Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!

Kuna kitu hapo chunguza mjomba utabaini,inawezekana alijua kila kitu,maana ukienda kutafuta utajiri unapewa miaka ya kuwa na mafanikio then unavuta,huyu jamaa alianza kupata mafanikio 2004/2005 mpaka sasa ni miaka takriban 7,chunguza hapo!
Mwaka 2012 story za ufrimasoni zilikua on fleek. Ona hii.
 
Wababodi,

Japo mimi sio mshabiki wa Bongo Movies, wife na mabinti ni washabiki (Father of 6!, 3 girls & 3 boys).

Leo nimewahi home na kuangalia Clouds TV kipindi cha "Take One" na Zamaradi Mketema akimzungunzia Bongo Movies No. 1 Top Celeb, Steven Kanumba.

Story yake ni very touching. Ni product ya broken family aliyekumbana na madhila ya wicked step mother!. Jamaa ameteswa sana utotoni na mateso yake yamenigusa sasa na mimi nampenda huyu jamaa.

Kanumba sio tuu ana kipaji cha uigizaji, pia ana kipaji cha muziki anapiga kinanda, gitaa la Galaton na anaimba!.

Kimaisha yuko safi, nyumba nzuri, magari na pesa ya maana. Ni good looking Msukuma ana roho nzuri na hajaoa wala hana mchumba!. (eligible bachelour!).

Pia namkubali sana huyu dada Zamaradi Mketema ni kipaji na kichwa! nae yuko single!, si wa match tuu!.

Kwa mtakaotaka kuona angalieni marudio kesho saa 4.00 usiku Clouds. J4 ijayo part 2 ya Kanumba itaendelea!

Paskali

Update:
Jamani, baada ya kupokea taarifa za kifo cha Steven Kanumba, nimeikumbuka hii post nilibandika tarehe kama ya leo exactlymiezi miwili iliyopita!.

Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.

Ama kweli nimeamini maneno ya walimwengu "Wanaopendwa na Wengi, Hufa Wangali Vijana"!.

Nimeguswa sana!.

Rip Steven Kanumba!.

Paskali!.
Leo ni miaka 5 tangu kufariki kwa huyu legend wa Bongo Movies, sijui alikufa na Bongo Movies yake, maana mpaka leo bado hakuna star mwingine wa Bongo movies aliyebamba kama Kunumba.

Ila pia ukiangalia stories za baadhi ya ma top stars wa Bongo wamekulia maisha ya taabu sana utotoni, ndipo baadae waka win akiwemo Diamond Platinum.

Hata super star wetu kwenye tasnia ya siasa pia alikulia kwenye shida hivi hivi.

Ukiwa top star na kupendwa na wengi una risk kukatishwa maisha yako kufuatia notion ya "wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana" hivyo ni bora kufanya visa uchukiwe upate maisha marefu.

RIP Stephen Kanumba.
Paskali
 
Kama Lulu kweli ndio mhusika, then, ni kuanzia leo ndio Kanumba, ata rest in piece.
Lakini kama alianguka mwenyewe kutokana na pombe ya Jack Daniel kumzidia, then, karma is upon him, ukijumlisha na kosa la ubakaji under 14!, karma itamlipia Lulu kwa kumfidia, kwanza kwa kubakwa na hilo jibaba super star, kisha kusingiziwa kuua!. Fidia kwa Lulu ni atakuja kupendwa na super star mkubwa kuliko Kanumba, halafu familia ya Kanumba, will suffer the consequences za matendo maovu ya Kanumba.

Paskali
 
Wababodi,

Japo mimi sio mshabiki wa Bongo Movies, wife na mabinti ni washabiki (Father of 6!, 3 girls & 3 boys).

Leo nimewahi home na kuangalia Clouds TV kipindi cha "Take One" na Zamaradi Mketema akimzungunzia Bongo Movies No. 1 Top Celeb, Steven Kanumba.




Story yake ni very touching. Ni product ya broken family aliyekumbana na madhila ya wicked step mother!. Jamaa ameteswa sana utotoni na mateso yake yamenigusa sasa na mimi nampenda huyu jamaa.

Kanumba sio tuu ana kipaji cha uigizaji, pia ana kipaji cha muziki anapiga kinanda, gitaa la Galaton na anaimba!.

Kimaisha yuko safi, nyumba nzuri, magari na pesa ya maana. Ni good looking Msukuma ana roho nzuri na hajaoa wala hana mchumba!. (eligible bachelour!).

Pia namkubali sana huyu dada Zamaradi Mketema ni kipaji na kichwa! nae yuko single!, si wa match tuu!.

Kwa mtakaotaka kuona angalieni marudio kesho saa 4.00 usiku Clouds. J4 ijayo part 2 ya Kanumba itaendelea!

Paskali

Update:
Jamani, baada ya kupokea taarifa za kifo cha Steven Kanumba, nimeikumbuka hii post nilibandika tarehe kama ya leo exactly miezi miwili iliyopita!.

Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.

Ama kweli nimeamini maneno ya walimwengu "Wanaopendwa na Wengi, Hufa Wangali Vijana"!.

Nimeguswa sana!.

Rip Steven Kanumba!.

Paskali

Leo pia ni kumbukumbu ya kifo cha Stephen Kanumba . RIP Stephen Kanumba
P
 
Leo ni miaka 5 tangu kufariki kwa huyu legend wa Bongo Movies, sijui alikufa na Bongo Movies yake, maana mpaka leo bado hakuna star mwingine wa Bongo movies aliyebamba kama Kunumba.

Ila pia ukiangalia stories za baadhi ya ma top stars wa Bongo wamekulia maisha ya taabu sana utotoni, ndipo baadae waka win akiwemo Diamond Platinum.

Hata super star wetu kwenye tasnia ya siasa pia alikulia kwenye shida hivi hivi.

Ukiwa top star na kupendwa na wengi una risk maisha yako kufuatia notion ya "wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana" hivyo ni bora kufanya visa uchukiwe upate maisha marefu.

RIP Stephen Kanumba.
Paskali

Kwa mfano huu , kuna sababu mahususi kwanini uliitwa kwenye baraza la Maadili (aka madili) !!
 
Leo ni miaka 5 tangu kufariki kwa huyu legend wa Bongo Movies, sijui alikufa na Bongo Movies yake, maana mpaka leo bado hakuna star mwingine wa Bongo movies aliyebamba kama Kunumba.

Ila pia ukiangalia stories za baadhi ya ma top stars wa Bongo wamekulia maisha ya taabu sana utotoni, ndipo baadae waka win akiwemo Diamond Platinum.

Hata super star wetu kwenye tasnia ya siasa pia alikulia kwenye shida hivi hivi.

Ukiwa top star na kupendwa na wengi una risk maisha yako kufuatia notion ya "wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana" hivyo ni bora kufanya visa uchukiwe upate maisha marefu.

RIP Stephen Kanumba.
Paskali

Wababodi,

Japo mimi sio mshabiki wa Bongo Movies, wife na mabinti ni washabiki (Father of 6!, 3 girls & 3 boys).

Leo nimewahi home na kuangalia Clouds TV kipindi cha "Take One" na Zamaradi Mketema akimzungunzia Bongo Movies No. 1 Top Celeb, Steven Kanumba.




Story yake ni very touching. Ni product ya broken family aliyekumbana na madhila ya wicked step mother!. Jamaa ameteswa sana utotoni na mateso yake yamenigusa sasa na mimi nampenda huyu jamaa.

Kanumba sio tuu ana kipaji cha uigizaji, pia ana kipaji cha muziki anapiga kinanda, gitaa la Galaton na anaimba!.

Kimaisha yuko safi, nyumba nzuri, magari na pesa ya maana. Ni good looking Msukuma ana roho nzuri na hajaoa wala hana mchumba!. (eligible bachelour!).

Pia namkubali sana huyu dada Zamaradi Mketema ni kipaji na kichwa! nae yuko single!, si wa match tuu!.

Kwa mtakaotaka kuona angalieni marudio kesho saa 4.00 usiku Clouds. J4 ijayo part 2 ya Kanumba itaendelea!

Paskali

Update:
Jamani, baada ya kupokea taarifa za kifo cha Steven Kanumba, nimeikumbuka hii post nilibandika tarehe kama ya leo exactly miezi miwili iliyopita!.

Kwa vile wife na watoto ni fans wa Kanumba, saa hizi amewaamsha watoto wote wamekusanyika sebuleni as is ni msiba wetu!.

Ama kweli nimeamini maneno ya walimwengu "Wanaopendwa na Wengi, Hufa Wangali Vijana"!.

Nimeguswa sana!.

Rip Steven Kanumba!.

Paskali

Leo ni imetimia miaka 10, toka kifo cha nyota huyu wa Bongo Movies, Steven Kanumba, na mpaka Leo, sio tuu pengo lake halijazibika, bali hajapatikana star mwingine yoyote wa kuvaa viatu vyake vikamfiti.

RIP Steven Kanumba, tutakukumbuka milele!.
Paskali
 
Back
Top Bottom