- Thread starter
- #61
Nafikiri unachanganya madesa, kuna kambi mbili zinazoongelewa moja isiyo rasmi ya kina Hamad na nyingine rasmi ya Chadema.Hapo kwenye bold sio CUF peke yao mkuu hata CDM kuna wabunge hawaku walk out au ndio ukipenda sana hata kama ana kasoro huzioni? Mwenzenu mie napenda sana lakini ukweli nauona nauvumilia nachukua kama ni changamoto kwani vyama vina ongozwa na watu wengi kila mmoja mwenye uono wake. Unachukia lakini unasonga mbele. Kikubwa hapa nadhani tuangalie jinsi gani ya kutatua matatizo yanayotukabili Umeme, Maji, Gas, Matibabu na Elimu sidhani kama haya mambo ya kambi ya upinzani yana tija kubwa sana kwetu na isitoshe kambi yenyewe kumbe sio "rasmi" yaani kwa kiswahili fasaha haitambuliki yanini tuumize vichwa vyetu yaani sisi hatujui maana ya isiyo RASMI??????????????????????????? Kweli?????????? Siamini haki ya Mungu!!!!