naona wamesharekebisha problem, now fresh getting their what they call high speed
Upo maeneo niliyoyataja mkuu?Maana huku speed ya downloads bado
ni under 10KB/s
ni ile tigo ya bure net itakua maana wameikata leo na speed imeongezeka
TiGo bado tu hovyo...
so chief u mean ile net ya bure ndio ilikuwa ina ongeza traffic on the network ryt? kwani what provider hasa a u using for ur internt now?
Sio sababu!Mbona watu wa Kawe wanapata 3G full speed!ujue ile trick ya 15166 sio specific kama ni light max au stabdard so ilikua inajaza trafic so wakati wanaishughulikia kuiban wakaona wapunguze speed (i think so)
mi natumia tigo + voda na airtle na zantel
Thanks kwa ushauri wako,nimewasha watumia malalamikokama uko facebook, tigo wanapage yao. jaribu kwenda report the problem and specify it + the location uliyopo, it might be usefull, try
Thanks kwa ushauri wako,nimewasha watumia malalamiko
kwenye wall yao,guess what they replied?Walikuwa hawajui,watalifanyia kazi.Haha