Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
- Thread starter
- #41
Jerusalem,
- Baba yangu mwanzoni alikuwa Mwislamu.
- Aliamua kubadilisha dini.
- Mpaka leo mimi ni Mroman Catholic ingawaje kila mtu ananipa dini ambayo anaitaka.
- Dar es Salaam tuliishi Bungoni, Ilala.
- Alifanikiwa sana kwa shughuli za baa.
- Mimi ni mtoto ambaye nimesomeshwa kwa pesa za pombe.
- Baba yangu alikuwa na baa inayoitwa Uzaramo Bar
- Kwa hiyo, mimi kufungua vizibo vya bia najua.''
1 & 2: siamini watu wanaobadilibadili dini.
3: SS atakuwa haendi church. wakatoiiliki hawafundoishwagi uropokaji
4: ukiishi buguruni, ilala, kariakoo, lazima ama uwe mtu wa taarabu,mswahilina, mtu wa mipasho, mropokaji au vyote pamoja.
5 & 6: no comment (i smell uropokaji pia)
7: uropokaji mwingine. you cant think before you give comments.
natangaza sitaleta thered ingine kuusu uyu Bi Sophi