Pole saana Suzy, bali wewe ni mama wanguvu vumilia na Mungu akutie nguvu ili uweze kuvuka kipindi hiki cha majonzi.Nimepokea taarifa leo asubuhi kuwa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA
Pole sana suzy mungu akupe nguvuNimepokea taarifa leo asubuhi kuwa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA