Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,323
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie? Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi?
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote
habari king'amuzi changu kimekata channel zote jana leo nimejaribu kusearch upya zikaja channel za ajabuajabu na zimepungua sana yaani napata channel 13 wakati zilikua zaid ya 35 ndo mambo gani haya sasa nimechukia sana leo,mi nipo tanga.