AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Habari wana JF...
Kifo cha Star maarufu katika Upande wa movies kwa Jina la Steven Kanumba kimetikisa taifa kuliko ilivyowahi dhaniwa; Nakubali Kanumba was good na wengine wengi wanadiriki kusema he was The Great. Kwa upande wangu nilikua namkubali kweli, sababu nilimuona alivoanza na alipofika. He was no one but was able to change that.... Na nilikua namkubali more because of the way amechangia ku evolve movie Industry nchini kuliko hata movie zake - nitakua ni Muongo nikisema I have watched more than three of his movies ila nilikua namkubali kama ninavokubali na wasanii wengine hapa nchini kwa michango yao katika entertainment Industry. I have been fortunate to meet him once, and I thot him to be so cool nikifananisha na baadhi ya Ma stars nilo wahi habatika kuwaona (Kwa mfano Hemedi; unaweza chafuka nyongo kwa kumsikiliza na kumtazama swagger zake).
Kifo chake kilikua cha kushtua mno! Wapo ambao kweli kazikwa na tumeanza kusahau, Ila believe me you bado thousands of people wana majonzi hadi dakika hii ya hii thread na post hapa. Kuna watu hawawezi angalia movie wakamaliza; Kilio kinaanza upyaaa... Discussion of his death upya... Hadi leo hii huwezi pita mahala mbali mbali ukakosa sikia randomly akiongelewa. Katika Imani zetu za Kiswahili twaweza justify kwa kusema jamaa alikua na nyota kali sana ya kukubalika na kupendwa. Siamini kama sababu tu inasemekana alikua mcheshi na mkarimu ndio sababu pekee... I don't! Nimebahatika kuongea kwa karibu na moja wa mhudumu ambae alikua zamu siku Marehemu Kanumba alipelekwa hapo hospitali akiwa katika gari yake mwenyewe kapelekwa na huyo mdogo wake na kijana mwingine Pamoja na Mama mwenye nyumba wake. Unaambiwa ilipo tambulika kua Kanumba was indeed dead ni ndani ya mda mfupi watu walikuja kwa wingi toka kona mbali mbali ya jiji kutaka kuja hakikisha kama kweli huku wengi wakiwa hawaamini.
Kama Marehemu kutajwa jina yaweza sababisha yeye kushindwa pumzika kwa AMANI - Basi Kanumba bado ana mda mrefu wa yeye kupumzika kwa AMANI hapa karibuni. Ingekua Marehem kafariki kwa njia hio hio kwa kupitia mkono wa Mwanamke mwingine; Kifo chake, jina lake na mijadala kuhusu tukio hilo la kusikitisha lingeanza kupoa sasa. Bahati mbaya saana kwa jinsi mambo yanavoenda ndio kwanza kama ni hadithi badi tupo stage ya Climax.... Na mwisho wake hautabiriki hata kwa wale ambao husoma hadithi zaidi ya 50 kwa mwaka. It is so complicated! For the simple reason kua Mhusika Mkuu katika hilo tukio ni the Late Kanumba na Elizabeth Michael alternatevly known as Lulu.
Utata wa muelekeo wa hii habari nzima ya kusikitisha wa Uhusika wa Lulu unakuja tokana na sababu nyiingi.... Hii yoote inatokana na mhusika kua mtoto/binti mdogo sana ki umri.... binti ambae yeye Marehemu kamuona na twaweza sema mlea toka utoto hadi kupevuka na kua binti. Lakini zaidi sababu ambazo zina nguvu sana ni yeye Lulu alizo zijenga mwenyewe katika macho ya Jamii. Kwamba yeye ni yeye, akiongea katika vyombo vya habari mara nyingi huwa kwa kejeli na kujidai... ni binti ambae katika macho ya tulio wengi twaona ni kama kashindikana. Na yeye alikua akiona ni sifa (I presume) kuandikwa na vyombo vya habari kila siku.... Ana maneno mengi ambayo yanam paint vibaya kama binti. Ingekua huyo huyo Lulu ni binti ambae katika jamii aonekana ni mpole, mstaarabu, adabu na heshima na kutokua na Kashfa; Kitendo cha Marehemu kufariki kusinge mkandamiza saana katika jamii. Jamii ingeuliza maswali kama Jamani Kanumba alikua akifanya nini na yule binti? Yule si mdogo wake? na maneno yafananayo na hayo.
