Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

Ngoja amaliza halafu aje afanye kazi ya kupeleka mafaili mahakamani kwa kupewa hela ya taxi 3000 ndio ataona utamu huo anaotaka kulinganisha
 
Acheni ulimbukeni, you are just criticizing without thinking. The guy has raised a very important and valid question. Kama hamna jibu kaeni kimya. Waache wataalamu wajibu. Hii sio mipasho ya taarabu. This question should go to TCU; why 4 not 3 years? or vice versa? kama kuna quality issue, it should be revealed. Inakuaje mwingine 3 mwingine 4 yrs mwisho wa siku wote wanapata shahada ya sheria. Na huo mtindo wa kutukana watu eti wameuliza maswali yanayohusu vyuo ukome; who are you to stop them? I don't mean to start another debate lakini nataka watu muwe makini na kurespect mawazo ya watu. Hii sio forum ya watu wasio taka kureason, kama ujajipanga kaa kimya, subiri mada unayoijua ujibu. Don't answer ili mradi tu. Heshimu jamii forumn watu wanaitegemea sana kupata taarifa muhimu na kuelimika.

huko sawa kabisa mkuu,hii ni forum ya kupata taarifa tena zinazoaminika na sio heshima kuitumia kuonyesha gadhabu na hasira.
 
Nafikiri ni jinsi ambavyo chuo wame frame hiyo kozi. Pia udsm hawamwonei mtu yeyote kwakuwa wameandika kila kitu.
 
Wapo wanafunzi wa UDSM wanaochoshwa na hiyo miaka 4, na kuna wakati UDSM walitaka kufanya miaka 5, lakini sijui ilisitishwa vipi.
Ni miaka 5!. Baada ya hiyo miaka 4, lazima uende Law School kwa mwaka 1!, jumla ni miaka 5!
 
Mkuu kuna muongozo wa chuo katika kufundisha hizo kozi kinachoangaliwa hapo ni uwezo wa chuo kukamilisha hvyo vinavyoitajika ila kozi ninazokuwa covered katika vyuo vyote ni zile zile hvyo uwezo wa chuo katika resources zake ndiyo zinazoangaliwa,mfano chuo kama Mzumbe,Makumira,Tumaini Iringa na vinginevyo vinafundisha LAW MIAKA 3,wakati chuo kama UDSM,RUCO vinafundisha MIAKA 4.HATA HIVYO KUANZIA 2011 MZUMBE LAW NI MIAKA MINNE(unaweza tembelea website yao halafu nenda faculty of law uangalie mchanganuo wa LLB
 
Mkuu kuna muongozo wa chuo katika kufundisha hizo kozi kinachoangaliwa hapo ni uwezo wa chuo kukamilisha hvyo vinavyoitajika ila kozi ninazokuwa covered katika vyuo vyote ni zile zile hvyo uwezo wa chuo katika resources zake ndiyo zinazoangaliwa,mfano chuo kama Mzumbe,Makumira,Tumaini Iringa na vinginevyo vinafundisha LAW MIAKA 3,wakati chuo kama UDSM,RUCO vinafundisha MIAKA 4.HATA HIVYO KUANZIA 2011 MZUMBE LAW NI MIAKA MINNE(unaweza tembelea website yao halafu nenda faculty of law uangalie mchanganuo wa LLB

ukitaka kujua tofaut yao,tembelea udsm school of law,vijana wengi wa saut na udsm ambao wamepga miaka 4,wanafanya vzr sana ukilinganisha na wenzao walofanya miaka 3.
 
Lengo la kuwa miaka minne kwa UDSM ilikuwa mtu akimaliza awe Advocate kabisa jambo ambalo hata hivyo halikukubaliwa na wakubwa, nafikiri ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na wakati huo huo tayari mabadiliko ya kuwa miaka minne tayari yameshafanyika ikabidi iachwe iendelee hivyo hivyo.
 
tafuta,kuna thread ilikua hapa jamvin juzi ikikataza ligi za vyuo.

Wewe huna akili kabisa! ilikuwa ni thread au ni katazo? ni nani alilitoa? member wa kawaida au admins? na kama mabishano yalikatazwa, mtu akikiuka katazo hilo ni hatua gani zitachukuliwa? tatizo lako dogo unakurupuka sana....
 
Mkuu kuna muongozo wa chuo katika kufundisha hizo kozi kinachoangaliwa hapo ni uwezo wa chuo kukamilisha hvyo vinavyoitajika ila kozi ninazokuwa covered katika vyuo vyote ni zile zile hvyo uwezo wa chuo katika resources zake ndiyo zinazoangaliwa,mfano chuo kama Mzumbe,Makumira,Tumaini Iringa na vinginevyo vinafundisha LAW MIAKA 3,wakati chuo kama UDSM,RUCO vinafundisha MIAKA 4.HATA HIVYO KUANZIA 2011 MZUMBE LAW NI MIAKA MINNE(unaweza tembelea website yao halafu nenda faculty of law uangalie mchanganuo wa LLB

Umesahau UDOM na SAUT.
 
