Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Mimi nafikiri wapigakura watayafanyia kazi majibu yake ya kejeli 2010.Tuone kama atanunua Ubunge kama Umwenyekiti wa Umoja wa Wanawake.Na hata JK akipata tena Urais hawezi kuwarudisha kwa vituko vyao.
Mmaroroi, huyu mama anauhakika wa kuwa Mbunge 2010 bila kugombea wala kuomba kura kwa ajili yake, kuteuliwa wala kujigusa kwa namna yoyote kisiasa.
Ni Mbunge kwa kuwa tu, amekuwa Mwenyekiti wa UWT-CCM. Anaweza kukosa nafasi hiyo endapo tu chama kingine isipokuwa CCM kikishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kwa kishindo cha Tsunami (more than 80% or so). Vinginevyo yeye ana uhakika wa Ubunge na endapo JK akiwa Rais, basi atapata na Uwaziri. Ndio maana hana haja ya kufikiria na kusema. Anasema tu.
Kwani tutamfanyeje bwanaaaa!!