mbona nilikwisha sikia alilazimishwa akopeshwe pesa toka PPF ili hali yy si mwanachama na akakopeshwa milion 500! kwani km ni kweli si kashfa hiyo!?
Are you kidding me? What is this, some kind of joke lol?Aidha, imefahamika kuwa Sumaye amekubali kuingia katika kampeni kwa sharti la kutoshiriki katika kumkashifu mgombea wa urais wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, jambo ambalo amenukuliwa akisema linaweza kumuondolea hadhi...
Taarifa zaidi zinasema Sumaye amegoma kumfanyia kampeni mgombea ubunge wa jimbo la Rombo kupitia CCM, Basil Mramba, kwa vile ana wasiwasi ataonekana ni mtetetezi wa watuhumiwa wa ufisadi na anaweza kuanza kuandamwa baadaye .
Habari zaidi katika MwanaHALISI ya leo.