kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Baada ya marehemu Steven Kanumba kufa Bongo movie ilipoteza mvuto wake. Ikapoteza ubora wake kwasababu ambao walibaki walishindwa kwenda na ubora ule ule marehemu Kanumba alikuwa nao.
Ndo kitu ambacho kilipoteza ubora na mvuto wa bongo movie. Baada ya miaka 13+ bila Kanumba ndo ametokea kijana uyu mdogo kabisa Clam Vevo kuja kajaribu. Kuendeleza ubora ule ule Kanumba alikuwa nao.
Kuna kipindi pia Nigeria nao walipoteza ubora wao Baada ya kizazi kile cha akina Ramsay kupotea ambao walitokea hawakuwa na ubora wowote Nigeria movie zikapoteza mvuto.
Wakatokea vijana wawili ambao kwasasa wana peperusha vizuri bendera ya Nigeria vizuri kwenye movie. Na vijana ao ni Chidi Dike. Na Tobi Bakare.
Naamini Clam Vevo kwa umaari wake wa kuigiza anaweza kurudisha ubora wa bongo movie
Ndo kitu ambacho kilipoteza ubora na mvuto wa bongo movie. Baada ya miaka 13+ bila Kanumba ndo ametokea kijana uyu mdogo kabisa Clam Vevo kuja kajaribu. Kuendeleza ubora ule ule Kanumba alikuwa nao.
Kuna kipindi pia Nigeria nao walipoteza ubora wao Baada ya kizazi kile cha akina Ramsay kupotea ambao walitokea hawakuwa na ubora wowote Nigeria movie zikapoteza mvuto.
Wakatokea vijana wawili ambao kwasasa wana peperusha vizuri bendera ya Nigeria vizuri kwenye movie. Na vijana ao ni Chidi Dike. Na Tobi Bakare.
Naamini Clam Vevo kwa umaari wake wa kuigiza anaweza kurudisha ubora wa bongo movie