Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hii sheria kipengere kimechomekwa
Ndiyo maana mimi napenda Dr.slaa awe the next president kwani ni yeye tu ndiyo makini anayeweza kufanya tracing on issues za kibunge.Mtakumbuka mwaka 2009 sheria aliyyosaini JK kwa mbwembwe lakini siku hiyo hiyo dr slaa alifanya reference kweny original bill iliyopelekwa bungeni na kugundua kipengere kilichomekwa.ZITTO UPO??????? wewe drslaa siyo saizi yako yule mzee ni planet nyingine kama MESSI wa Algentina.
Ninachoweza kusema ni kwamba HATUNA WABUNGE MAKINI baada ya DR.SLAA kuondoka bungeni.Hata wale wanaotaka kugombea urais ni wala posho tu. Mtu kuitwa makini lazima uonekane kweli wewe makini.Mimi namwamini Dr.slaa ndiyo pekee anayeweza kutuvusha salama.wengine porojo tu
Ndiyo maana mimi napenda Dr.slaa awe the next president kwani ni yeye tu ndiyo makini anayeweza kufanya tracing on issues za kibunge.Mtakumbuka mwaka 2009 sheria aliyyosaini JK kwa mbwembwe lakini siku hiyo hiyo dr slaa alifanya reference kweny original bill iliyopelekwa bungeni na kugundua kipengere kilichomekwa.ZITTO UPO??????? wewe drslaa siyo saizi yako yule mzee ni planet nyingine kama MESSI wa Algentina.
Ninachoweza kusema ni kwamba HATUNA WABUNGE MAKINI baada ya DR.SLAA kuondoka bungeni.Hata wale wanaotaka kugombea urais ni wala posho tu. Mtu kuitwa makini lazima uonekane kweli wewe makini.Mimi namwamini Dr.slaa ndiyo pekee anayeweza kutuvusha salama.wengine porojo tu