Yule mtoto ana mtihani mkubwa.... Roho yaniuma. Nime observe asilimia zaidi ya 75 yanamlaumu kua ndio chanzo cha kifo cha Steven Kanumba kana kwamba kamuua... Hao watu wakisahau kua huyo binti hajawahi pewa chance ya kukua katika normal child environment based... toka mtoto kazungukwa na mastar, starehe, pesa, wanaume wenye tamaa na wale ambao wapo tayari kumpa lolote ili kuwez mpata.... Wakisahau kua ni mdogo akili haijakomaa. Kama mkubwa tu akipata anakua limbukeni sembuse yeye?
Sijui ataishi maisha gani? sijui kama ana mfadhili wa kumpleka nje akitoka tu... (amini nakwambia yule binti hawezi pita mtaani popote pale Tanzania); Na vile bado ni mdogo... hata akiachiwa huru anatakiwa uangalizi wa 24/7... Kwa maisha alozoea kuishi ya Kujiachia.... na hali atakua mfungwa hata akiachiwa huru; itakua mtihani mkubwa sana kwake kiasi kwamba aweza hata taka poteza maisha yake mwenyewe.... Hata hivo tuone upepo utavoenda.
Nawapa pole Wazazi, Ndugu/Jamaa, Wasanii wote, Wafanyakazi wake na Watanzania wote waloguswa na Kifo cha Marehem Steven Kanumba. May he Rest In Peace.
Nampa pole sana binti Elizabeth Michael kwa doa la maisha lililomkuta; ni kitu ambacho kingeweza mkuta yeyote yule. But in this it is her. Pole zake saana na I pray for her.... Nawapa pole wazazi wake na watu wake wa karibu wote ambao wameguswa na kuumizwa kwa kuhusika kwake katika tukio.
Lengo la hii thread ni kutengeneza kumbu kumbu ya Thread zote ambazo zimeguza hilo tukio La kusikitisha. Kwa wale ambao ni members hawapo, kwa wale ambao watakuja kua members, kwa wale ambao watataka kujikumbushia ama kusoama yote kuhusiana na shughuli nzima waweze pata kwa urahisi badala ya kutafuta randomly. Threads zipo nyingi sana hivo nimejaribu chukua baadhi ya Msingi. Kuna nyingine sijaziona Nitaomba fellow members wajaribu kuweka Links katika posts na nita update.
Tanzanian actor Steven Kanumba reported Dead - Courtesy of Jeryson
Steven Kanumba; Has a very touching story - Courtesy ya Pasco
Madaktari; Hiki ndicho Kilicho muua Kanumba - Courtesy ya Matola
Wabunge Halima Mdee na Easter Bulaya wamefurahi Kanumba Kufa?- Courtesy ya Kamura
TBC1 Wakata matangazo bungeni, wanarusha mazishi ya Kanumba Live - Cortesy ya Wakusoma
Kanumba frustrates JK's Travel Plans - Courtesy of Sijali
Ya Kanumba: Konzo ya Maji Haifumbatiki na mvumbika changa hula mbovu - Cortesy ya Babykailama
Maisha Kitendawili.... Wengi hufa bila kutegua - Courtesy ya The Boss
Kifo Cha Kanumba: Ni uzembe tu! Sio Lulu - Courtesy ya Pasco
Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael - Courtesy ya Maseto
Africa Magharibi bado utata, wadhani Kanumba kagongwa na gari - Courtesy ya Misnomer
Speculations behind Kanumba's Death - Courtesy ya Jack Beur
Nyimbo ya Kanumba kabla hajafa ni kama amejitabiria - Cortesy of Hassbaby
Neno la mwisho la Kanumba kwa Mama - Courtesy of Independent Voter
Bungeni Leo; Martha Mlata: Kanumba alitakiwa awe na body guard - Courtesy of Dadio
Filamu ya Kifo cha Kanumba yanaswa kwa siri - Courtesy ya Gumzo
Mod tunaomba utengeneze Jukwaa la Kanumba kuepusha Duplicant - Cortesy of Matope (Lmao hapa)
Kifo cha Kanumba chazua Ushirikina- Courtesy ya Maseto
Kifo cha Kanumba: Wengi kupandishwa Kizimbani - Courtesy ya Allien
Kufa Kufaana; Wasanii Bongo Movies Waanza kuchangisha Pesa- Courtesy ya Ma2mbo
Michango ya Rambi Rambi ya Msiba wa Kanumba watafunwa - Courtesy ya Kimbunga
Kanumba; Holly wood nao walonga - Courtesy ya Alien
Steve Kanumba: Historia; Kazi zake na Mengineyo - Courtesy of Allien
"Nimezaa na Kanumba' - Courtesy of Ngoshwe
Ramli kali.. Nyuma ya pazia kifo cha Kanumba - Courtesy of Bujibuji
Umaarufu wa Kanumba unanitia mashaka - Courtesy of PETER JOHN MLEY
[Lulu Related Thread to the Death of Kanumba]
...........................
