William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Watu wanalaumu kuhusu mb kupanda Bei lkn muuzaji wa huduma hizo Ni Kampuni ya serikali TTCL. Kupitia mkonga wa Taifa. Kifupi kitu kinachoendeshwa na umma na kisichishindani kwa nchi za dunia ya tatu Ni kasoro kubwa na huumiza wanyonge.
Kampuni zikiwa huru kupata huduma hizo kupitia satellites huru Kama za space X. Bei inaweza kushuka Mara nne zaidi.
Lengo la awali la mkonga wa Taifa ilikuwa kuwa shindani na kupunguza gharama za mitandao Ila Sasa Ni Zigo zito kwani wamemonopoly soko la bidhaa hiyo nyeti kabisa kwa Sasa.
Mitandao hutoza gharama ndogo Sana kwa muda wa maongezi Sasa wakiwa huru kununua bidhaa wanapotaka Bei itakuwa rafiki Sana kwao.
Kampuni zikiwa huru kupata huduma hizo kupitia satellites huru Kama za space X. Bei inaweza kushuka Mara nne zaidi.
Lengo la awali la mkonga wa Taifa ilikuwa kuwa shindani na kupunguza gharama za mitandao Ila Sasa Ni Zigo zito kwani wamemonopoly soko la bidhaa hiyo nyeti kabisa kwa Sasa.
Mitandao hutoza gharama ndogo Sana kwa muda wa maongezi Sasa wakiwa huru kununua bidhaa wanapotaka Bei itakuwa rafiki Sana kwao.