Special thread: Ujinga ni?

Ujinga ni kutamani kila mtu apende au ashabikie kile unachoona wew ni sawa.
 
ujinga ni kushuka kwenye daladala likiwa kwenye folen eti kisa tu umeona gar la jiran akupe lift japokua naye yuko kwenye folen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom