The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Serikali na yenyewe ina vishares vyake hapo what do you expectHivi hakuna watu wengine kama Startimes??? Wanaboa kweli,kila siku wanaongeza chanel za china,hivi serikali imelala?hakuna term of reference??wanafanya tu kama wanavyotaka?? Nimepanga kuondoa decorder yao,bora niweke dish la free chanel kabisa!