Sumaye amgwaya Lowassa!

Huyu Sumaye ni ********tu, ilo ndio la kuita waandishi wa habari, eti anasema ccm ya Nyerere ndio hii hii ya leo, what a shame, huyu ni Waziri mkuu mstahafu, kweli Tz tunaongozwa na wajinga
 
Mbona analeta ngonjera zile zile tulizoea?
Halafu kama magazeti yaliokuwa yanaandika uwongo mbona hakukanusha wakati ule hanbari zikiwa zinatoka?
 
Sumaye:

Bado nina imani na CCM, tatizo ni kwamba hatujajipanga kusimamia kwa dhati kupambana na rushwa... CCM ni ile ile iliyokuwapo miaka ya Mwalimu
ahsante kwa kuita waandishi wa habari maana umetusaidia kukufahamu kuwa si mpiganaji wa ukombozi wa mtanzania, na hata kwa wasindikizaji pia haupo,
tulitegemea tuone ukikemea kwa kuweka bayana tuhuma ili sheria ifuate mkondo, lakini watoa rushwa umewaweka kapuni au nawe PM mstaafu ulikuwa unatoa ila yako ilikuwa dhaifu kulinganisha na ya wapinzani wako?
je katika miaka yako 10 ya uongozi PM mstaafu ulitoka ukiwa safi au yapo maovu yanakufanya uwe na dhamira mfu katika kupigania siasa safi zitakazolikomboa taifa?
Swali kwa wana ccm: kama PM mstaafu hana ubavu wa kupigania haki yake, je sie walalahoi tuliokunywa maji ya bendera tutaweza ama tutabaki kuwa wapokea bahasha,fulana, kanga na vikofia kila mwaka wa uchaguzi na kuendelea kupotea na kushindwa kuifikia tanzania yenye neema kwa wote?
TAFAKARI!
 
Media yetu, imezoeshwa kulishwa habari ambazo ni za kufirika, na kwa sababu ya udhaifu wa Media ndio maaan Waziri wangu Mkuu Mstaafu aliweza kujua kwamba hata haya aliongea yatakuwa point kwao na wataandika..., Kungekuwa na serious media... huyu asingeweza kuita press kuzungumzia vitu ambavyo not tangible. Indeed habari ambayo si habari.

Matokeo ya Media kuruhusu haya ndio results zake... Maana hata wa-CDM wanasemaga mambo kama haya haya, hayana pa kushikia but ndio habari zenyewe ati...



Haiingii akilini uchaguzi wa wapiga kura zaidi ya 1000, rushwa izunguke na hao wapambe wa Mh. Sumaye zaidi ya watu 400; washindwe kufanya mtu hata mmoja leo awe chini ya Takukuru. Media tusiruhusu watu kutupa story zisizo na mshiko... hawa ndio wataharibu taifa letu.

Hongereni Media... you go what exactly you wanted.
 
Sumaye wewe ndie mwizi namba moja.Wewe ndie askari wako waliokuja kuuwa watu znz 2001 halafu ukawapandisha cheo na kuwapongeza.
 
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu

Hebu mtafute Pasco hapo atakuwa navyo hivyo vibahasha, kwenye ghafla kama hizo za vibahasha huwa hakosagi.
 
Siamin macho yangu, ametupotezea muda wetu bure! kafanya nini sasa? huyu kweli hafai kuwa kiongozi believe me!
 
Kama mlitegemea atangaze anahamia chadema mmeliwa. Hivi hii si hadithi ya sizitaki mbichi hizi??? Kerere za machura zimezidi. Kumshabikia sumaye ilikuwa ni kutaka ajiunge na mavuvuzera ya slaaa haingii ngooo,
 
n00b!
Tupo pamoja mwanzo mwisho na hebu kuwa makini na ayasemayo na ya maana bila kuficha uchafu wowote atakayetaja huyu fisadi!


[UOTE=n00b;4767127]Katika uchaguzi wa demokrasia, mtu huchaguliwa kwa uwezo na kwa ajili yao kuwatumikia, katika demokrasia ya rushwa, fedha huwachagulia watu mwakilishi kwa ajili ya waliotoa fedha, kama nimetoa fedha kwa ajili yako, na wapiga kura wanakua wapiga mihuri.

Sasa imetoka mtu kuhonga achaguliwe, na sasa mtu anatoa rushwa kununua watu ili apate kujenga mtandao wake na sasa ni rushwa ya kimtandao ambayo ni hatari sana...[/QUOTE]
 
Mimi napendekeza iwekwe maabara maalumu ya UN kuchunguza zaidi sana viongozi wanaotokea bara la Africa. Kuwapeleka kwenye mahakama baada ya matukio ni kutowatendea haki. Au basi wasamehewe bure maana kile walicho na wanachokiishi ni ulemavu ambao ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
.
 
Kama mlitegemea atangaze anahamia chadema mmeliwa. Hivi hii si hadithi ya sizitaki mbichi hizi??? Kerere za machura zimezidi. Kumshabikia sumaye ilikuwa ni kutaka ajiunge na mavuvuzera ya slaaa haingii ngooo,


Siyo hivyo, kama anaona ccm rushwa imekithili na kinyume na katiba yao si ajitoe akaye nyumbani. kuwasema watu

halafu upo humohumo ni unafiki kama anavofanya yeye.
 
kwa kisema hivi anamaanisha Mary Nagu katoa rushwa.

Sumaye:
Mambo ya Hanang, yalitokea nchi nzima... Na yalitokea kwa staili tofauti

Tatizo ni kubwa sana, maana nchi nzima mattumizi makubwa ya fedha... Tatizo ni kubwa na limeota mizizi

Nimewahi kuzungumzia mara kadhaa...

Nilisema nikiwa Same "Rushwa ni tatizo Barani na Tanzania pia... Kwetu sisi huwezi kushinda bila kutoa fedha"

Nilisema haya 2010:

"Kiongozi anayetoa rushwa anapata wapi kama si mwizi na mla rushwa... Hawezi kuwatendea haki maana wananchi ni kama bidhaa na hatawatumikia bali atatfuta za kihonga baadae"
 
Huyu Sumaye ni mpuuzi tu, ilo ndio la kuita waandishi wa habari, eti anasema ccm ya Nyerere ndio hii hii ya leo, what a shame, huyu ni Waziri mkuu mstahafu, kweli Tz tunaongozwa na wajinga

mjinga yupo tayari kujifunza, Je wanaotuongoza wapo tayari kujifunza?
je PM mstaafu miaka 10 ya uongozi kuna kitu alijifunza, sidhani maana kingekuwepo mkutano wake na waandishi leo ungekuwa wa tofauti kabisa lakini bado mambo ni yaleyale kesho kwenye magazeti kitakachobadilika ni tarehe tu!
NO NEW NEWS!
mkuu nsanu mtafutie PM mstaafu kisifa kingine hicho cha ujinga si chake!
 
Back
Top Bottom