwa kuwa hatuna hakika kama wewe ulioko ughaibuni hutomsaliti baada ya kummega hata hivyo mambo ya kupakuana yanatakiwa mkiwa ndani ya ndoa. Kama ushafikia muda wa kuoa na yeye hataki tafuta aliye tayari kuolewa usitake kuchezeachezea watoto wa watu ingekuwa dada yako ungekubali apakuliwe kwanza?
 
Tatizo uchumba wa muda mrefu una mashaka hususan mnapopendana bado mko masomoni. Uamuzi wa huyo dada ni sawa tu kwa kuwa hatuna hakika kama wewe ulioko ughaibuni hutomsaliti baada ya kummega hata hivyo mambo ya kupakuana yanatakiwa mkiwa ndani ya ndoa. Kama ushafikia muda wa kuoa na yeye hataki tafuta aliye tayari kuolewa usitake kuchezeachezea watoto wa watu ingekuwa dada yako ungekubali apakuliwe kwanza?

hahaha umenichekesha kweli.. kwani dada hata akipakuliwa atakwambia kaka... utasikia stories tu mitaani
 
una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!

Issue hapa hasa ni nini? binti kuwa bikira? wewe ambaye ulaya kutaka kuja kufanya ngono na binti? binti kukukatalia ngono? Kuwakataa mademu wengi? wewe kuwa rijali? matamanio? confused.
 
Kama msichana ni bikira kama usemavyo, basi atakua anatafuta sababu kila mara, hata siku ya ndoa. Ana woga wa kufanya mara ya kwanza...kwa hiyo akili za kumbiwa changanya na zako.
 
Kama msichana ni bikira kama usemavyo, basi atakua anatafuta sababu kila mara, hata siku ya ndoa. Ana woga wa kufanya mara ya kwanza...kwa hiyo akili za kumbiwa changanya na zako.
pamoja na uoga wa 1st tym pia mapenzi ya mbali ni tatizo hapo
 
una mpenzi wako toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hamjawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na wewe chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono mtafanya.ulivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya wewe ukaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli mmekuwa mkiwasiliana sana wakati woote na ni umekuwa kama uko nae karibu.

mwaka unapita unamtaarifu kuwa utakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!



Mkuu vipi hii ni story yako au unatunga tu?maana umeanza kwa kuandika UN MPENZI wako then ukaendelea,Mpenzi wangu so tuelewe lipi?Unajizungumzia wewe au unauliza kwa wana jf walichakachue hili au unaomba msaada yamekukta?By the way huyo hana bikra wala nini ni mwizi mtupu....
 
nina mpenzi wangu toka mwaka 2005 ni wapenzi hasa lakin hatujawahi kufanya NGONO.na sababu zilikuwa yeye alikuwa bado sekondari na mimi chuo na muda wote alikuwa akiniahidi kuwa akimaliza shule atakuwa freee kwa hiyo ngono tutafanya.nilivumilia sana mpaka alipomaliza shule,akaingia chuoni.bahati mbaya mimi nikaondoka tanzania kuishi nje ya TZ.kweli tumekuwa tukiwasiliana sana wakati woote na nimekuwa kama niko nae karibu.

mwaka unapita ninamtaarifu kuwa nitakwenda likizo(ukiwa na maana akae tayari kwa kufanya NGONO) lakn akaja juu KUWA HAWEZI SASA MPAKA MUOANE.Mnaona? unamuuliza sababu anakwambia sababu kubwa ifuatayo

1.Tukifanya ngono atashindwa kuvumilia na mamabo yake mengi yatalala kwa kuniwaza,akanipa mfano wa rafiki yake ambae alikuwa bikira na akafanya ngono ss anapata shida hakai chuoni wakati woote anasafiri kumfata bf wake.kwa hiyo na yy anaona atakuwa namna hiyo.Hataki kuwa namna hiyo so anaona ni bora tufanye ngono tukioana.Gf wangu ni bikira kwa maneno yake ananiambia hivyo.

Anasema atakuwa na mawazo meeengi ukirudi abroad.

UKIFIKIRIA MADEMU WENGI UMEWAKATAA KUSEMA UKWELI KWA KUMTUNZIA HESHIMA YEYE LAKN NAONA NAMNA GANI.
WEWE KAMA RIJALI na Una matamanio UTAFANYAJE ??! na bint kama kuolewa hataki mpaka baada ya miaka 3 ya degree yake ikiisha? UTASUBIRI? !! UTAENDELEA KUMTUNZIA HESHIMA DEMU WAKO AU?!
angalia marekebisho unachanganya nafsi
 
mapenzi ya utotoni yana shida sana mtu unakuwa kama umerogwa unapenda halafu unyumba upewi hapa kitakachofuata ni kukuta huyo demu ana w/ume msululu halafu wanamega kiulaini ndipo utakapo data halafu akili itakaa sawa baadae
 
mapenzi ya utotoni yana shida sana mtu unakuwa kama umerogwa unapenda halafu unyumba upewi hapa kitakachofuata ni kukuta huyo demu ana w/ume msululu halafu wanamega kiulaini ndipo utakapo data halafu akili itakaa sawa baadae

Kiongozi hapo umenena!kweli haya ni mapenzi ya kitoto, we binti ameshakwambia kuwa ngono ni mpaka amalize chuo sasa hapo unamshangaa nini?ni sawa kabisa,kinyume cha hapo ni uzinzi!kama kweli anataka kumfanya huyo dada awe mkewe wa baadae basi hana haja ya kumpa pressure na matamanio yake ya kungonoka!Aendelee kumsubiri, lakini akizidiwa atafute binti mwingine wa pembeni ili achakachue na kupunguza tamaa zake wakati huo anamsubiri mpendwa wake!very simple..........!!!!!!!
 
huyo demu mpotezee kwa muda, usiwasiliane nae wala nini. akikutafuta kwa simu/email mjibu kwamba upo busy kuna vitu unavifanya! Akikuuliza kwanini unamkimbia mwambie haumkimbii ila 'you got to deal with those who are ready to give'...nakuhakikishia siku ya siku atachojoa mwenyewe!
 
Kiongozi hapo umenena!kweli haya ni mapenzi ya kitoto, we binti ameshakwambia kuwa ngono ni mpaka amalize chuo sasa hapo unamshangaa nini?ni sawa kabisa,kinyume cha hapo ni uzinzi!kama kweli anataka kumfanya huyo dada awe mkewe wa baadae basi hana haja ya kumpa pressure na matamanio yake ya kungonoka!Aendelee kumsubiri, lakini akizidiwa atafute binti mwingine wa pembeni ili achakachue na kupunguza tamaa zake wakati huo anamsubiri mpendwa wake!very simple..........!!!!!!!



Bacha hujatulia, unahitaji kupepewa!!!!!!!
 
huyo demu mpotezee kwa muda, usiwasiliane nae wala nini. akikutafuta kwa simu/email mjibu kwamba upo busy kuna vitu unavifanya! Akikuuliza kwanini unamkimbia mwambie haumkimbii ila 'you got to deal with those who are ready to give'...nakuhakikishia siku ya siku atachojoa mwenyewe!

CBZ nawe pia hujatulia kama mwenzako bacha, unahitaji kupepewa!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom