CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Ningependa watanzania tukatwe kodi kwa ajili ya tv ya -taifa star tv..hii television naiombea isife..yaani hata mchakna kama sikuwa karibu na mitandao,nina uhakika ikifika saa2,usiku nitapata balanced story kutoka star tv........................viva star tv viva chadema