startimes

  1. snipa

    Kama Azam inaonesha channel za Startimes, kwanini Serikali isiangalie hili suala ili kutunza mazingira na kuepusha gharama kwa watanzania?

    Baadhi ya mikoa Azam Antenna ilipotea hewani. Na Visimbusi hivyo vya Azam vikawa vinaonyesha Channel za Startimes. Waelewa tatizo ni Error code 69. Sasa kama ilivyofanyika kwenye simu kwamba simu zote zitumie type C. Kwanini serikali isiangalie hili suala na kuruhusu watanzania kulipia...
  2. rutajwah

    Msaada: Jinsi ya kupata channel za local kama ITV,EATV TBC etc Kwenye king'amuzi cha startimes

    Habari wanajf, nilinunua kig'amuzi cha startimes miezi mitano iliyopita ila tatizo ni kwamba nliangalia channels za ofa kwa wiki tu, then zikabaki za local yaan itv,eatv,tbc1 kwa muda mwa miezi minne, Sasa hvi hata hzo local zimeondoka naimebaki na Guide na ubc tu. So nimekuja hapa kwa wanajf...
  3. Hyrax

    TV4Sale Nauza StarTimes, 4K Smart TV inch 55''

    AINA YA TV: StarTimes MODEL: Smart TV UPANA: inch 55'' Resolution (Ubora wa picha): 4K Bei: Milioni moja na laki moja (1,100,000/- TZS) Mahali: Kimara, Dar es salaam Kama unaihitaji TV hii tuwasiliane: 0755038159 NB: Haina tatizo lolote
  4. mugah di matheo

    Startimes kampuni ya hovyo kabisa, kwa hili wajibikeni

    Achana na bei za vifurushi,achana na kuondoa local Chanel kwenye fta. Leo kupitia Chanel yao ya Tv3 walikua wakionesha mpira Kati ya Simba na raja,,wakati kipindi Cha pili kinaanza hawakurudi uwanjani mapema walidelay for 19 minutes,,,na bado hawajatolea ufafanuzi Wala kutuomba msamaha wateja...
  5. Gunst

    Startimes mmenigombanisha na mke wangu

    Ni kawaida yangu kurudi nyumbani kuanzia saa 3:30 usiku, ila leo nimelazimika kuwahi kurudi nyumbani (saa 1:00 jioni) kutokana na sababu zangu binafasi. Kwakweli ni siku nyingi sijaangalia taarifa ya habari, hivyo ilipofika saa 2 usiku kwakuwa nimewahi kurudi nyumbani na sijagusa ulabu...
  6. kagombe

    Dish la startimes linatakiwa chap

    Naitaji dish la startimes tu liwe ktk hali mzuri nicheck 0652500649
  7. Vitalis Msungwite

    Mfumo wa upigaji kura Startime's Best Comedy Challenge ubadilishwe

    Habari ndugu wananchi wa jamhuri ya Ukraine na Urusi. Nitangaze kuwa Mimi Ni mdau mkubwa wa vipindi vinavyorushwa na startime's channels St Swahili na St Mambo. Kilichonileta hapa jukwaani Ni kutokana na kile kilichotokea Jana kwenye mchuano wa Mang'endo na Kiredio. Kwenye ule mchuano...
  8. Jamii Opportunities

    Sales Representatives at StarTimes (Multiple Locations)

    Positions: Sales Representatives Qualification: Bachelor’s Degree in Marketing, Sales, Business Administration or related field Years of Experience: 3-5 years experience Sales Representative positions Main Job Responsibilities Ensure target achievement on daily basis for DTT/DTH activation...
  9. L

    Kampuni ya StarTimes yaleta matumaini kwa waandaaji wa filamu Kenya

    Kampuni ya Arise (AR) inayotayarisha filamu na yenye makao yake mjini Mombasa Kenya, imepata fursa ya kipekee ya kusaini mkataba wa kuandaa filamu inayoitwa NIA, ambayo inarushwa kupitia kituo cha runinga cha Rembo, kinachomilikiwa na kampuni ya StarTimes. Akizungumza na CRI Kiswahili, Derrick...
  10. U