"Ujinai" wa Lulu katika "Mauaji" ya Kanumba (R.I.P)- Courtesy of Woman of Substance
Tetesi-UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka - Courtesy ya Rutashubanyuma
Je Lulu ana haki juu ya Kifo cha Kanumba? - Courtesy ya MPAMBANAJI.COM
Sakata la Lulu na Kifo cha Kanumba, What does the Law say?- Courtesy ya Majamba Jr.
Police wamuachie Lulu mara moja! - Courtesy of Rutashubanyuma
Ushauri alopewa Lulu na Lady Jaydee 2009 akiwa 14yrs - Courtesy of Independent Voter
Mh. Halima Mdee: Nitamsaidia Lulu kadri niwezavo - Courtesy of Mwitaz
Neno la Leo: Jamii ya walo wema Imsamehe Elizabeth Michael - Courtesy of Majid
Ushauri huu kwa Kanumba na Kifo chake - Courtesy of Kitalolo
The above ndio threads ambazo nimejitahidi ku compile. DISCLAIMER; Nimeweka threads tokana na uhusiano wake na the whole event. Kuweka kwangu hapa sio kwamba all details katika all threads ni valid and verified.
Pamoja Saana.
AshaDii...
Kifo cha Star maarufu katika Upande wa movies kwa Jina la Steven Kanumba kimetikisa taifa kuliko ilivyowahi dhaniwa; Nakubali Kanumba was good na wengine wengi wanadiriki kusema he was The Great. Kwa upande wangu nilikua namkubali kweli, sababu nilimuona alivoanza na alipofika. He was no one but was able to change that.... Na nilikua namkubali more because of the way amechangia ku evolve movie Industry nchini kuliko hata movie zake - nitakua ni Muongo nikisema I have watched more than three of his movies ila nilikua namkubali kama ninavokubali na wasanii wengine hapa nchini kwa michango yao katika entertainment Industry. I have been fortunate to meet him once, and I thot him to be so cool nikifananisha na baadhi ya Ma stars nilo wahi habatika kuwaona (Kwa mfano Hemedi; unaweza chafuka nyongo kwa kumsikiliza na kumtazama swagger zake).
Kifo chake kilikua cha kushtua mno! Wapo ambao kweli kazikwa na tumeanza kusahau, Ila believe me you bado thousands of people wana majonzi hadi dakika hii ya hii thread na post hapa. Kuna watu hawawezi angalia movie wakamaliza; Kilio kinaanza upyaaa... Discussion of his death upya... Hadi leo hii huwezi pita mahala mbali mbali ukakosa sikia randomly akiongelewa. Katika Imani zetu za Kiswahili twaweza justify kwa kusema jamaa alikua na nyota kali sana ya kukubalika na kupendwa. Siamini kama sababu tu inasemekana alikua mcheshi na mkarimu ndio sababu pekee... I don't! Nimebahatika kuongea kwa karibu na moja wa mhudumu ambae alikua zamu siku Marehemu Kanumba alipelekwa hapo hospitali akiwa katika gari yake mwenyewe kapelekwa na huyo mdogo wake na kijana mwingine Pamoja na Mama mwenye nyumba wake. Unaambiwa ilipo tambulika kua Kanumba was indeed dead ni ndani ya mda mfupi watu walikuja kwa wingi toka kona mbali mbali ya jiji kutaka kuja hakikisha kama kweli huku wengi wakiwa hawaamini.
