Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Kama anaenda kuwakilisha nchi SADC basi lazima ajue vyema kujieleza kwa mdomo na kimaandishi la sivyo tunapeleka mzigo an kituko kutuwakilisha...
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?