Mkuu kuna muongozo wa chuo katika kufundisha hizo kozi kinachoangaliwa hapo ni uwezo wa chuo kukamilisha hvyo vinavyoitajika ila kozi ninazokuwa covered katika vyuo vyote ni zile zile hvyo uwezo wa chuo katika resources zake ndiyo zinazoangaliwa,mfano chuo kama Mzumbe,Makumira,Tumaini Iringa na vinginevyo vinafundisha LAW MIAKA 3,wakati chuo kama UDSM,RUCO vinafundisha MIAKA 4.HATA HIVYO KUANZIA 2011 MZUMBE LAW NI MIAKA MINNE(unaweza tembelea website yao halafu nenda faculty of law uangalie mchanganuo wa LLB

Umesahau UDOM na SAUT.nao pia law ni 4yrs.Bt inachosha kwa kweli coz hata mm nasoma hyo kozi hapa udom.
 
Au UDSM faculty of law walitaka kuwa sawa na kitivo cha uhandisi maana kulikuwa na upinzani wa jadi kati ya hivyo vitivo viwili zamani kama vile simba na yanga ili ionekane kuwa hakuna tofauti kati yao yaani wote miaka minne.
 
Au UDSM faculty of law walitaka kuwa sawa na kitivo cha uhandisi maana kulikuwa na upinzani wa jadi kati ya hivyo vitivo viwili zamani kama vile simba na yanga ili ionekane kuwa hakuna tofauti kati yao yaani wote miaka minne.
Duh....hii nayo kali! Acha utani na ma ngwini bana!
 
ukitaka kujua tofaut yao,tembelea udsm school of law,vijana wengi wa saut na udsm ambao wamepga miaka 4,wanafanya vzr sana ukilinganisha na wenzao walofanya miaka 3.

toa source,siyo kunasecretary amekwambia?lete data za maana au ndiyo unaanza kulinganisha chuo kitu hata mwenyewe umesema hatudeal nacho ma GT wa JF labda kwa baadhi ya washamba wasiojua soko la ajira.,SISI TUNAJADILI KWA NINI WENGNE MIAKA 3 WENGNE 4
 
Au UDSM faculty of law walitaka kuwa sawa na kitivo cha uhandisi maana kulikuwa na upinzani wa jadi kati ya hivyo vitivo viwili zamani kama vile simba na yanga ili ionekane kuwa hakuna tofauti kati yao yaani wote miaka minne.

khaah!!mkuu,unatutania ngwini ee?
 
Naunga mkono kuwa hoja za malumbano ya vyuo hazina tija kwetu wenyewe wala taifa kwa ujumla. Hata hivyo kuna mazingira mtu anaweza kuelimishwa akiwa tayari kupata ufafanuzi juu ya mambo fulani. Kuhusu suala la miaka ya shahada ya sheria kati ya miaka 3 au 4. Ninachokifahamu kwa wakati ule nikiwa shule sijua kama mambo yamebadilika ni kwamba UDSM walikuwa wakitumia annual system na Mzumbe walikuwa wakitumia Semester system. Katika annual system mwanafunzi huchukua masomo tisa ambayo anafanyia mtihani mwisho wa mwaka. Wakati katika semester system mwanafunzi huchukua masomo sita na hufanyia mtihani kila mwisho wa semester. Hivyo kwa mwanafunzi wa UDSM anahitaji miaka 4 ili kumaliza 36 courses (9 x 4) wakati wa Mzumbe atafanya course 36 kwa miaka 3 yaani ( 6 X 2 X 3) ambayo ni 36 courses. Hivyo kwa maana ya coverage ni sawa. Lakin pia hata UDSM ilishawahi kuwa na historia ya kutoa shahada ya sheria miaka mitatu miaka ya nyuma. Makerere pia inatoa shahada ya sheria miaka mitatu. Kuna wakati UDSM ilikuwa inatoa shahada ya Education miaka minne. Lakin baadaye the same syllabus was condensed into three years.

Miaka si hoja, knowledge is the same. Competency is individually based. Kumbuken not in quantity but in quality (Non in quantitate sed in qualitate) kama ambavyo walatini walisema.
 
We tumekushtukia,unataka kuanzsha mpambano wa vyuo humu tena na wakat tushakubaliana mabishano ya vyuo yakome.

hiyo thread aliianzisha nani? Aliyeianzisha ndie mwenye JF au? Nani aliyekubali? Tuliweka sahihi? Mbona humu JF kila kitu mtu akipost wanajamii F Wanadai ipo kiubaguzi? Mtoa hii anataka kujua kuna nini kinachopelekea udsm waweke miaka 4, hata mimi huwa najiuliza hovyo, so ningependa watu warudi kwenye mada wamjibu, maana hata mimi nitaelimika na kupata ufahamu zaidi kwakuwa nahitaji kujuzwa. Tuache kudai thread inasupport ligi ya vyuo.
 
Back
Top Bottom