Manabii waliopata kuishi katika ii dunia wamepita,ili litimie lile neno lilitoka mbinguni,likisema ''kila nafsi iliyopata kuishi itaonja mauti". Imenibidi niyaseme hayo ili mwanajamvi mwenzetu ajue kufiwa sio jambo jipya bali ni jambo lililokuwepo tangu enzi na enzi za mababu na mabibi zetu.bwana ametoa na bwana ametWAA,MUNGU AILAZE ROHO YA MArehemu mahali peponi. na wote tuseme aamenii!!Nimepokea taarifa leo asubuhi kuwa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA