Mkuu Mwita, huyu bwana alimnyanyasa sana Mbowe 2000 - 2005. Ajabu alipopigwa chini kura za maoni CCM akataka kuja CDM. Ni ajabu Makinda kutaka kuwapangia wabunge mambo ya kuongea majmboni kwao.Hata enzi za mwenyekiti wa kamati ya bunge mwalimu Eliakim Simpasa pamoja na madudu yote aliyofanya lakini hakufikia kwenye upuuzi kama huu anaofanya bi.kiboroto!
Katika mikutano yetu ya M4C tutawatwanga wabunge wala rushwa wote ili katika bunge la november awaambie wananchi alitumia sheria gani au mamlaka gani kutaka kulifichia bunge aibu hii ya rushwa.