mabuba
Senior Member
- Dec 5, 2006
- 133
- 90
Kitila, hujifanya mtu serious sana kwenye issue za watu, sasa yu wapi. Hiyo idara ya saikolojia ina mambo. Ni juzi juzi mmoja wa idara hiyo kafukuzwa kazi kutaka kumbaka mzungu mmoja mwanafunzi, itakumbukwa miaka ya nyuma kuwa Prof mmoja maarufu alidaiwa kutaka kumbaka mwanafunzi. Wanasaikolojia kulikoni?