Kama Marehemu kutajwa jina yaweza sababisha yeye kushindwa pumzika kwa AMANI - Basi Kanumba bado ana mda mrefu wa yeye kupumzika kwa AMANI hapa karibuni. Ingekua Marehem kafariki kwa njia hio hio kwa kupitia mkono wa Mwanamke mwingine; Kifo chake, jina lake na mijadala kuhusu tukio hilo la kusikitisha lingeanza kupoa sasa. Bahati mbaya saana kwa jinsi mambo yanavoenda ndio kwanza kama ni hadithi badi tupo stage ya Climax.... Na mwisho wake hautabiriki hata kwa wale ambao husoma hadithi zaidi ya 50 kwa mwaka. It is so complicated! For the simple reason kua Mhusika Mkuu katika hilo tukio ni the Late Kanumba na Elizabeth Michael alternatevly known as Lulu.
Utata wa muelekeo wa hii habari nzima ya kusikitisha wa Uhusika wa Lulu unakuja tokana na sababu nyiingi.... Hii yoote inatokana na mhusika kua mtoto/binti mdogo sana ki umri.... binti ambae yeye Marehemu kamuona na twaweza sema mlea toka utoto hadi kupevuka na kua binti. Lakini zaidi sababu ambazo zina nguvu sana ni yeye Lulu alizo zijenga mwenyewe katika macho ya Jamii. Kwamba yeye ni yeye, akiongea katika vyombo vya habari mara nyingi huwa kwa kejeli na kujidai... ni binti ambae katika macho ya tulio wengi twaona ni kama kashindikana. Na yeye alikua akiona ni sifa (I presume) kuandikwa na vyombo vya habari kila siku.... Ana maneno mengi ambayo yanam paint vibaya kama binti. Ingekua huyo huyo Lulu ni binti ambae katika jamii aonekana ni mpole, mstaarabu, adabu na heshima na kutokua na Kashfa; Kitendo cha Marehemu kufariki kusinge mkandamiza saana katika jamii. Jamii ingeuliza maswali kama Jamani Kanumba alikua akifanya nini na yule binti? Yule si mdogo wake? na maneno yafananayo na hayo.
Yule mtoto ana mtihani mkubwa.... Roho yaniuma. Nime observe asilimia zaidi ya 75 yanamlaumu kua ndio chanzo cha kifo cha Steven Kanumba kana kwamba kamuua... Hao watu wakisahau kua huyo binti hajawahi pewa chance ya kukua katika normal child environment based... toka mtoto kazungukwa na mastar, starehe, pesa, wanaume wenye tamaa na wale ambao wapo tayari kumpa lolote ili kuwez mpata.... Wakisahau kua ni mdogo akili haijakomaa. Kama mkubwa tu akipata anakua limbukeni sembuse yeye?
Sijui ataishi maisha gani? sijui kama ana mfadhili wa kumpleka nje akitoka tu... (amini nakwambia yule binti hawezi pita mtaani popote pale Tanzania); Na vile bado ni mdogo... hata akiachiwa huru anatakiwa uangalizi wa 24/7... Kwa maisha alozoea kuishi ya Kujiachia.... na hali atakua mfungwa hata akiachiwa huru; itakua mtihani mkubwa sana kwake kiasi kwamba aweza hata taka poteza maisha yake mwenyewe.... Hata hivo tuone upepo utavoenda.
Nawapa pole Wazazi, Ndugu/Jamaa, Wasanii wote, Wafanyakazi wake na Watanzania wote waloguswa na Kifo cha Marehem Steven Kanumba. May he Rest In Peace.
Nampa pole sana binti Elizabeth Michael kwa doa la maisha lililomkuta; ni kitu ambacho kingeweza mkuta yeyote yule. But in this it is her. Pole zake saana na I pray for her.... Nawapa pole wazazi wake na watu wake wa karibu wote ambao wameguswa na kuumizwa kwa kuhusika kwake katika tukio.
