kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Jana nilipomsabahi rafiki na ambaye pia ni jirani yangu pindi nimetoka kazini, nilimwona yupo na mawazo sana. Nakwamwacha, nikaingia ndani kwangu kisha mda siyo mrefu nikaenda kumsalimu na hasa kufahamu whats wrong on his side kwa sababu sivyo alivyo. Jamaa akanichana kwamba leo mchana alienda kufanya shopping ya waototo wake wawili, lahaulaa akakutana na mke wake face to face Kariakoo akifanya shopping huku akiwa na shosti wake. Mke wake bila hiyana akamwambia mmewe Surprise.
Tatizo juzi usiku aliongea na mke wake ambaye anafanya kazi wilaya moja ipo songea. Mke wake akamwambia mme wake yupo kijijini sana (Songea), kuna baridi sana, anatamani wawe wote na mengine mengi
Mke wake amepata kazi miezi kama sita hivi imepita kituo cha kazi huko songea, mume kabaki na familia hapa Dar. Je suprisee hizi kwa wanandoa zimekaaje?
Tatizo juzi usiku aliongea na mke wake ambaye anafanya kazi wilaya moja ipo songea. Mke wake akamwambia mme wake yupo kijijini sana (Songea), kuna baridi sana, anatamani wawe wote na mengine mengi
Mke wake amepata kazi miezi kama sita hivi imepita kituo cha kazi huko songea, mume kabaki na familia hapa Dar. Je suprisee hizi kwa wanandoa zimekaaje?