Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,234
- 53,041
- Thread starter
- #261
In any way my coach😃😃😂Anha,how😳
In any way my coach😃😃😂Anha,how😳
Yeah, ukiweka hela kwa wakala wa bank- una pata ka risiti - Basi furaha tell😃😂😂Yaan jioni unakaa zako unahesabu afu nazitenga tenga narecord vzr Aisee naenjoy sana
Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu, kumtembelea rafiki yako kwake, kujifunza kitu kipya mfano lugha.
Mambo ni mengi mda wa kuishi mchache huwezi yamaliza.
Ndugu yangu namjua huyo miyeyushomshamba_hachekwi ndo sababu ya wanna kutaka kulipuana😆😂
Mkuu unacheza game gani?Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije
View attachment 2783816
Special ops, FIFA, pes, un charted 3, na mengi yapo
Na kill Waka Sana😃😂😂😂Ndugu yangu namjua huyo miyeyusho
Bora wamelipuliwa kabla hawajaanza kutupa faida
100× mkuuMadam SI tuna Tafuta pesa, ili tufanikishe na tuishi ndani ya Malengo yetu
Tuzingatie yaliyo muhimu kwetu 💪💪100× mkuu
Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sanaTafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujui
Kabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sana
We mwenye kazi, huu Musa wa kujibu hapa une upata wapi😃😂😂Inaonekana huna kazi ndio maana unapata muda wa kukaa kaa tu
ETS 2,imenipa ugonjwa wa kutokulala bila dawa mwaka wa 4 huu, game imenilevya vibaya sanaSpecial ops, FIFA, pes, un charted 3, na mengi yapo
Noma sana aseehKabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.
Kumna mtu ana nijua, ila simjui mwezi wa 3 huu😃😂😂😂Kabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.
Niwekee tu list yote nitatoa nilizozionaSI zozote ambazo huja ona???, Au lazima Mwaka huu??
MouseNiwekee tu list yote nitatoa nilizoziona