Lengo la hii thread ni kutengeneza kumbu kumbu ya Thread zote ambazo zimeguza hilo tukio La kusikitisha. Kwa wale ambao ni members hawapo, kwa wale ambao watakuja kua members, kwa wale ambao watataka kujikumbushia ama kusoama yote kuhusiana na shughuli nzima waweze pata kwa urahisi badala ya kutafuta randomly. Threads zipo nyingi sana hivo nimejaribu chukua baadhi ya Msingi. Kuna nyingine sijaziona Nitaomba fellow members wajaribu kuweka Links katika posts na nita update.
Tanzanian actor Steven Kanumba reported Dead - Courtesy of Jeryson
Steven Kanumba; Has a very touching story - Courtesy ya Pasco
Madaktari; Hiki ndicho Kilicho muua Kanumba - Courtesy ya Matola
Wabunge Halima Mdee na Easter Bulaya wamefurahi Kanumba Kufa?- Courtesy ya Kamura
TBC1 Wakata matangazo bungeni, wanarusha mazishi ya Kanumba Live - Cortesy ya Wakusoma
Kanumba frustrates JK's Travel Plans - Courtesy of Sijali
Ya Kanumba: Konzo ya Maji Haifumbatiki na mvumbika changa hula mbovu - Cortesy ya Babykailama
Maisha Kitendawili.... Wengi hufa bila kutegua - Courtesy ya The Boss
Kifo Cha Kanumba: Ni uzembe tu! Sio Lulu - Courtesy ya Pasco
Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael - Courtesy ya Maseto
Africa Magharibi bado utata, wadhani Kanumba kagongwa na gari - Courtesy ya Misnomer
Speculations behind Kanumba's Death - Courtesy ya Jack Beur
Nyimbo ya Kanumba kabla hajafa ni kama amejitabiria - Cortesy of Hassbaby
Neno la mwisho la Kanumba kwa Mama - Courtesy of Independent Voter
Bungeni Leo; Martha Mlata: Kanumba alitakiwa awe na body guard - Courtesy of Dadio
Filamu ya Kifo cha Kanumba yanaswa kwa siri - Courtesy ya Gumzo
Mod tunaomba utengeneze Jukwaa la Kanumba kuepusha Duplicant - Cortesy of Matope (Lmao hapa)
Kifo cha Kanumba chazua Ushirikina- Courtesy ya Maseto
Kifo cha Kanumba: Wengi kupandishwa Kizimbani - Courtesy ya Allien
Kufa Kufaana; Wasanii Bongo Movies Waanza kuchangisha Pesa- Courtesy ya Ma2mbo
Michango ya Rambi Rambi ya Msiba wa Kanumba watafunwa - Courtesy ya Kimbunga
Kanumba; Holly wood nao walonga - Courtesy ya Alien
Steve Kanumba: Historia; Kazi zake na Mengineyo - Courtesy of Allien
"Nimezaa na Kanumba' - Courtesy of Ngoshwe
Ramli kali.. Nyuma ya pazia kifo cha Kanumba - Courtesy of Bujibuji
Umaarufu wa Kanumba unanitia mashaka - Courtesy of PETER JOHN MLEY
[Lulu Related Thread to the Death of Kanumba]
...........................
"Ujinai" wa Lulu katika "Mauaji" ya Kanumba (R.I.P)- Courtesy of Woman of Substance
Tetesi-UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka - Courtesy ya Rutashubanyuma
Je Lulu ana haki juu ya Kifo cha Kanumba? - Courtesy ya MPAMBANAJI.COM
Sakata la Lulu na Kifo cha Kanumba, What does the Law say?- Courtesy ya Majamba Jr.
Police wamuachie Lulu mara moja! - Courtesy of Rutashubanyuma
Ushauri alopewa Lulu na Lady Jaydee 2009 akiwa 14yrs - Courtesy of Independent Voter
Mh. Halima Mdee: Nitamsaidia Lulu kadri niwezavo - Courtesy of Mwitaz
Neno la Leo: Jamii ya walo wema Imsamehe Elizabeth Michael - Courtesy of Majid
Ushauri huu kwa Kanumba na Kifo chake - Courtesy of Kitalolo
The above ndio threads ambazo nimejitahidi ku compile. DISCLAIMER; Nimeweka threads tokana na uhusiano wake na the whole event. Kuweka kwangu hapa sio kwamba all details katika all threads ni valid and verified.
Pamoja Saana.
AshaDii...