Ivi huyu ni yule PM mstaafu au ni ndugu yake? Wanahabari mliyo ndani nyumba kwa nini msimweke kona kwa kumhoji aweke bayana alichoitia press, otherwise nina mdisqualify kabisa kwenye adhma yake.
Kama mlitegemea atangaze anahamia chadema mmeliwa. Hivi hii si hadithi ya sizitaki mbichi hizi??? Kerere za machura zimezidi. Kumshabikia sumaye ilikuwa ni kutaka ajiunge na mavuvuzera ya slaaa haingii ngooo,
Huu ndio uongo na unafiki wa magamba nisioupenda, kweli CCM ya JK ndio ya Mwalimu, nakuhakikishia Sumaye mwalimu angekuwa hai angeshakimbia huko, asingeweza kushirikiana na wezi na freemasons.Sumaye:
Bado nina imani na CCM, tatizo ni kwamba hatujajipanga kusimamia kwa dhati kupambana na rushwa... CCM ni ile ile iliyokuwapo miaka ya Mwalimu
kwa kisema hivi anamaanisha Mary Nagu katoa rushwa.
Like a maturing girl on her first menstruationSumaye has been P our PM for 10 ten ****ing yrs! Anatutaka nini? Alianzisha takrima Leo analia lia nini like a hIgh school girl on the first day out?
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
Huko magambani oil safi ni naniOil chafu haiwezi kusifishwa.
Kwani amemaliza mkuu?Duh hakuna newz hapo,bora angeongea na mmoja mmoja kwa cm kwani kuwaita waandishi ni 'GHARAMA' hata kama unaongea pumba wao wameshaingiza MPUNGA.