Payton deserves at least one Super Bowl Championship...guess this is his last season.
mimi sio mpenzi wa America football but najua super-bowl ni nini
nafikiri ndio tukio kubwa kuliko yote kwenye michezo Marekani
Tanzania inaweza kunufaika kama tutajua value na powerr the advertisement kwenye matukio kama haya
na tukainvest kuitangaza nchi yetu kwenye utalii....
matangazo ya superbowl ya TV huwa ni biashara kubwa sana na yanatazamwa na watu wengi sana
nimewahi sikia zaidi ya watu milioni 500 wanatazama superbowl final...tukiweza wafikia hao
tukawashawishi watu milioni 5 tu kuja TZ kutalii imagine faida yake
Dah! Anyway, it's part of any game! There are losers and winners, today the losers happened to be us! But I'm sure we'll return in the next SB!
Kudos to the Broncos! Kudos to the old manNING, and I hope he'll win the Lombardi (for krissake, NFL gods... Let the old man go out in glory!!!)
We'll be back, bruv Nyani Ngabu
Cam Vs Manning!. Haaa!.
There you go again...poor Nyani Ngabu, I thought there was a lesson learned this afternoon but, oh shit, I give up.Namuonea huruma babu Manning......
Hahaaaa... Kwenye sports bana, ukiwa 39yrs old tayari wewe ni mzee!. Ila Cam Newton is having a lot of fun. Yule kijana huu ni mwaka wake aisee!.Namuonea huruma babu Manning......
There you go again...poor Nyani Ngabu, I thought there was a lesson learned this afternoon but, oh shit, I give up.
Hahaaaa... Kwenye sports bana, ukiwa 39yrs old tayari wewe ni mzee!. Ila Cam Newton is having a lot of fun. Yule kijana huu ni mwaka wake aisee!.
Asee bro usikumbushie! Dah that loss still pains as if "hatuna any trophy and that was supposed to be it" (I hope unanielewa bruv)Si unaona akina Ginobli wanaitwa vibabu.....
Ila Panthers wanatisha bana khaaaa!
Lakini unajua nini?
Kuna timu mwaka 2007 ilikuwa undefeated all the way to the SB na ikafungwa kwenye mchezo wa mwisho!
Haya mambo bana....usije shangaa babu Manning anafanya maajabu Feb. 7.
Hapo ndio Tony Dungy na Colts alivyoweka heshima kwa minority coaches wa NFL!.Si unaona akina Ginobli wanaitwa vibabu.....
Ila Panthers wanatisha bana khaaaa!
Lakini unajua nini?
Kuna timu mwaka 2007 ilikuwa undefeated all the way to the SB na ikafungwa kwenye mchezo wa mwisho!
Haya mambo bana....usije shangaa babu Manning anafanya maajabu Feb. 7.
Asee bro usikumbushie! Dah that loss still pains as if "hatuna any trophy and that was supposed to be it" (I hope unanielewa bruv)
Nakumbuka uncle wangu anaeishi VA alibet na rafiki ake $ 550, akajiaminii wee. Af ndo Tyree na his "Helmet Catch" na Plaxico waka'nail the last nails to the golden coffin that was perfect season! Yan mpaka leo anakumbuka play-by-play of that game na akiwa anakusimulia akifikia tu pale kwa Tyree ndo utasikia expletives zinaanza chinichini!
Ila for real, what you have said... If the Panthers get carried away with the hype, it won't surprise me at all wakipoteza.
I think this is going to be the Carolina Panthers' theme song going into SB 50.
'Look at my dab' by the Migos.
Cam Newton has been dabbing all season long, perhaps an homage to his ATL homeboys, the Migos, who are the craze's originators.
Even coach Ron Rivera dabs these days.....
When I saw Riverboat dab, I couldn't believe it! Hahaha the old man pumped up the locker room when he did it!