Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
wadau naomba mnifahamishe hili suala, maana mimi nashindwa kuelewa, sasa sifahamu labda ni kwa sababu nashinda kazini muda wote kuanzia asubuhi hadi jioni..!! hata hivyo jioni nirudipo nyumbani huwa sioni STAR TV wakirusha matangazo yao LIVE kutoka bungeni Dodoma kama ilivyozoeleka siku zote.
SASA NAPENDA KUFAHAMISHWA HALI HII HUWA INATOKEA HATA ASUBUHI AMA NI JIONI TU...??
JE, NI SABABU GANI ZILIZOPELEKEA STAR TV KUTORUSHA LIVE MATANGAZO YAO KUTOKA MJENGONI DODOMA...!
JE, KUNA MKONO WA SERIKALI AU WA NGEREJA NA JAIRO? (YAANI star TV hawana umeme katika kituo chao...?)
Naomba kuwasilisha..................!!!!!!!!!!!
SASA NAPENDA KUFAHAMISHWA HALI HII HUWA INATOKEA HATA ASUBUHI AMA NI JIONI TU...??
JE, NI SABABU GANI ZILIZOPELEKEA STAR TV KUTORUSHA LIVE MATANGAZO YAO KUTOKA MJENGONI DODOMA...!
JE, KUNA MKONO WA SERIKALI AU WA NGEREJA NA JAIRO? (YAANI star TV hawana umeme katika kituo chao...?)
Naomba kuwasilisha..................!!!!!!!!!!!