    Tuache utani Startimes ndio king'amuzi bora sana

    Wengi hawajui hili ukitoa DStv ambayo ni worldwide Startimes ni king'muzi bora sana Ukiwa na Startimes kwa shilingi 21,000 unaangalia Ligi kubwa za ulaya Lalita spain Bundaslige ujerumani Ligi uholanzi Ligi ya mpira wa kikapu NBA USA Chanel za watoto,tamlithilia, habari na vingine vingine kwa...
  11. BabaMorgan

    Startimes nyenzo muhimu katika kuendeleza na kuimarisha ushawishi wa taifa la China barani Afrika

    Tunaotumia kingamuzi cha startimes sasa tunajifunza lugha ya Kichina kupitia channel ya starswahili hongera kwa Wachina kutumia kampuni yao ya startimes kama jukwaa la kutangaza tamaduni zao pamoja na mafanikio yao. Mataifa shindani kama USA yameendelea kushangazwa na kuongeza kwa ushawishi wa...
  12. Akthoo

    Natafuta king'amuzi cha Startimes cha zamani

    Natafuta king'amuzi cha Startimes cha zamani, kisichotumika ili nipate spare! Hapa Dar, Angalia picha
  13. Jamii Opportunities

    HR Manager at Startimes

    Job Description The Human Resource will perform different HR tasks and duties to support effective and efficient operations of the Human Resource Department and the organizations. Responsibilities Assist with day to day operations of the HR functions and duties. Provide clerical and...
  14. Jacobus

    Tumaini TV imeondolewa king'amuzi cha Startimes, kunani?

    Wakuu, sasa hivi Tumaini TV haipo kwenye king'amuzi cha Startimes ilihali waliiweka sasa najiuliza ni kitu gani kilichopelekea kuondolewa? Sasa hivi Tumaini TV ipo kwenye king'amuzi cha Azam.
  15. Jamii Opportunities

    Sales Administrative Assistant at Startimes, Southern highlands

    Sales Administrative Assistant – STARTIMES SOUTHERN ZONE Office (Mbeya) Job Overview; StarTimes is the Pay tv leading company in Tanzania. We’re proud of being among the best and Top employer in Tanzania. We are hiring a talented Sales Assistant professional to join our team. If you’re excited...
  16. Jamii Opportunities

    Purchasing and Sales Manager at Startimes

    1. Position Title: Purchasing and Sales Manager Job Responsibilities: Under the guidance of Headquarter, be responsible forgiving feedback of the marketability of products purchased in China through survey; According to the planning of Headquarter, be responsible for finding out the purchase...
  17. Harrykany

    Wazoefu wa startimes, msaada

    Nimeweka Leo king'amuzi cha startimes lakini kitu, kinacho nishangaza ni hiyo black color kwenye kuonesha picha, vipi hapo nawezaje kulimaliza hilo tatizo, sipati raha kabisa, au shida itakua Ni TV au king'amuzi chenyewe, TV yenyewe Ni ya chogo kubwa,
  18. F

    Startimes kifurushi kikiisha msiniwekee bango lenu

    Nina utaratibu was kulipa kifurushi kila ninapotaka kutazama tukio fulani kupitia dekoda ya startimes, Leo kifurushi kimeisha tangu asubuhi Hadi chaneli ambazo so za kulipia nawekewa hili dudu Hadi picha ya tv siioni vzr, kwani lazima kulipia. Niko huru, sitaki hili tangazo lenu katika screen...
  19. Jamii Opportunities

    Shop Managers at StarTimes

    Job Title: Shop Managers – 4 Positions Department: Operations Locations: Dar and Other Regions Reports To: Operations Manager/ Operations Director StarTimes Group was founded in 1988. It is the most influential system integrator, technology provider, network operator, and content provider in...
Back
Top Bottom