Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
huytu mama ana kichaa tena kichaa cha mbwa, anawaita wanawake wa kikristo kuwa ni wavaa vinimini. hii ni zarrau kubwa sana.wanawake wa kikristo lazima msimame kidete klupinga uzalilishaji huu wa huyu mama aliyelewa madarak,a.
alisema hiv na hapa namunukuu:
"JAmni wavaa vimini tusiwasahau na kudharau wana uwezo wa kuinua UWT hivyo tuwashirikishe katika vikao na kuwawezesha kwani tukiwaacha wataenda kwa halima mdee na ndo maana tumepoteza nafasi 11 kinondoni ambapo sasa tunakabiliwa na changamoto kubwa kurudisha; pia sisi wakina mama tuache ubinafsi tuwashirikishe watoto wetu", alisema.
mai tek:kina dada hasa wa kikristo mnakubali kudhalilishwa na mna hii? mko tayariu?
soiursce: majira jumamamiosi 26/02/2011
alisema hiv na hapa namunukuu:
"JAmni wavaa vimini tusiwasahau na kudharau wana uwezo wa kuinua UWT hivyo tuwashirikishe katika vikao na kuwawezesha kwani tukiwaacha wataenda kwa halima mdee na ndo maana tumepoteza nafasi 11 kinondoni ambapo sasa tunakabiliwa na changamoto kubwa kurudisha; pia sisi wakina mama tuache ubinafsi tuwashirikishe watoto wetu", alisema.
mai tek:kina dada hasa wa kikristo mnakubali kudhalilishwa na mna hii? mko tayariu?
soiursce: majira jumamamiosi 26/02/2011