tatizo sugu hana elimu. Yetu macho.
Hivi huyu sugu, jimbo lake analifanyia kazi saa ngapi? Ifikie mahala, ubunge utofautishwe na usanii, biashara na mengineyo, kikweli kweli, ili wabunge wawe wana concetrate seriously kwenye majimbo yao sio kutuletea hadithi za kalumekenge hapa! Pambaf!