Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Hivi karibuni kumetokea mtafaruku mkubwa kati ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi na spika Sitta na uendeshaji wake wa Bunge. Lakini pia tumemsikia Kafulila akitupa dongo kwa CHADEMA kwa kuikosoa katiba yao kwamba inacheza ngoma ile ile ya CCM.Kafulila ameyasema hayo jana alipokuwa akikabidhiwa kadi ya NCCR na mwenyekiti wake mpya Mbatia katika makao makuu ya chama hicho Ilala jijini Dar es salaam.