hakuna suprise hapo,mume ambane mke amwaleze kinachoendelea.
Ndio.....kama wanaishi Kurasini daladala akaunganishie wapi? Na kabla hajapanda daladala anapitapita angalau aangalie hata mboga buchani, si unajua wababa wakibaki wenyewe unaweza kukuta hata mboga ya jioni haieleweki......
Hakuna kitu kama hicho, magari ya Songea hufika Dar muda mmbaya huko K'koo maduka huwa yashafungwa.
Huyo dada alikuwa kamdanganya mumewe period
ulivokomalia kha!ka we ndo mume!mwenzenu kapewa sapraiz nyie mnatoka p;ovu huku!enh sapraizi kafika na gari usiku kalala gesti weeeee af mchana mchana kaamue kwenda sokoni aftena aende nyumbani akiwa kabeba masuku yake mwenye saafi
sipati picha pozi lake sasa hiyo saa tatu aliyopanga kuingia nyumbani
''yani mume wangu nimechooka,hivi unajua siku hizi super FEO wasumbufu sana njiani yani hata sina hamu,nxt time wala sitapanda tena 'ahhahahhahhahhahahhhhahah chezeya muke ya mutu kuwa mbali!ah mi hata sitaki hizi habari za ndoa za kisomali!akhu!
na baada ya kusupraiziwa na mkewe je, mke alirudi songea au waliongozana home? nimejiuliza kwani umesema ulimkuta jamaa yupo mwenyewe anajiwazia zake!
Hapo sidhani kama kuna surprise ni fumanizi.
Huyo mama ana kesi ya kujibu....
Baada ya kuonana pale Kariakoo Jamaa akuongea naye, mida ya usiku mkali kama saa sita hivi wife alirudi na shosti wake home, jamaa akamtimua hapohapo. Demu kaomba msamaha wapi, tatizo jamaa aliliweka swala wazi kwa majirani na ndugu zake kwa hiyo alikuwa amepata ushauri mwingi.
Ila mimi nikimwangalia mwangalia jamaa, still anampenda mke wake
hili nalolisoma hapa kwenye bold ni kweli au macho yangu yananidanganya?Baada ya kuonana pale Kariakoo Jamaa akuongea naye, mida ya usiku mkali kama saa sita hivi wife alirudi na shosti wake home, jamaa akamtimua hapohapo. Demu kaomba msamaha wapi, tatizo jamaa aliliweka swala wazi kwa majirani na ndugu zake kwa hiyo alikuwa amepata ushauri mwingi.
Ila mimi nikimwangalia mwangalia jamaa, still anampenda mke wake
hili nalolisoma hapa kwenye bold ni kweli au macho yangu yananidanganya?
AH HUYO TU NA UBABZAZI WAKE!Mtani ndio kina mama hao...anajifanya alikua Songea, tokea lini zawadi ya surprise mpaka umpitie shosti au uwe na shosti ambaye si ajabu hata kwa huyo mume hatambuliki...
Mwanamama kaliwa na hakuna excuse hahahah