Blessingme
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 250
- 52
Habari zenu wana jf, ningependa kujua kutoka kwa mtu yeyote ambaye ni mfanyakaz wa heslb , ni vigezo vp walivyovi2mia kutoa mikopo, coz naona wadogo zetu wengi wa science especially udaktari, na walimua mmeamua wajilipie na ni wengi, ningependa kujua tu mwaka huu umebadili vipaumbele au ni nin mmefanya, nawakilisha