only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Akihairisha kikao cha bunge leo, spika wa bunge amesema kuwa ni marufuku mbunge yoyote kuzungumzia hoja ya wabunge kupokea rushwa majimboni au nje ya bunge kwasababu hoja hiyo ipo kwenye kamati maalumu na kwa hiyo ni kuingilia kazi ya kamati hii. Ni kama ile hoja inayotumiwa sana na serikali kuwa ishu yoyote ikiwa mahakamani ni marufuku kuizungumzia nje ya mahakama.
Source: Toka Bungeni TBC1
Source: Toka Bungeni TBC1